Mtangazaji maarufu wa duru za michezo afariki dunia!

daniel don

Member
Jun 28, 2012
43
3
:spy:Mtangazaji maarufu wa kipindi cha duru za michezo Wapo radio Fm Joseph Mapunda amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi ktk hospitali ya Temeke Juzi. hiyo ni kwa mujibu wa matangazo ya Wapo Radio Fm na mdogo wa Marehemu..Mungu awafariji ndugu wa marehemu pamoja na wafanyakazi wote wa Radio hiyo. Bwana alitoa na bwana ametwaa...jina lake lihimidiwe!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom