Unanitakia nini?
Nimekuona unanisema sema wiki hii, hujui niko bize nakamuliwa Ikulu?
Unataka kupoteza uraia wa jf naona.
Unanitakia nini?
Nimekuona unanisema sema wiki hii, hujui niko bize nakamuliwa Ikulu?
Unataka kupoteza uraia wa jf naona.
Hee! Maziwa mtindi ?
Kumbe pamoko? Kamuliwa tu huko mjengo mweupe! Wakitosheka makamuzi yahamie kwangu.
haina noma mkuu, ndo naitafuta wami hapa..
mkuu huwezi jua huko ikulu wanaweza yamaliza bifoo hujayafaidi. Kama vipi jifanye Hashim Thabiti uombe kumuona mkulu na wewe ukayafaidi ma milk..
Preta alikuwa safari tangu juzi sijawasiliana nae bado ila naamini atakuwa amerudi jana jioni.Poa poa Arifu. Preta atakuwepo?
Like... Tayari nimekudip aisee! Halafu kwenye meza ya Jf Udaku kuna skendo zako kadhaa..
kweli aisee, ndo maana siku hizi watu wanatafuta umaarufu ili wagombee ubunge...!
Preta alikuwa safari tangu juzi sijawasiliana nae bado ila naamini atakuwa amerudi jana jioni.
Wapo wengi sana aisee wala usijali siunajua huku ndo wazee wa JF wametulia?
Hahahahaha, Erick naona umebadili avatar. lolPoa utatukuta JF A town tuko full tunakungoja
ngoja tufanye mchakato wa kulirejesha gazeti uone kama utapona na miskendo.
Hahahahaa unataka kuvunja ukimya eeeh Lolhaina kwere kaka, ila ukifanya mpango Preta akawepo kwenye mapokezi ingekuwa bomba zaidi.
Hahahahahaaaa si nimekuiga wewe....Hahahahaha, Erick naona umebadili avatar. lol
Hakuna lolote.....sina skendo, watu wanajipendekeza sana kwangu.