Mtaji million sitini(60,000,000) biashara gani?

TZS 60M:

Agiza basi 2 toka Japan za Medium Capacity i.e 32-40 Seats.

Each pays you a net of TZS 100,000 Per day after deducting all expenses i.e fuel, drivers and conductors allowances as DALA DALA.

Assume some risks of breakdown and maintenance, you can estimate one bus works 5 days ina week giving you TZS 500,000/=

Two Buses will give you TZS 1,000,000/= in a week or TZS 52,0000/= in a year.

If you decide to shuttle upcountry like Lindi; Mtwara etc. the revenue is twice. i.e TZS 400,000/= for a return journey after deducting all expenses. that means in ayear you can make TZS 100 Million + or -.

NB: This is note a joke. People are doing this.

Get your Mid-Bus here: Sakura Automobile

JF is everything!
 
Duh pole for the D'
ilema,swali langu ni Do you have the Time to do Business Full time.kama jibu ni ndiyo basi utafanikiwa ktk biashara yoyote utakayofanya.kwa mazingira ya Tanzania Business Owner Must Be Around his/her Business 24/7
Tambua yafuatayo :
1.Watanzania (waajiriwa)kwa ujumla wao uaminifu ni 35% ,lazima aaangalie mianya ya kukupiga bao.
2.Ndugu na Jamaa wakijua unapesa kubwa hata kama ya mkopo,watajenga mazingira uwaajiri/uwape mkopo wa biashara-hapo ndio mwanzo wa kuvunja undugu.
3.Kodi za TRA /Serikali agencies za kufuatilia TFDA/TBS/Sumatra/serikali za mitaa lazima watakuwa mgongoni kwako

Kwa mtaji huo ingia ktk Construction business ,ajili Engineer /Technician,nunua vifaa vya kazi e.g Water Bozer ,Dumber or Excavator .utapata tenda mpaka uzikimbie.
 
Ukinunua shares kwa kutumia pesa za mkopo unarisk sana. Bei inabadilika sana probability ya kuapata ugonjwa wa moyo ni kubwa. Kumbuka mkopo utatakiwa kupeleka marejesho kila mwezi na shares profit inategemea na soko. Kumbuka tunatatizo la umeme so uchumi hauko sawa.
Mimi nakushauri kwanza kabla ya hujachukua huo mkopo, kwanza nenda National Insurance company omba bond ya huo mkopo wako. That collateral of yours itabakia na insurance company na sio benki. thus interest ya huo mkopo wako itakuwa ndogo bcoz the bank already have an assurance of getting back their money. Hapo ukikwama huwezi poteza mali yako bcoz insurance will be always there for you. So make sure umepata insurance ya huo mkopo wako usikurupuke.
Kuhusu biashara ya kufanya kama upo dar omba utawala wa ubungo ukupe ruhusa ya kujenja kibanda cha INFORMATION CENTER ndani ya Ubongo alafu chapisha bei nzuri za taxi maeneo yote ya Dar. kila mgeni (na wenyeji pia) antakae ingia Dar kutoka mikoani atafikia kwenye kibanda chako. Ingia mkataba na madereva taxi amabo niwaaminifu. mgeni atakulipa wewe then mpe resiti yako whereby hata ikitokea amesahau mzigo ndani ya taxi husika atakuwa na uwakika wa kuupata kutokana na contacts zilizopo kwenye resiti. You will be responsible kwavile taxi unazipangia kazi wewe, Utakua unabakiza copy ya resiti ikiwa na jina la mgeni na number ya taxi. you will be getting commission from the taxi kwa vile utakua unalipwa wewe alafu wewe ndio unamlipa dereva taxi. utakuwa unapata cha juu pekee. hutakiwi kumiliki taxi au bajaji ingia nao mkataba kutokana na bei utakazo zitangaza kwenye kibanda chako. KWenye kibanda pokea malipo kwa M-PESA, ZAP, na Tigo Pesa. Sio lazima mteja wako awe na cash. Kibanda kinatakiwa kiwe na mvuto with all informations za hotels ndani ya Dar na time za ndege na boat za kwenda zanzibar na pemba bila kusahau kivuko cha kigamboni.

Thats what we call creativity, big up kwa mawazo mazuri.
 
Superma[B said:
n;1538589]TZS 60M:

[/B] Agiza basi 2 toka Japan za Medium Capacity i.e 32-40 Seats.

Each pays you a net of TZS 100,000 Per day after deducting all expenses i.e fuel, drivers and conductors allowances as DALA DALA.

Assume some risks of breakdown and maintenance, you can estimate one bus works 5 days ina week giving you TZS 500,000/=

Two Buses will give you TZS 1,000,000/= in a week or TZS 52,0000/= in a year.

rekebisha kidogo hizo figure; kama kwa wiki atapata 1,000,000 ina maana kwa mwezi ambao una wiki nne atapata 4,000,000 na kwa mwaka ambao una miezi 12 atapata 48,000,000. Practically maintanance cost itakuwa kubwa ukumbuke gari unazo nunua ni used.
 
rekebisha kidogo hizo figure; kama kwa wiki atapata 1,000,000 ina maana kwa mwezi ambao una wiki nne atapata 4,000,000 na kwa mwaka ambao una miezi 12 atapata 48,000,000. Practically maintanance cost itakuwa kubwa ukumbuke gari unazo nunua ni used.

Wewe ndo rekebisha the way yo think.

I talk about weeks you talk about months. Mwaka una wiki 52. Double check that.

For first one year hakuna maintenance kubwa yoyote. He can sell the buses after 1 or 2 years.

Maintenace is once in a month and it costs only TZS 100,000/= that is general services.

Even if you set aside 10% for maintenance, the money is still cool.

Even after paying TRA, etc something close to TZS 750,000/= ina year you are still OK.

ask me your next question or challenge me!
 
...tatizo sugu la mgao wa umeme nchini, lazima akili iingie jinsi ya kuzi invest tshs 60m kwenye biashara bila presha ya kuipoteza nyumba kwenye mnada.

Wakati huo huo, kuna opportunity za kibiashara kwenye hii kaadhia ya Mgao wa Umeme nchini...
 
Hi mimi nina deal ya kusafirisha mizigo nje hasa DRC na zambia tatizo ni gari kwa hiyo hela tunaweza kupata lorry moja nipigie
0717326072
 
Ukinunua shares kwa kutumia pesa za mkopo unarisk sana. Bei inabadilika sana probability ya kuapata ugonjwa wa moyo ni kubwa. Kumbuka mkopo utatakiwa kupeleka marejesho kila mwezi na shares profit inategemea na soko. Kumbuka tunatatizo la umeme so uchumi hauko sawa.
Mimi nakushauri kwanza kabla ya hujachukua huo mkopo, kwanza nenda National Insurance company omba bond ya huo mkopo wako. That collateral of yours itabakia na insurance company na sio benki. thus interest ya huo mkopo wako itakuwa ndogo bcoz the bank already have an assurance of getting back their money. Hapo ukikwama huwezi poteza mali yako bcoz insurance will be always there for you. So make sure umepata insurance ya huo mkopo wako usikurupuke.
Kuhusu biashara ya kufanya kama upo dar omba utawala wa ubungo ukupe ruhusa ya kujenja kibanda cha INFORMATION CENTER ndani ya Ubongo alafu chapisha bei nzuri za taxi maeneo yote ya Dar. kila mgeni (na wenyeji pia) antakae ingia Dar kutoka mikoani atafikia kwenye kibanda chako. Ingia mkataba na madereva taxi amabo niwaaminifu. mgeni atakulipa wewe then mpe resiti yako whereby hata ikitokea amesahau mzigo ndani ya taxi husika atakuwa na uwakika wa kuupata kutokana na contacts zilizopo kwenye resiti. You will be responsible kwavile taxi unazipangia kazi wewe, Utakua unabakiza copy ya resiti ikiwa na jina la mgeni na number ya taxi. you will be getting commission from the taxi kwa vile utakua unalipwa wewe alafu wewe ndio unamlipa dereva taxi. utakuwa unapata cha juu pekee. hutakiwi kumiliki taxi au bajaji ingia nao mkataba kutokana na bei utakazo zitangaza kwenye kibanda chako. KWenye kibanda pokea malipo kwa M-PESA, ZAP, na Tigo Pesa. Sio lazima mteja wako awe na cash. Kibanda kinatakiwa kiwe na mvuto with all informations za hotels ndani ya Dar na time za ndege na boat za kwenda zanzibar na pemba bila kusahau kivuko cha kigamboni.



Duuuuuuuh,Bonge la Proposal la Biashara,Umeniacha mdomo wazi!!
 
rekebisha kidogo hizo figure; kama kwa wiki atapata 1,000,000 ina maana kwa mwezi ambao una wiki nne atapata 4,000,000 na kwa mwaka ambao una miezi 12 atapata 48,000,000. Practically maintanance cost itakuwa kubwa ukumbuke gari unazo nunua ni used.
Wewe ndio wa kurekebisha hesabu zako. Mwaka mmoja una wiki 52, sio kila mwezi una siku 28 yaani sawa na wiki 4 (7x4), kuna miezi ina siku 29, 30, 31....hizo bakia ndio zinazocover wiki 4 baada ya 28 kwenda 32, kifupi chukua 365/7.....
 
Ukinunua shares kwa kutumia pesa za mkopo unarisk sana. Bei inabadilika sana probability ya kuapata ugonjwa wa moyo ni kubwa. Kumbuka mkopo utatakiwa kupeleka marejesho kila mwezi na shares profit inategemea na soko. Kumbuka tunatatizo la umeme so uchumi hauko sawa.
Mimi nakushauri kwanza kabla ya hujachukua huo mkopo, kwanza nenda National Insurance company omba bond ya huo mkopo wako. That collateral of yours itabakia na insurance company na sio benki. thus interest ya huo mkopo wako itakuwa ndogo bcoz the bank already have an assurance of getting back their money. Hapo ukikwama huwezi poteza mali yako bcoz insurance will be always there for you. So make sure umepata insurance ya huo mkopo wako usikurupuke.
Kuhusu biashara ya kufanya kama upo dar omba utawala wa ubungo ukupe ruhusa ya kujenja kibanda cha INFORMATION CENTER ndani ya Ubongo alafu chapisha bei nzuri za taxi maeneo yote ya Dar. kila mgeni (na wenyeji pia) antakae ingia Dar kutoka mikoani atafikia kwenye kibanda chako. Ingia mkataba na madereva taxi amabo niwaaminifu. mgeni atakulipa wewe then mpe resiti yako whereby hata ikitokea amesahau mzigo ndani ya taxi husika atakuwa na uwakika wa kuupata kutokana na contacts zilizopo kwenye resiti. You will be responsible kwavile taxi unazipangia kazi wewe, Utakua unabakiza copy ya resiti ikiwa na jina la mgeni na number ya taxi. you will be getting commission from the taxi kwa vile utakua unalipwa wewe alafu wewe ndio unamlipa dereva taxi. utakuwa unapata cha juu pekee. hutakiwi kumiliki taxi au bajaji ingia nao mkataba kutokana na bei utakazo zitangaza kwenye kibanda chako. KWenye kibanda pokea malipo kwa M-PESA, ZAP, na Tigo Pesa. Sio lazima mteja wako awe na cash. Kibanda kinatakiwa kiwe na mvuto with all informations za hotels ndani ya Dar na time za ndege na boat za kwenda zanzibar na pemba bila kusahau kivuko cha kigamboni.

upo creative sana. Ubarikiwe.
 
Ukinunua shares kwa kutumia pesa za mkopo unarisk sana. Bei inabadilika sana probability ya kuapata ugonjwa wa moyo ni kubwa. Kumbuka mkopo utatakiwa kupeleka marejesho kila mwezi na shares profit inategemea na soko. Kumbuka tunatatizo la umeme so uchumi hauko sawa.
Mimi nakushauri kwanza kabla ya hujachukua huo mkopo, kwanza nenda National Insurance company omba bond ya huo mkopo wako. That collateral of yours itabakia na insurance company na sio benki. thus interest ya huo mkopo wako itakuwa ndogo bcoz the bank already have an assurance of getting back their money. Hapo ukikwama huwezi poteza mali yako bcoz insurance will be always there for you. So make sure umepata insurance ya huo mkopo wako usikurupuke.
Kuhusu biashara ya kufanya kama upo dar omba utawala wa ubungo ukupe ruhusa ya kujenja kibanda cha INFORMATION CENTER ndani ya Ubongo alafu chapisha bei nzuri za taxi maeneo yote ya Dar. kila mgeni (na wenyeji pia) antakae ingia Dar kutoka mikoani atafikia kwenye kibanda chako. Ingia mkataba na madereva taxi amabo niwaaminifu. mgeni atakulipa wewe then mpe resiti yako whereby hata ikitokea amesahau mzigo ndani ya taxi husika atakuwa na uwakika wa kuupata kutokana na contacts zilizopo kwenye resiti. You will be responsible kwavile taxi unazipangia kazi wewe, Utakua unabakiza copy ya resiti ikiwa na jina la mgeni na number ya taxi. you will be getting commission from the taxi kwa vile utakua unalipwa wewe alafu wewe ndio unamlipa dereva taxi. utakuwa unapata cha juu pekee. hutakiwi kumiliki taxi au bajaji ingia nao mkataba kutokana na bei utakazo zitangaza kwenye kibanda chako. KWenye kibanda pokea malipo kwa M-PESA, ZAP, na Tigo Pesa. Sio lazima mteja wako awe na cash. Kibanda kinatakiwa kiwe na mvuto with all informations za hotels ndani ya Dar na time za ndege na boat za kwenda zanzibar na pemba bila kusahau kivuko cha kigamboni.
your genius dude! I love u!
 
Davidson kwanza unafanya shughuli gani? Ni benki gani hiyo inayokukopesha kwa ajili ya kwenda kufungua biashara? kwa sababu kwa hapa Bongo hakuna venture capital banks zote ni commercial banks na masharti yake ni kwamba wanatoa mikopo kwa watu wenye biashara ambayo ni endelevu na ina umri wa miaka isiyozidi miaka 3. Masharti haya ni kwa sababu ya kupima kama uko serious. Hakuna benki inayotoa mkopo ili ukaanzishe biashara labda ukakope saccos. Hata hivyo kama unapata mkopo kwenda kuanzisha biashara unajiingiza katika risk kubwa sana ya kupoteza nyumba zako hata kama utaweka bima watu wa bima hawalipi compesation kwa uzembe lazima kuwe na sababu za msingi za wewe kushindwa kulipa mkopo ndipo watakubeba. Kwa kawaida utafiti kuhusu biashara mpya ndani ya miaka 3 asilimia 75% ya biashara hufilisika. Mimi ni mshauri wa biashara nimewashauri watu wengi kama wewe kufanikisha mambo yao tuwasiliane nipigie simu 0755394701

babalao kwa marketing haujambo. sasa si utoe ushauri wako hapahapa? dah, jamaa mjasiriamali wewe
 
TZS 60M:

Agiza basi 2 toka Japan za Medium Capacity i.e 32-40 Seats.

Each pays you a net of TZS 100,000 Per day after deducting all expenses i.e fuel, drivers and conductors allowances as DALA DALA.

Assume some risks of breakdown and maintenance, you can estimate one bus works 5 days ina week giving you TZS 500,000/=

Two Buses will give you TZS 1,000,000/= in a week or TZS 52,0000/= in a year.

If you decide to shuttle upcountry like Lindi; Mtwara etc. the revenue is twice. i.e TZS 400,000/= for a return journey after deducting all expenses. that means in ayear you can make TZS 100 Million + or -.

NB: This is note a joke. People are doing this.

Get your Mid-Bus here: Sakura Automobile





Note: Kwa biashara ya daladala, sumatra haisajiri gari zilizozidi miaka kumi.
 
Nawapongeza kwa wote waliotoa ushauri, anayeshauriwa ndie ataamua ni upi ulio bora kwa mazingira yake utafaa,
Nashauri azingatie utafiti wa kutosha kabla ya kuingia hasa kwa muda mrefu,
mfano kama atahitaji statstics za Hardware Retail business mm naweza kumpa za kutosha na hata za Dala dala kwa Dar three yrs experience, na micro lending n.k.
Pili hakuna business duniani isiyo na risk muhimu sana ni ku- compare hizo business zote ni ipi ina return kubwa zaidi ya zingine kwa kulinganisha na risk zake husika(risk/return trade off)


YIQw+rQWqzUAAAAASUVORK5CYII=
YIQw+rQWqzUAAAAASUVORK5CYII=


Mfano through my exerience kwa hiyo niliyotaja 1.microlending. 2.Dala dala 3.Hardware..

Tatu nigependa kukushauri ilikupunguza risk sbb pesa sio zako ni mkopo usijiigize kwenye Idea mpya kwani mara na nyingi sana zinaambatana na risk kubwa sana na hata kama zinavutia sana kwani ni soko pekee linaloweza kuthibitisha kuwa is the right and viable idea at the right time,right place, right customer,right price n.k kwa ujumla sio kutisha bali factors nyingi sana yawezekana usizione na pana mifano mingi sana khs New Ideas na New Products sokoni. labda baada kuimarika kiuchumi...

Nne fikiria kitu muhimu TAHADHARI pana namna nyingi ikiwemo mmoja ametaja Issuarance, napenda nikuongezee DIvesfication kwa kiswahili tunasema usiweke mayai yako yote kwenye kikapu kimoja. ukiweza wekeza kwenye miradi miwili au hata mitatu kwa namna hii utapunguza risk ya kupoteza sana kwa maana endapo mradi mmoja haukulipa iliyobaki itakukomboa japo pana shida ya management na concetration lkn BORA PITA MBALI SALAMA..

Nisinge kushauri Malori, Stock market share(hisa), Vile vile sina uhakika na Civil Construction Contracts, na hata temprary projects ambazo mradi ukiisha unaanza upya kutafuta kazi mitaani hadi ulichopata kinaisha tena, GO FOR LONG TERM PLAN- INVESTMENT/BUSINESS..
 
Kama huko tayari mkuu nakupa deal ili hapa.Mimi nina ardhi yakutosha kwa ujenzi wa hostel za wanafunzi hapa mkoani Kagera karibu na St.Augustin University Bukoba.Wanafunzi wengi wakaa mbali na chuo then ukijenga karibu hostel utawapata wengi.
 
Ndugu wanajamii,kwa kifupi nategemea kupata mkopo toka Bank moja hapa
Dar essalaam kwa kuweka nyumba yangu kama collateral(security).
original business idea ilikuwa ni kufungua nursary ambayo baadaye inge turn into
secondary school.Lakini kwa mtazamo wa haraka,naona kama hii biashara yahitaji
mtaji mkubwa kuweza kuwa na shule ya kiwango cha juu-kusurvive competition.Na kwa upande mwingine shule binafsi zimekuwa nyingi sana na serikali inazidi kujenga shule za kata.Nikiangalia mbele naona giza kwa watu wenye mitaji midogo na hasa baada ya watu wenye uwezo kuanza kuwekeza kwenye mashule na huku maisha ya working class yakizidi kuwa magumu siku baada ya siku.

Ombi langu ni: wapi naweza ku invest hii pesa?
hiyo investment naomaba iwe ni yenye turnover kubwa ili niweze kulipa
mkopo ndani ya miaka miwili au tatu kuepuka riba kubwa ya Miaka 5.

Natanguliza shukrani,kwa msaada wowote wa kimawazo.
Davidson!!

Bwana Davidson, kudos kwa kuja hapa JF na kuomba msaada wa mawazo ya biashara gani ufanye.

Kwa upande wangu, mie ushauri wangu ni huu.
Hio 60m/-, jaribu kuigawanya kwa 365.
Utapata kama 165,000/-.
Izidishe kwa 2.
Utapata 330,000/-.
Hii inaamanisha, haijali ufanye biashara gani, so long as, kila siku ya mungu. Lazima biashara yako iwe inaingiza sio chini ya 330,000/-, Ili uweze kulipa deni, kuishi na kutengeneza faida.
Ukiingiza labda 412,500/-, kwa mark up ya 2.5, ndio itakua bomba mno.

Kila la heri.
 
Bwana Davidson, kudos kwa kuja hapa JF na kuomba msaada wa mawazo ya biashara gani ufanye.

Kwa upande wangu, mie ushauri wangu ni huu.
Hio 60m/-, jaribu kuigawanya kwa 365.
Utapata kama 165,000/-.
Izidishe kwa 2.
Utapata 330,000/-.
Hii inaamanisha, haijali ufanye biashara gani, so long as, kila siku ya mungu. Lazima biashara yako iwe inaingiza sio chini ya 330,000/-, Ili uweze kulipa deni, kuishi na kutengeneza faida.
Ukiingiza labda 412,500/-, kwa mark up ya 2.5, ndio itakua bomba mno.

Kila la heri.



Very wrong maths, whaaat is this...!!!!
Here we go simple...
60,000,000 loan, Interest rate say 25%, watch out here most banks claim IR of 20% of which is not or is around 25% or more a bit
So total returns ni 75,000,000 in 2 yrs
i.e 2yrs = 730 days
So 75,000,000/730 = 102,739.726
Apprx. 103,000 daily hapa atakuwa anaweza kulipa deni lote bila yeye kuchukua chochote
So each day he MUST MAKE MORE THAN tshs 103,000 kila siku
kwa miaka 2 ili apate faida ( msisitizo apate zaidi ya tshs 103,000 kwa siku kwa miaka miwili ili apate faida ) na si 330,000 daily...
Great day ...
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom