Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

naona hapa wadau tumetumia zaidi madesa,10m ni ndogo kuingia soko la mitaji(achana na mambo ya warren buffet,ile ni marekani na soko lao liko strong ndio maana hata 1m unaweza kuingia kichwa kichwa kwenye hili soko),kwa kaelimu kangu ka uchumi,soko la mitaji si zuri kwa wawekezaji wadogo na ndio maana kuna umoja trust,labda upitie huko,lakini hiyo hela ukiiweka kimtaani zaidi,yaani achana na mambo ya interest yako iko wapi,faida haitaki kujua unapenda nini,just right product,location sahihi na watu sahihi wa kusimamia,ni pm nitakudirect business itakayokupa faida ya 2m per month ,hii ni baada ya kutoa gharama za uendeshaji na kodi mbalimbali,natumia simu nashindwa kuweka kila kitu

Mkuu km hayo maelezo hayalipiwi si uyaeke hapa tu
 
Mimi ni mfugaji, nitakushauri kufuga ngombe kwa mchakato ufuatao:

Ujenzi wa banda = Ths 500,000/=
Manunuzi ya Ngombe 5 x Tsh 900,000 = Tsh 4,500,000/=
(Ngombe utawanunua wakiwa na mimba ya miezi 6)
Kuwahudumia ng'ombe kwa miezi mitatu kabla ya production = Tsh 1,500,000/=
(inahusisha mshahara kwa wafanyakazi wawil + chakula + madawa)

Jumla = Tsh 6,500,000/=

Baada ya Miezi 3;

UZALISHAJI:

Ngombe hawa watakuwa wakitoa maziwa si pungufu ya lita 5 kwa asubuhi na jioni kwa kila ng'ombe. Hivyo uzalishaji kwa siku utakuwa lita 10 kwa siku kwa ng'ombe.

MAPATO

Lita 10 x Ng'ombe 5 = lita 50 kwa siku x Tsh 1000 (bei ninayouza mimi hapa) = Tsh 50,000 kwa siku
Mapato kwa mwezi = Tsh 50,000 x 30 = 1,500,000/=

Gharama za uendeshaji kwa mwezi = Tsh 600,000/=

Faida = Tsh 900,000/= kwa mwezi

BAADA YA MIAKA 5:

Kumbuka ng'ombe huzaa kila mwaka hivyo basi baada ya miaka mitano utakuwa na ng'ombe wasiopungua 25. Kipato chako kwa mwezi unaweza kufikia si pungufu Tsh 18,000,000 endapo utakuwa na ngombe jike 20 kati ya hao 25.

Kumbe cow nazo mpango mzima eeh? Ila vp kuhusu soko la hayo maziwa,,huwa yanaisha yote? Na vp kuhusu hzo cow kuugua na madawa yake?
 
Mkuu, sorry niliahidi kukushauri ukikanusha kuwa kukukwapua hizo pesa na umefafanua vizuri. Kaka so far watu wengi wametoa ushauri. Wewe pia umetoa wazo lako la tender, etc. Miaka ya nyuma nikiwa Bongo nilifungua company na kazi zangu kubwa zilikuwa supplies. Ni kweli kazi hii inalipa sana lakini upataji kazi wake ni nimgumu sana. Unatakiwa kuwa na network ya uhakika. Pia kwa supplies hiyo pesa ni ndogo kwani unaweza pata kazi ya kwanza ukatakiwa utumie say 15m na malipo yakaje say 3 weeks after say 3 weeks. Kwa namna hiyo kama huna 'rescue plane' yaani mtu wakukupa pesa kiasi chochote unachotaka muda wowote itakushinda. Ninauzoefu nayo mkuu nilifanya japo kwangu tatizo ilikuwa kupata kazi kwani nilikuwa na rescue plane anytime nikitaka pesa nikaonyesha LPO jamaa fasta ananiwezesha.

Kwakuongezea ushauri wawakuu, mi nakushauri kama unaweza kakodi ha kadhaa Dodoma ulime Zabibu soko guaranteed na Breweries mkuu

Breweries wananunua zabibu? Wananunuaje?
 
naona hapa wadau tumetumia zaidi madesa,10m ni ndogo kuingia soko la mitaji(achana na mambo ya warren buffet,ile ni marekani na soko lao liko strong ndio maana hata 1m unaweza kuingia kichwa kichwa kwenye hili soko),kwa kaelimu kangu ka uchumi,soko la mitaji si zuri kwa wawekezaji wadogo na ndio maana kuna umoja trust,labda upitie huko,lakini hiyo hela ukiiweka kimtaani zaidi,yaani achana na mambo ya interest yako iko wapi,faida haitaki kujua unapenda nini,just right product,location sahihi na watu sahihi wa kusimamia,ni pm nitakudirect business itakayokupa faida ya 2m per month ,hii ni baada ya kutoa gharama za uendeshaji na kodi mbalimbali,natumia simu nashindwa kuweka kila kitu

Blue --- crystal clear ..... this is a real fact in any successful business

Red ----- sound not very far from reality .... 2m/10mx100 = 20% profit .....

mkuu 1701 ... please advice the forum members about your business idea
 
Last edited by a moderator:
Nenda pwani kanunue shamba heka tano is around laki 3 kwa heka jumla 1.5 utaspend utasafisha msitu kwa m1 kwa hizo heka tano then utalima kwa kila heka elfu45 kwa tr3ka then panda matikiti .Gharama jumla utatumia milioni 4.5 then utabakiwa na hakiba .Nenda mkuranga au kibaha.
 
Mkuu, sorry niliahidi kukushauri ukikanusha kuwa kukukwapua hizo pesa na umefafanua vizuri. Kaka so far watu wengi wametoa ushauri. Wewe pia umetoa wazo lako la tender, etc. Miaka ya nyuma nikiwa Bongo nilifungua company na kazi zangu kubwa zilikuwa supplies. Ni kweli kazi hii inalipa sana lakini upataji kazi wake ni nimgumu sana. Unatakiwa kuwa na network ya uhakika. Pia kwa supplies hiyo pesa ni ndogo kwani unaweza pata kazi ya kwanza ukatakiwa utumie say 15m na malipo yakaje say 3 weeks after say 3 weeks. Kwa namna hiyo kama huna 'rescue plane' yaani mtu wakukupa pesa kiasi chochote unachotaka muda wowote itakushinda. Ninauzoefu nayo mkuu nilifanya japo kwangu tatizo ilikuwa kupata kazi kwani nilikuwa na rescue plane anytime nikitaka pesa nikaonyesha LPO jamaa fasta ananiwezesha.

Kwakuongezea ushauri wawakuu, mi nakushauri kama unaweza kakodi ha kadhaa Dodoma ulime Zabibu soko guaranteed na Breweries mkuu

mkuu kweli kazi za kusupply ugumu wake.lazima uwe na network..pili cash flow..tatu ukubali cheleweshewa malipo sometimes unaweza kuto lipwa hadi miezi miwili.wengi wameamua kuachana na mikataba ya Gpsa maana mtu mwaka mzima hana kazi
 
Mimi ni mfugaji, nitakushauri kufuga ngombe kwa mchakato ufuatao:

Ujenzi wa banda = Ths 500,000/=
Manunuzi ya Ngombe 5 x Tsh 900,000 = Tsh 4,500,000/=
(Ngombe utawanunua wakiwa na mimba ya miezi 6)
Kuwahudumia ng'ombe kwa miezi mitatu kabla ya production = Tsh 1,500,000/=
(inahusisha mshahara kwa wafanyakazi wawil + chakula + madawa)

Jumla = Tsh 6,500,000/=

Baada ya Miezi 3;

UZALISHAJI:

Ngombe hawa watakuwa wakitoa maziwa si pungufu ya lita 5 kwa asubuhi na jioni kwa kila ng'ombe. Hivyo uzalishaji kwa siku utakuwa lita 10 kwa siku kwa ng'ombe.

MAPATO

Lita 10 x Ng'ombe 5 = lita 50 kwa siku x Tsh 1000 (bei ninayouza mimi hapa) = Tsh 50,000 kwa siku
Mapato kwa mwezi = Tsh 50,000 x 30 = 1,500,000/=

Gharama za uendeshaji kwa mwezi = Tsh 600,000/=

Faida = Tsh 900,000/= kwa mwezi

BAADA YA MIAKA 5:

Kumbuka ng'ombe huzaa kila mwaka hivyo basi baada ya miaka mitano utakuwa na ng'ombe wasiopungua 25. Kipato chako kwa mwezi unaweza kufikia si pungufu Tsh 18,000,000 endapo utakuwa na ngombe jike 20 kati ya hao 25.
hao ng'ombe wenye mimba miezi sita wanapatikana wapi aisee kwa walioko dsm
 
Mimi nilikuwa nataka kuanzisha "business" ya food supplv hapa DAR. Inalipa sana!Tayari nimekwisha ifanyia mchanganuo wa kutosha! Kuweza kuanzishwa muda wowote kuanzia sasa,
ila mtaji ndio issue!. Kama vipi tufanye
"partinership" in kama utakuwa tayari!!
0714306015
0759601820

Unamaanisha Cattering au nini?
Heb nishawishi nione
 
wanajamvi mimi nina milioni kumi nataka kuanzisha mradi wa kufuga kuku wa kienyeji nipo dodoma mjini kama una softcopy itakuwa vizuri zaidi
 
kiongozi business plan huwa inatofautiana kutokana na ainanya biashara au mradi mtu alio nao. Business plan ya mradi wa kuku ni tofauti ni plan ya mazao ya kilimo au mradi wa ujenzi jengo la biashara.
Na kutokana na umuhimu wa mpango wa biashara katika mradi wako itakuwa sio busara ukaokota mpangobwa biashara toka mtaani maana athari zake katika mradi wako ni kubwa.

Ni nini kifanyike basi.
waone wataalamu wa maswala ya business and financial consultancy. ukae nae uwaelezeebkwa kina ni nini unataka kufanya. wao watakuandikia mpango wa biashara utakaoendana na mazingira uliyonayo.

ukihitaji maelezo zaidi au mtaalamu unaweza ukapiga namba 0755815174
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Wazo linguine la nyongeza mkuu ni hili, uko nje ulipo, angalia yafuatayo,

1.viwanda vya kutengeneza vyakula vya kuku-kama wanaweza kununua dagaa kutoka Tanzania.
2.Viwanda vyakutengeneza vyakula vya mifugo, na dawa za viatu kama kiw-ulizia kama wanaweza kununua mashudu ya alizeti kutoka tanzania
3. Viwanda vya kutengeneza viatu, mikoba, mikanda n.k- ulizia kama unaweza kuwa uzia ngozi za wanyama kama ngombe.
4. Viwanda vya kutengeneza taa za umeme, balb- ulizia kama wanaweza kununua kwato na pembe za ngombe.

Ukisha pata soko lake la uhakika, rudi jamvini kuomba watu wa kushirikiana nao ili kuongeza mtaji.bidhaa zote nilizo eleza kwa apa Tanzania zinapatikana sana. hivyo ukiomba watu wa kushirikiana nao uenda ukawapata na mimi naweza kuwa mmoja wapo kwa kuongeza zingine 10milion. na hivyo ukapeleka hata kwa kuanzia angalau contena moja.

ndo hayo tu mkuu. ubarikiwe
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mi mchango wangu ni huu ufuatao:
Kwanza nawashukuru wote mliochangia na pia mtoa mada.
Kwa hiyo million 10 unaweza kufanya biashara ya bajaji kwa miji kama mbeya, Iringa na Bukoba ni biashara inayolipa pia competition yake ipo chini...Mimi nimewahi kufanya kama dereva wa bajaji by mwaka 2012 niliona jinsi hiyo kitu ilivyo ila inahitaji usimamizi na kwa mtaji wako inabidi uchanganye wakati wa kununua hizo bajaji yaan nununua baadhi used na baadhi mpya hata ukianza na bajaji tatu si mbaya pesa itarudi
Pia kuna idea ya kufungua hizi college za masomo ya biashara na social studies pia kibongobongo naona it is a high rate growing business na watu wanazipenda coz we mwenyewe ni shaid jins wazazi wanavyosumbuka na watoto baada ya kumaliza form 4 na 6 na kukosa sifa au nafasi vyuoni...angalizo usifanye Hii kitu Dar competition ni kubwa mno coz kuna utitili wa colleges ila mikoani huku mambo safi kabisa
Mwisho kama utaipenda hiyo idea ya pili na kutaka kuifanya mi sina mtaji ila niko tayari kuisimamia na kukupa mwongozo na eneo na returns zake na jinsi ya kuiendesha najua una shaka na walimu hao very cheap tunawapata na mi ni mmoja wa walimu wazuri kwenye issue za business admin..
Mawazo yangu ni hayo
 
Back
Top Bottom