Mgumu04
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,934
- 1,043
Mi mchango wangu ni huu ufuatao:
Kwanza nawashukuru wote mliochangia na pia mtoa mada.
Kwa hiyo million 10 unaweza kufanya biashara ya bajaji kwa miji kama mbeya, Iringa na Bukoba ni biashara inayolipa pia competition yake ipo chini...Mimi nimewahi kufanya kama dereva wa bajaji by mwaka 2012 niliona jinsi hiyo kitu ilivyo ila inahitaji usimamizi na kwa mtaji wako inabidi uchanganye wakati wa kununua hizo bajaji yaan nununua baadhi used na baadhi mpya hata ukianza na bajaji tatu si mbaya pesa itarudi
Pia kuna idea ya kufungua hizi college za masomo ya biashara na social studies pia kibongobongo naona it is a high rate growing business na watu wanazipenda coz we mwenyewe ni shaid jins wazazi wanavyosumbuka na watoto baada ya kumaliza form 4 na 6 na kukosa sifa au nafasi vyuoni...angalizo usifanye Hii kitu Dar competition ni kubwa mno coz kuna utitili wa colleges ila mikoani huku mambo safi kabisa
Mwisho kama utaipenda hiyo idea ya pili na kutaka kuifanya mi sina mtaji ila niko tayari kuisimamia na kukupa mwongozo na eneo na returns zake na jinsi ya kuiendesha najua una shaka na walimu hao very cheap tunawapata na mi ni mmoja wa walimu wazuri kwenye issue za business admin..
Mawazo yangu ni hayo
asante sana bk@ ntakutafuta