Mamaya JF-Expert Member Jul 4, 2011 4,792 3,721 Oct 8, 2011 #21 Hicho huenda ni kipapai kapigwa kijana. RIP
only83 JF-Expert Member Oct 15, 2010 5,343 2,525 Oct 9, 2011 #22 Mwita25 said: Asije akawa Malaria Sugu Click to expand... Sasa malaria sugu kahusikaje hapa? Acha kuleta utani hata kwenye mambo ya msingi mkuu...
Mwita25 said: Asije akawa Malaria Sugu Click to expand... Sasa malaria sugu kahusikaje hapa? Acha kuleta utani hata kwenye mambo ya msingi mkuu...
Mwita25 JF-Expert Member Apr 15, 2011 3,831 1,164 Oct 9, 2011 #23 only83 said: Sasa malaria sugu kahusikaje hapa? Acha kuleta utani hata kwenye mambo ya msingi mkuu... Click to expand... Tatizo lako hata hujui JF ina majukwaa mangapi. Malaria Sugu hajasema kuwa yupo kwenye mitihani?
only83 said: Sasa malaria sugu kahusikaje hapa? Acha kuleta utani hata kwenye mambo ya msingi mkuu... Click to expand... Tatizo lako hata hujui JF ina majukwaa mangapi. Malaria Sugu hajasema kuwa yupo kwenye mitihani?