Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

ningekushauri ufungue kitu ambacho una uzoefu nacho yaani ujuzi wako umebase wapi ndo ufungue kama wewe ni daktari au medical assist, au nesi basi ufungue duka la madawa kwani ndo fani yako
kama wewe ni mtaalamu wa mamboya IT basi fungua duka la kuuza computer, printer, scanner au chochote kinachoendana na hicho

kama wewe ni mfamasia au una ujuzi wowote fungua kitu kihusisho hicho kitakusaidia kwani utakuwa na ujuzi nacho kuliko kufungua kitu ambacho una ujuzi nacho utateseka best

ila fungua mradi wa kuku unalipa sana watafute watalaamu wakuelekeze kidogo namna ya kufanya utafainikiwa natumai mpaka hapa umeninielewa bestito

Yap nimekuelewa ila kielimu NIMESOMEA CIVIL ENGINEERING na biashara ambazo nitahitaji kufanya kuhusiana na Elimu niliyonayo zinaitaji MTAJI mkubwa sana na ndio sababu ya mimi kufikiria wazo kwama hili.

Ahsante pia kwa wazo la kufuga kuku wa kisasa ila pia hilo ujuzi nalo sina ila kama unaidea kuhusiana nalo may be waweza kunipa mwangaza kwa hilo best
 
1. kwanza upo mji gani?
2. Idadi ya watu wanaoishi (makazi) katika eneo unalotaka kufungua bishara hiyo.
3. Idadi ya ofisi katika eneo hilo.
4. life staili ya watu katika eneo hilo.
5. Kuna watu wanaofanya biashara kama hiyo au inayofanana na hiyo katika eneo hilo? nini mafanikio yao

Jaribu kufanya utafiti wa bishara ya kilimo na ufugaji katika mji wako
1. idadi ya hotel, migahawa na vijiwe vya kuchoma chips also pia zingatia point namba 2,3,4,5, juu

Toa majibu kisha tuendelee

Please naomba uangalie nimeedit post kutokana na mawazo yako ila Naishi DAR-ES-SALAAM maeneo ya SINZA kwa REMI na maeneo nilipo watumiaji ni wengi na kuhusiana na watu wenye biashara kama hiyo karibu si wengi kwa mazingira nayofikiria kufungua.
 
Fanya biashara ya e-money,vipodozi vinalipa ila changamoto nyingi hasa vipodozo fake........! mi ningekushauri uwekeze katika kilimo kwa hiyo pesa ingekulipa mara 3.

Yap mawazo mazuri lakini kiuhalisia inajulikana kabisa kila biashara ina changamoto na hata KILIMO pia kinachangamoto nyingi za aina yake ila kwa swala la kilimo itaniitaji nipate mda mwingi sana huko na mimi kwa kazi nayoifanya kimda inanibana sana.
 
nitakupa mwangaza usijali ila sasa niko busy kidogo
halafu fungua ujasiliamali kule utaona wengine wametoa post aza ufugaji kkuku utapata idea nako

Yap nimekuelewa ila kielimu NIMESOMEA CIVIL ENGINEERING na biashara ambazo nitahitaji kufanya kuhusiana na Elimu niliyonayo zinaitaji MTAJI mkubwa sana na ndio sababu ya mimi kufikiria wazo kwama hili.

Ahsante pia kwa wazo la kufuga kuku wa kisasa ila pia hilo ujuzi nalo sina ila kama unaidea kuhusiana nalo may be waweza kunipa mwangaza kwa hilo best
 
Sinza kuna Bar na Pub nyingi maarufu na zenye wateja. Tafuta jiko ukodi na kuingia mikataba na wenye Bar uuze chakula, kwa mtaji huo unatosha kabisa na ni biashara inayolipa sana hasa ukipata wapishi wazuri na maeneo mazuri.
 
Naingependa sn iwapowatz tutandea kuwa na moto wa kusaidiana kimawazo. Ni Siena msaada was maini kwa ni Huko in line na mawazo yako. Kuna MTU mmoja kasema ili ufanye biashra unayofikiria yahtaji at least 12mil. Za ziada nnazo km nitafute tuunganishe nguvu
 
Kampuni ya Chinaworldbuz Company Limited (CWB) ni kampuni ya muungano wa vijana wa kitanzania na kichina waishio jijini Shanghai-China.Kampuni hii iliyoanzishwa february mwaka 2012 jijini Shanghai kwa Lengo la kuifikia jamii ya wafanyabiashara wa Tanzania na Africa kiujumla watakao kununua bidhaa zenye ubora wa hali ya juu kutoka nje ya nchi (hususani China) kwa ajili ya kuboresha biashara zao.

Kutokana na kuwa na changamoto nyingi zinazowapata wafanyabiashara wa Tanzania katika nyanja za kukataliwa kibali cha kuvuka mipaka(VISA REJECTION), ugumu wa lugha ya kichina( LANGUAGE BARRIER),kupata bidhaa bandia (FAKE GOODS)katika masoko madogo madogo ndani ya China na pia kukosa mahusiano ya moja (DIRECT LINK) na viwanda vitengenezavyo bidhaa mbali mbali nchini China. CWB ni njia sahihi ya kuweza kuboresha biashara yako bila kukutana na changamoto tajwa hapo juu, ni rafiki mwema wa biashara yako, ni njia sahihi ya kuweza kutimiza ndoto zako katika uwanja huu wa biashara.

CWB,Tunatoa elimu ni jinsi gani ya kufanya kazi na sisi, tuna toa ushauri ni aina gani ya biashara mtu anaweza kufanya kulingana na mtaji wake, tunatoa maelezo ya kina kuhusu bidhaa zetu zote tuzitoazo mfano simu, tablets,nk. Kwa Sasa makao makuu ya ofisi za CWB yapo jijini Shanghai na ifikapo January 2014 ofisi zetu zitahamishiwa Ushirika Tower jijini Dar es Salaam. Kwa maelezo zaidi tafadhali tembelea website yetu www.chinaworldbuz.com pia unaweza wasiliana nami kwa email juely2006@yahoo.com au justineluvanda@gmail.com, simu namba +8613524159707.

Usiwe na shaka kuuliza au kuhitaji mafafanuzi ya kina. Tupo kwa ajili ya kufikia mahitaji ya wafanyabiashara na watu wanaotaka kufanya biashara.


Asanteni.
 
Unataka kuwa tajiri? Pitia uzi wa GAZETI upo sticky kwenye jukwaa la ujasiriamali.
 
Last edited by a moderator:
Kwakipindi hiki,,inawezaikawa vizuri zaidi ukawekeza kwenye kilimo,,kwasababu asilimia kubwa ya kipind hiki kuna Huduma muhimu kwa wakulima,kwa mfano mbolea,pembejeo n.k,ukazisogeza sehemu husika.japo sjajua gharama kwa mfuko na huduma nyingine.
 
Ni muda mrefu nimefikiria sipati jibu naona kama nitaanza kutumia mtaji , naomba ushauri nifanyie biashara gani?

Biashara

Mtaji wako waweza kuwa mdogo au ni mkubwa, hii inategemea na aina ya biashara utakayo taka kuwekeza, ningependa kukupa angalizo kidogo, bila shaka litakupa mwangaza kidogo kabla ya kuwekeza ktk biashara yoyote.


  • Kwanza tafuta biashara ambayo itakujenga kiakili, ambayo haitakufanya kuwa mtumwa wayo, ambayo itakupa fursa ya kuwekeza kichwa pia, OJT au OBT (ON JOB/BUSINESS TRAINING), Hii inamaana wafanya biashara huku ukijifunza kuwa mweredi zaidi. Wekeza kichwani kwanza. Benjamin Frankilin aliwahi kusema:- "if a man empties his purse into his head, no man can take it away from him. An investment in knowledge always pays the best interest."
  • Biashara nzuri ni ile inayogusa jamii, kutatua changamoto zilizopo kwenye jamii, hii yahitaji muda kidogo kufanya kautafiti, yaani ni kutafuta pengo na kulijaza ama kuwa suluhisho la changamoto.
  • Biashara nzuri ni ile ambayo itakupa passive income au Residual Income, itakayo kupa Inner Freedom, Location Freedom, Time Freedom na zaidi baada ya miaka mitatu au mitano yaweza kukupa financial freedom pia, tena ambayo yeyote aki – copy na ku-paste (kwani ni kawaida) biashara hiyo bado kwako itakuwa faida, yaani ambayo hautakuwa na choyo kumwelekeza mingine jinsi ya kufanya.
  • Tafuta Biashara ama fursa itakayokupa changamoto na kukupa ubunifu wa kupambana na changamoto hizo, kumbuka tunakua kutokana na changamoto tunazo kutana nazo kila siku, kubweteka ama kufanya kwa mazoea hakuletelezi kukua.
  • Pia ambayo itaenenda na mtaji wako, kwa kuwekeza kwanza kidogo, labda kama laki 4 kwanza na elimu (kwa gharama ndogo au bure) la namna ya kufanikiwa katika biashara hiyo la namna ya kuweka malengo na kufanikiwa. Tumia muda wa kutosha kujifunza kabla ya kutumbukiza pesa, jiridhishe kuwa hii biashara itakutoa. Abraham Lincolin alisemaga zamani – "Give me six hours to chop a tree and I will spend the first four sharpening the axe."
  • Katika karne hii ya sayansi na teknologia, fursa za biashara ziko za aina nyingi sana, ni juu yako kutafuta biashara sahihi na kuwekeza, usiangalie iliyorahisi sana au mazoea, au ambazo kila mtu anakimbilia, tafuta iliyohalali hata kama watu watakwambia ni ngumu, kumbuka wengi wanaosema biashara Fulani ni ngumu, asilimia kubwa hawajawai kuifanya, ama walisikia kuna mtu kajaribu kashindwa pasipo kujua kashindwaje, wao wanabeba bango kuwa ni ngumu, wanakuwa wanachagizwa na woga zaidi kuliko uhalisia.
  • Kila la kheri, ni PM ukiwa na swali lolote.
 
Biashara
Mtaji wako waweza kuwa mdogo au ni mkubwa, hii inategemea na aina ya biashara utakayo taka kuwekeza, ningependa kukupa angalizo kidogo, bila shaka litakupa mwangaza kidogo kabla ya kuwekeza ktk biashara yoyote.

  • Kwanza tafuta biashara ambayo itakujenga kiakili, ambayo haitakufanya kuwa mtumwa wayo, ambayo itakupa fursa ya kuwekeza kichwa pia, OJT au OBT (ON JOB/BUSINESS TRAINING), Hii inamaana wafanya biashara huku ukijifunza kuwa mweredi zaidi. Wekeza kichwani kwanza. Benjamin Frankilin aliwahi kusema:- "if a man empties his purse into his head, no man can take it away from him. An investment in knowledge always pays the best interest."
  • Biashara nzuri ni ile inayogusa jamii, kutatua changamoto zilizopo kwenye jamii, hii yahitaji muda kidogo kufanya kautafiti, yaani ni kutafuta pengo na kulijaza ama kuwa suluhisho la changamoto.
  • Biashara nzuri ni ile ambayo itakupa passive income au Residual Income, itakayo kupa Inner Freedom, Location Freedom, Time Freedom na zaidi baada ya miaka mitatu au mitano yaweza kukupa financial freedom pia, tena ambayo yeyote aki – copy na ku-paste (kwani ni kawaida) biashara hiyo bado kwako itakuwa faida, yaani ambayo hautakuwa na choyo kumwelekeza mingine jinsi ya kufanya.
  • Tafuta Biashara ama fursa itakayokupa changamoto na kukupa ubunifu wa kupambana na changamoto hizo, kumbuka tunakua kutokana na changamoto tunazo kutana nazo kila siku, kubweteka ama kufanya kwa mazoea hakuletelezi kukua.
  • Pia ambayo itaenenda na mtaji wako, kwa kuwekeza kwanza kidogo, labda kama laki 4 kwanza na elimu (kwa gharama ndogo au bure) la namna ya kufanikiwa katika biashara hiyo la namna ya kuweka malengo na kufanikiwa. Tumia muda wa kutosha kujifunza kabla ya kutumbukiza pesa, jiridhishe kuwa hii biashara itakutoa. Abraham Lincolin alisemaga zamani – "Give me six hours to chop a tree and I will spend the first four sharpening the axe."
  • Katika karne hii ya sayansi na teknologia, fursa za biashara ziko za aina nyingi sana, ni juu yako kutafuta biashara sahihi na kuwekeza, usiangalie iliyorahisi sana au mazoea, au ambazo kila mtu anakimbilia, tafuta iliyohalali hata kama watu watakwambia ni ngumu, kumbuka wengi wanaosema biashara Fulani ni ngumu, asilimia kubwa hawajawai kuifanya, ama walisikia kuna mtu kajaribu kashindwa pasipo kujua kashindwaje, wao wanabeba bango kuwa ni ngumu, wanakuwa wanachagizwa na woga zaidi kuliko uhalisia.
  • Kila la kheri, ni PM ukiwa na swali lolote.


Haya mambo ya darasani mimi wala huwa siyaelewi kabisa, mimi napenda kujifunza kutoka kwa wakulima waliofanikiwa kisha nashika jembe na kwenda kulima (nikta)
 
Haya mambo ya darasani mimi wala huwa siyaelewi kabisa, mimi napenda kujifunza kutoka kwa wakulima waliofanikiwa kisha nashika jembe na kwenda kulima (nikta)


"Once you stop learning, you start dying
". Albert Einstein

"Education is what remains after one has forgotten what he has learned in school."
 
Back
Top Bottom