Mtandao upi ntaponea internet?

G M S

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
502
53
Wadau naomba msaada khs internet ya mtandao upi itanifanyia fair coz kudownload ni sehem kubwa ya matumizi yangu ya internet na hata kama si hvyo bado matumiz yangu ni ya mfululizo NIMEJARIBU VODA wananiua sana mb 150 kwa elfu tatu inawahi kuisha NIMEJARIBU ZAIN/AIRTEL wanafair coz 400mb kwa 2500 BUT network imekuwa tatizo wanataka niwe karibu na Mnara PIA imekuwa kikwazo kwangu nimeshidwa naomba kujua khs mitandao mingine kati ya ZANTEL na TIGO vipi khs bundle zao jamani naomba msaada wa maelezo!
 
Zantel chp? Mayb in Kivuku land....nyonyaji wakubwa wale mayb TTCL n' Airtel
 
Zantel ni balaa, nafikiri ni mosT expensive. Aie tel wako cheap,
 
Airtel , TTCL na Voda wako fair. Kwa matumizi ya kawaida{light users} kupitia mitandao yao, huduma iko poa interms of speed and costs. Kwa upande mwingine, kwa watumiaji wakubwa wa internet{heavy users} bado ni tatizo maana gharama ziko juu. Hapa nina maanisha kwa wale wanaotaka kudownload movies,softwares, kuangalia online video,movies n.k. Nimeshatumia huduma za internet kupitia zantel,airtel,voda na ttcl. Nikiambiwa nichague mtando bora kwa maana ya speed na cost nitachagua airtel. Ingawa vilevile vigezo hivyo vinaweza kuwa tofauti kulingana na eneo husika, aina ya modem n.k.
 
Jamani wanao tumia package ya standard month ya 45,000 tigo wanatoa gb ngapi!
 
weka bomba7...from vodacom...ukiwa kwenye 3g ni nzuri sana..hata hizo mb750 zikiisha
 
Back
Top Bottom