Mtandao wa Whatsapp kufungwa nchini Brazil kwa masaa 72 kwa kutotoa taarifa kusaidia kesi

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
150708110507_whatsapp_logo_512x288_afp_nocredit-300x194.jpg

Hakimu mmoja nchini Brazili amefunga mawasiliano ya mtandano wa simu kwa njia ya whatsapp kwa saa 72.

Hakimu huyo Marcel Montalvao amesema kampuni inayomiliki mtandao huo imeshindwa kusaidia kutoa taarifa katika kesi ya uhalifu.

Mwezi Machi, Montalvao aliamuru kukamatwa kwa afisa mwandamizi wa Facebook katika nchi za Kilatini bwana Diego Dzoran baada ya kukataa kutoa ushirikiano katika uchunguzi dhidi ya dawa za kulevya.

Wamiliki wa mtandao huo wa Whatsapp ambao pia wanamiliki mtandao wa Facebook wamesema kuwa wamekatishwa tamaa na kitendo hicho kwa kuwa wamekuwa wakitoa ushirikiano wa kutosha mahakamani.

Mtandao huo umekuwa ukifungiwa mara kadhaa nchini Brazil kwa miezi michache ya karibuni kwa sababu zinazofanana na hizo.
==========

A regional judge on Monday ordered all telephone operators in Brazil to block WhatsApp, the popular messaging app owned by Facebook, for failing to turn over data as part of an ongoing drug trafficking investigation.

Starting about 2 p.m., the app ceased to function, a move sure to frustrate and anger Brazilians who use the messaging and free-calling functions regularly.

According to the Sergipe state tribunal's website, the app will be blocked for 72 hours.

Jan Koum, CEO and co-founder of the messaging service, posted a statement on his Facebook page in response to the blocking:
"Yet again millions of innocent Brazilians are being punished because a court wants WhatsApp to turn over information we repeatedly said we don't have," it said. "Not only do we encrypt messages end-to-end on WhatsApp to keep people's information safe and secure, we also don't keep your chat history on our servers. When you send an end-to-end encrypted message, no one else can read it -- not even us."

This is not the first time WhatsApp has been targeted by judges. In March, the vice president of Facebook Latin America was detained after authorities said Facebook refused to release data from WhatsApp in the interest of protecting its users.

Last December, a Sao Paulo state judge blocked the service for 48 hours after WhatsApp failed to respond to two court orders "in a criminal investigation."

Facebook has not commented.


Source: CNN
 
Back
Top Bottom