Mtanzania afanikiwa kuunda na kurusha helkopta yake huko Tunduma Songwe

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,961
Tunduma: Jamaa kaunda ndege aina ya Helocopter ipo tayari kwa kuzinduliwa na Mbio za Mwenge

Mbeya tunduma wana vipaji je unamaoni gani watu wana unda helkopta

Helkopta mpya ya Kitanzania Iliyotengenezwa Tunduma Kuzinduliwa. Imepewa Jina la Songwe

13062030_2023874334504565_8176099004243988933_n.jpg
0de59185-da53-4877-82e4-14719227fc0a.jpg
13626621_993667484080147_448074342841250660_n (1).jpg

1da42247825c270e0a77a982bbd1c442.jpg
 
Baada ya muda mfupi watakuwa nchi za nje na historia ya tunduma inaishi hapo ndiyo shamba la bibi maana yake
 
sio kiki ya hiyo garage mkuu??
kutengeneza helikopta sio kama kupika ugali ni process ndefu .....
tupia picha tuone manufacturing process nzima ya hiyo helikopta,isije ukawa umeinyaka kwenye viblog uchwara
 
Hatujaridhika na hako kapicha kamoja..weka picha hapa
 
Kwanza tunduma sio songea ni mbeya na labda uwe umemaanisha tunduru songea kuhusu hyo helkopta tupe ushahid zaid maana dunia hii kwa Photoshop hatari sana
 
Data zaidi mkuu.

Sisi tulikuwa tunasubiria moja toka Arusha Technical College. ... 2 seater. .
 
Back
Top Bottom