Siri Sirini
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 547
- 198
Ndio naamka wakuu, ngoja nipate staftahi kwanza....................LOL
Weeh Kijino, hebu muache baba yetu apumzike jamani! Sie wenyewe hatujaenda shule hadi sasa hivi manake hajatupa mshiko wetu wa daily bread ya kila siku.
Jamani Mtambuzi uko wapi? Nafungua mmu coni habari unazotuleteaga kila ijumaa, au ni mimi tu ndio sioni? Mana napenda kusoma hyo mikasa, hata iwe ndefu vipi, popote ulipo nakuomba ujitokeze.