KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,575
- 8,595
Hivi naomba niulize kitu kimoja maana naona dhahiri hapa kuna walakini!!Nilisikia serikali imeagiza mtambo wa kuchapisha karatasi za wapigakura badala yakuagiza swali ni vipi serikali iliyopo madarakani itashindwa kudurufu hizo karatasi??Je Kutakuwepo na imani kuhusu hilo??Je Wapinzani wanajizatiti vipi kuweka waangalizi wasio hongeka??
Naomba wa dadavuaji mtujuze!:confused2:
Naomba wa dadavuaji mtujuze!:confused2: