Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,546
- 3,549
naona hapa wadau tumetumia zaidi madesa,10m ni ndogo kuingia soko la mitaji(achana na mambo ya warren buffet,ile ni marekani na soko lao liko strong ndio maana hata 1m unaweza kuingia kichwa kichwa kwenye hili soko),kwa kaelimu kangu ka uchumi,soko la mitaji si zuri kwa wawekezaji wadogo na ndio maana kuna umoja trust,labda upitie huko,lakini hiyo hela ukiiweka kimtaani zaidi,yaani achana na mambo ya interest yako iko wapi,faida haitaki kujua unapenda nini,just right product,location sahihi na watu sahihi wa kusimamia,ni pm nitakudirect business itakayokupa faida ya 2m per month ,hii ni baada ya kutoa gharama za uendeshaji na kodi mbalimbali,natumia simu nashindwa kuweka kila kitu
Mkuu km hayo maelezo hayalipiwi si uyaeke hapa tu