Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Aaa lakini afanye mix that is too much man[/QUOTE
Kweli inakuitaji mda kumuelewa mtoa mada huyu.
Mapenzi yanapande mbili,imeguza moja naona povu halikukauki,ni mada au uzi upi uliokugusa na kupelekea kufungua uzi huu?