TANZIA Mtangazaji Maarufu wa RTD Abissay Stephen amefariki dunia asubuhi hii

Wanabodi,

Nimepokea taarifa kuwa Mtangazaji Maarufu wa RTD, (sasa TBC), ABISAY STEVEN, amefariki dunia asubuhi hii.

Mpashaji habari wangu amesema msiba huo umetokea katika hospitali ya Muhimbili alikolazwa kufuatia kuugua kwa muda mfupi.

Taarifa zaidi zitafuatia.

Kwa wale wa zamani huyu mtangazaji alikuwa maarufu sana enzi zike za kina David Wakati, Tido Mhando, Seif Salim Mkamba, Edda Sanga, Debora Mwenda etc. Aliwahi kuwa Mkuu wa Idhaa ya Biashara chini yake wakiweno Charles Hilary na Julius Nyaisanga.

Mpaka Mauti yalipomkuta alikuwa bado ni muajiriwa wa TBC.

Poleni wafiwa.

Mungu aiweke Roho ya Abysai Steven Uronu, Mahala Pema Peponi, apumzike kwa Amani. Amen!

UPDATE: 1
TBC wametoa update kwenye taarifa yao ya habari ya saa 2 usiku.

Marehemu atazikwa kijijini kwao Hai mkoani Kilimanjaro siku ya Jumanne.

Heshima za Mwisho ni Jumatatu saa 4 asubuhi nyumbani kwake Temeke Mikoroshoni na baadae kusaliwa Kanisa la KKKT Temeke Vetenari.

Abysai Steven alizaliwa mwaka 1951 huko Moshi. Aliajiriwa na RTD mwaka 1970 kama Mtangazaji Msaidizi Daraja la III. Alipanda ngazi mpaka mauti yalipomkuta akiwa ni Mtangazaji Mwandamizi Mkuu Daraja la I.

Marehemu ameacha mjane, watoto 3 na mjukuu 1.

Rip Abysai Stephen.

UPDATE: 2
Msiba umehamishiwa kwenye nyumba yake nyingine iliyoko Banana Kitunda.

Ili kupunguza mahangaiko, mwili wa marehemu utatoka hospitali ya Muhimbili saa 5 asubuhi moja kwa moja kanisa la KKKT Vetenari kwa misa na heshima za mwisho.

Baada ya hapo, safari ya kuelekea Hai, Moshi Kilimanjaro kwa mazishi, itaanza.

Rip Abysai Stephen

UPDATE: 3
Heshima za mwisho kwa Abysai Stephen zimemalizika hapa kanisa la KKKT Vetenary Temeke ambazo zimehudhuriwa na record ya umati wa watu kwa mtangazaji wa RTD.

Umati huo umejumuisha viongozi wa vyama na serikali, wafanyakazi wa TBC, waandishi na watangazaji wa vyombo mbalimbali vya habari na kukolezwa na idadi kubwa ya watangazaji wakongwe wa iliyokuwa RTD.

Msafara kuelekea Hai Kilimanjaro umeanza.

RIP A.S
Apumzike salama
 
Wanabodi,

Nimepokea taarifa kuwa Mtangazaji Maarufu wa RTD, (sasa TBC), ABISAY STEVEN, amefariki dunia asubuhi hii.

Mpashaji habari wangu amesema msiba huo umetokea katika hospitali ya Muhimbili alikolazwa kufuatia kuugua kwa muda mfupi.

Taarifa zaidi zitafuatia.

Kwa wale wa zamani huyu mtangazaji alikuwa maarufu sana enzi zike za kina David Wakati, Tido Mhando, Seif Salim Mkamba, Edda Sanga, Debora Mwenda etc. Aliwahi kuwa Mkuu wa Idhaa ya Biashara chini yake wakiweno Charles Hilary na Julius Nyaisanga.

Mpaka Mauti yalipomkuta alikuwa bado ni muajiriwa wa TBC.

Poleni wafiwa.

Mungu aiweke Roho ya Abysai Steven Uronu, Mahala Pema Peponi, apumzike kwa Amani. Amen!

UPDATE: 1
TBC wametoa update kwenye taarifa yao ya habari ya saa 2 usiku.

Marehemu atazikwa kijijini kwao Hai mkoani Kilimanjaro siku ya Jumanne.

Heshima za Mwisho ni Jumatatu saa 4 asubuhi nyumbani kwake Temeke Mikoroshoni na baadae kusaliwa Kanisa la KKKT Temeke Vetenari.

Abysai Steven alizaliwa mwaka 1951 huko Moshi. Aliajiriwa na RTD mwaka 1970 kama Mtangazaji Msaidizi Daraja la III. Alipanda ngazi mpaka mauti yalipomkuta akiwa ni Mtangazaji Mwandamizi Mkuu Daraja la I.

Marehemu ameacha mjane, watoto 3 na mjukuu 1.

Rip Abysai Stephen.

UPDATE: 2
Msiba umehamishiwa kwenye nyumba yake nyingine iliyoko Banana Kitunda.

Ili kupunguza mahangaiko, mwili wa marehemu utatoka hospitali ya Muhimbili saa 5 asubuhi moja kwa moja kanisa la KKKT Vetenari kwa misa na heshima za mwisho.

Baada ya hapo, safari ya kuelekea Hai, Moshi Kilimanjaro kwa mazishi, itaanza.

Rip Abysai Stephen

UPDATE: 3
Heshima za mwisho kwa Abysai Stephen zimemalizika hapa kanisa la KKKT Vetenary Temeke ambazo zimehudhuriwa na record ya umati wa watu kwa mtangazaji wa RTD.

Umati huo umejumuisha viongozi wa vyama na serikali, wafanyakazi wa TBC, waandishi na watangazaji wa vyombo mbalimbali vya habari na kukolezwa na idadi kubwa ya watangazaji wakongwe wa iliyokuwa RTD.

Msafara kuelekea Hai Kilimanjaro umeanza.

RIP A.S
Pole kwa tasnia ya utangazaji Tanzania. Hawa ndiyo walikuwa watangazaji wa kweli, wenye kuafuata miiko na utaalam, siyo hawa wa sasa wanajiita watangazaji kumbe ni madalali au wakala wa bidhaa/huduma, chawa wa wanasiasa na wachumia tumbo wa kuposha umma kama kina Maulidi Kitenge. BT Pascal Mayalla tunaomba ukipata muda utuwekee list ya watangazaji wa RTD enzi hizo ambao bado wako hai na wanafanya nini. Wengi wametangulia mbele ya haki, mtu unashidwa kujua uhasilia. Kama huyu mimi sikudhani kama bado yuko hai.
 
Abysai binti yake nilisoma nae naona sasa binti pia yupo TBC safi sana mzee, upumzike kwa amani mzee wetu sisi ni mavumbi na mavumbini tutarudi, ulibahatika kuwa na binti mpole na mtulivu sana.
 
Wanabodi,

Nimepokea taarifa kuwa Mtangazaji Maarufu wa RTD, (sasa TBC), ABISAY STEVEN, amefariki dunia asubuhi hii.

Mpashaji habari wangu amesema msiba huo umetokea katika hospitali ya Muhimbili alikolazwa kufuatia kuugua kwa muda mfupi.

Taarifa zaidi zitafuatia.

Kwa wale wa zamani huyu mtangazaji alikuwa maarufu sana enzi zike za kina David Wakati, Tido Mhando, Seif Salim Mkamba, Edda Sanga, Debora Mwenda etc. Aliwahi kuwa Mkuu wa Idhaa ya Biashara chini yake wakiweno Charles Hilary na Julius Nyaisanga.

Mpaka Mauti yalipomkuta alikuwa bado ni muajiriwa wa TBC.

Poleni wafiwa.

Mungu aiweke Roho ya Abysai Steven Uronu, Mahala Pema Peponi, apumzike kwa Amani. Amen!

UPDATE: 1
TBC wametoa update kwenye taarifa yao ya habari ya saa 2 usiku.

Marehemu atazikwa kijijini kwao Hai mkoani Kilimanjaro siku ya Jumanne.

Heshima za Mwisho ni Jumatatu saa 4 asubuhi nyumbani kwake Temeke Mikoroshoni na baadae kusaliwa Kanisa la KKKT Temeke Vetenari.

Abysai Steven alizaliwa mwaka 1951 huko Moshi. Aliajiriwa na RTD mwaka 1970 kama Mtangazaji Msaidizi Daraja la III. Alipanda ngazi mpaka mauti yalipomkuta akiwa ni Mtangazaji Mwandamizi Mkuu Daraja la I.

Marehemu ameacha mjane, watoto 3 na mjukuu 1.

Rip Abysai Stephen.

UPDATE: 2
Msiba umehamishiwa kwenye nyumba yake nyingine iliyoko Banana Kitunda.

Ili kupunguza mahangaiko, mwili wa marehemu utatoka hospitali ya Muhimbili saa 5 asubuhi moja kwa moja kanisa la KKKT Vetenari kwa misa na heshima za mwisho.

Baada ya hapo, safari ya kuelekea Hai, Moshi Kilimanjaro kwa mazishi, itaanza.

Rip Abysai Stephen

UPDATE: 3
Heshima za mwisho kwa Abysai Stephen zimemalizika hapa kanisa la KKKT Vetenary Temeke ambazo zimehudhuriwa na record ya umati wa watu kwa mtangazaji wa RTD.

Umati huo umejumuisha viongozi wa vyama na serikali, wafanyakazi wa TBC, waandishi na watangazaji wa vyombo mbalimbali vya habari na kukolezwa na idadi kubwa ya watangazaji wakongwe wa iliyokuwa RTD.

Msafara kuelekea Hai Kilimanjaro umeanza.

RIP A.S
Mchaga atakua kajenga kwao zinga la nyumba. Tusubiri tuone makamera msibani
 
Wanabodi,

Nimepokea taarifa kuwa Mtangazaji Maarufu wa RTD, (sasa TBC), ABISAY STEVEN, amefariki dunia asubuhi hii.

Mpashaji habari wangu amesema msiba huo umetokea katika hospitali ya Muhimbili alikolazwa kufuatia kuugua kwa muda mfupi.

Taarifa zaidi zitafuatia.

Kwa wale wa zamani huyu mtangazaji alikuwa maarufu sana enzi zike za kina David Wakati, Tido Mhando, Seif Salim Mkamba, Edda Sanga, Debora Mwenda etc. Aliwahi kuwa Mkuu wa Idhaa ya Biashara chini yake wakiweno Charles Hilary na Julius Nyaisanga.

Mpaka Mauti yalipomkuta alikuwa bado ni muajiriwa wa TBC.

Poleni wafiwa.

Mungu aiweke Roho ya Abysai Steven Uronu, Mahala Pema Peponi, apumzike kwa Amani. Amen!

UPDATE: 1
TBC wametoa update kwenye taarifa yao ya habari ya saa 2 usiku.

Marehemu atazikwa kijijini kwao Hai mkoani Kilimanjaro siku ya Jumanne.

Heshima za Mwisho ni Jumatatu saa 4 asubuhi nyumbani kwake Temeke Mikoroshoni na baadae kusaliwa Kanisa la KKKT Temeke Vetenari.

Abysai Steven alizaliwa mwaka 1951 huko Moshi. Aliajiriwa na RTD mwaka 1970 kama Mtangazaji Msaidizi Daraja la III. Alipanda ngazi mpaka mauti yalipomkuta akiwa ni Mtangazaji Mwandamizi Mkuu Daraja la I.

Marehemu ameacha mjane, watoto 3 na mjukuu 1.

Rip Abysai Stephen.

UPDATE: 2
Msiba umehamishiwa kwenye nyumba yake nyingine iliyoko Banana Kitunda.

Ili kupunguza mahangaiko, mwili wa marehemu utatoka hospitali ya Muhimbili saa 5 asubuhi moja kwa moja kanisa la KKKT Vetenari kwa misa na heshima za mwisho.

Baada ya hapo, safari ya kuelekea Hai, Moshi Kilimanjaro kwa mazishi, itaanza.

Rip Abysai Stephen

UPDATE: 3
Heshima za mwisho kwa Abysai Stephen zimemalizika hapa kanisa la KKKT Vetenary Temeke ambazo zimehudhuriwa na record ya umati wa watu kwa mtangazaji wa RTD.

Umati huo umejumuisha viongozi wa vyama na serikali, wafanyakazi wa TBC, waandishi na watangazaji wa vyombo mbalimbali vya habari na kukolezwa na idadi kubwa ya watangazaji wakongwe wa iliyokuwa RTD.

Msafara kuelekea Hai Kilimanjaro umeanza.

RIP A.S
Paskali
Rejea
Mwandishi ni Mtangazaji wa zamani wa External Service ya RTD.
Mabandiko mengine ya mwandishi kuhusu Watangazaji wa iliyokuwa RTD
Nakumbuka, kama sijakosea, alishawahi kuwa reporter wa RTD Songea..!!
 
Oscar Ulasa nimesikia akitaja jina hili hili

Walikuwa wakijiuliza mchezaji gani wa KMC ametoka mechi kati ya Yanga v KMC

Ulasa akasema 'ahsante sana Abbysai Steven kwa kunisaidia'

Baada ya kumtext mchezaji aliyetoka

Sasa huyo Abbysai Steven ni nani?
 
Back
Top Bottom