malkiory
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 270
- 24
Mtanzania mwenye makazi yake nchini Marekani ameanzisha kampuni ya simu itwaya umojaphone kwa ajili ya international calls, na bei ni poa kulinganisha na makampuni mengine kama vile VOIP na SKYPE. Unaweza kupiga simu kutoka kwenye landline yako, mobile na kwenye pc yako.
Kwa maelezo zaidi tembelea hapa: MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
Kwa maelezo zaidi tembelea hapa: MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!