wanazidi kudhihirisha namna walivyodhaifu kwenye uongozi. Hili zoezi likishindikana ni wao wamekwamisha. Rais- makamu wa rais- rais znz-makamu wawili-nkurugenzi wa sensa- igp- kanda maalum dar! Wote hao ni wao, aafu wanavibembeleza vijitu visivyo na serikali. Ni udhaifu tu!
wale watakolala gesti na vimada wataulizwa
je kwa wiki huwa unatoka nje ya doa yako mara ngapi?
siyo ndugai tu, kiukweli kuna watu wana siri zao moyoni hata wewe usikute huyo unayeamini nibaba yako siyo..lol
swali lingine;
account yako ina shilling ngapi?
2.una nyumba ngapi?
3.una nguvu za kiume?. mia
Wadau mi tayari nishahesabiwa mnasemaje sasa!
we c umekula kiapo cha kutunza siri? au hukuelewa unaapa nini?
nshakosa imani na makarani wa sensa 2012
umepewa chako? au hujashitukia kuwa kila anae hesabiwa analipwa pesa maana nchi imeuvya au umekopwa..lol
Nyumba hìi ni ya waislam hatuhesabiwì,kawahesabuni dini nyingine
mbona sensa yako ya viongozi imejumuisha dodoso la dini?
Tehe tehe tehe tehe. Wapi mheshimiwa naibu wa spika!Job ndugai sijui atajibuje lile swali la 'una watoto wangapi'. Lazma fomu yake iharibike, ole wao wamuulize mbele ya mkewe!
swali lingine;
account yako ina shilling ngapi?
2.una nyumba ngapi?
3.una nguvu za kiume?. mia
nani kakwambia ivo? au ndivo unavyodhani?nyie ndo mnaofaulsha watoto,f 1 haui hata kuandka jina...mkidhn mmewaonesha maswl c majibu... thn mbona unakua umevmba ivo?Hv nyie mnatumia vichwa vya chini eh?
Majibu ndiyo siri wala sio maswali maana maswali hayo ataulizwa kila anayehusika!
MAJIBU NI SIRI KATI YA KARANI NA ANAEHOJI NA HAPO HAKUNA SIRI ILOVUJA ZAIDI YA KUWAFAHAMISHA MASWALI TU
Job ndugai sijui atajibuje lile swali la 'una watoto wangapi'. Lazma fomu yake iharibike, ole wao wamuulize mbele ya mkewe!
ndo kusema nyumbani hutosheki?