wadau uyu chalii alikuwa anatangaza kipindi cha michezo tbc1,nilikuwa napenda sana presentation yake,
Labda naye ameenda BBC au DW. Maana wengi wakipotea huku kwetu wanakimbilia huko.
Huyu simfahamu kabisa!jee, Ezekiel Mwalongo amepotelea wapi na yeye?
pendael mkuu alipata skendo moja hv enzi za TIDDO MHANDO alimpa promo za kutosha mgombea mmoja wa CDM na ambaye ss hv ni mh,kuanzia hapo nae akakumbwa kwenye mkumbo wa Tido(mwenye kufahamu na afahamu)
Ulevi noma!jamaa kachoka sana kwa ulevi mara ya mwisho alikuwa simanjiro ila nasikia hujaga dar kwa kubeep...kachoka sana ezekiel mwalongo unaweza ukalia ukikutana naejee, Ezekiel Mwalongo amepotelea wapi na yeye?