Tv ya wanazuoni,jamani imeboa kumpeleka mtangazaji Hamis damumbaya ambaye anaonekana kuaibisha taaluma yake kabisa, hana lolote.
hamisi dambaya ni bogas yani hata kingereza hajui halafu ana tabia za kiswahili yani kuimabaimba taarab yani kwa kweli sis wanachuo tunamjua vizuri sana ni aibu tupu sijui nani kampeleka