Mtaalamu wa madini auawa Kenya

Junius

JF-Expert Member
Mar 11, 2009
3,181
139
t.gif
_46199790_bridges_226.jpg


Mtaalam wa madini aliyeuawa Kenya ndiye inasadikiwa alivumbua madini ya aina ya pekee ya Tsavorite

Mtaalam maarufu wa madini na vito vya thamani raia wa Scotland ameuawa nchini Kenya baada ya kuvamiwa na kundi la watu waliojizatiti kwa marungu, mikuki na mishale.

Mtaalam huyo Campbell Bridges, mwenye umri wa miaka 71, alishambuliwa na kundi la watu 20 katika kitalu anachomiliki cha hekari 600 karibu na mji wa kusini wa Voi.

Alijaribu kupambana na watu hao akishirikiana na mwanawe Bruce pamoja na wafanyakazi wake wanne raia wa Kenya lakini alikufa mara alipofikishwa hospitalini kutokana na majeraha aliyopata.

Polisi wanaendelea kuchunguza shambulio hilo ambalo linahusishwa na mzozo wa miaka mitatu wa kumiliki eneo hilo la machimbo lililokuwa linamilikiwa na Bwana Bridges.

Watu walioshuhudia wamesema mtaalam huyo alikufa kutokana na majeraha ya kushambuliwa kwa kisu. Hakuna mtu mwengine aliyekufa katika shambulio hilo lililotokea siku ya Jumanne.


SOURCE: BBC SWAHILI SERVICE
 
Last edited by a moderator:
t.gif
_46199790_bridges_226.jpg

Mtaalam wa madini aliyeuawa Kenya ndiye inasadikiwa alivumbua madini ya aina ya pekee ya Tsavorite
Mtaalam maarufu wa madini na vito vya thamani raia wa Scotland ameuawa nchini Kenya baada ya kuvamiwa na kundi la watu waliojizatiti kwa marungu, mikuki na mishale.
Mtaalam huyo Campbell Bridges, mwenye umri wa miaka 71, alishambuliwa na kundi la watu 20 katika kitalu anachomiliki cha hekari 600 karibu na mji wa kusini wa Voi.
olisi wanaendelea kuchunguza shambulio hilo ambalo linahusishwa na mzozo wa miaka mitatu wa kumiliki eneo hilo la machimbo lililokuwa linamilikiwa na Bwana Bridges.

SOURCE: BBC SWAHILI SERVICE


Yaleyaleee ya Zimbabwe.
Mtu mmoja anamiliki ekarii 600, wakati wengine (raia ) wanashindwa kumiliki hata pa kuichimba shimo la taka!

Kuua ni tendo la kutisha na hatua ya juu mno, lakini masuala haya yalitakiwa kusimamiwa vyema ili yasuluhishwe kabla ya hatua hii ya juu!
 
...He was a world-renowned gemstone expert, credited with discovering the green Tsavorite gem, a rare stone unique to the region. He had also worked as a special consultant to the New York jewellers, Tiffany and Co...Mr Bridges was attacked on 11 August by up to 30 men in the grounds of his 600-acre property near the southern Kenyan town of Voi. He was travelling in his pick-up truck with four guards and his son when they were ambushed.Bruce Bridges said the family had been threatened repeatedly in a dispute over access and control of their gemstone mines...Mr [Bruce] Bridges has dual UK and US citizenship - his mother is American - and he is appealing to both countries to help catch his father's killers...

Source: http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/8199627.stm
 
"Miafrika Ndo Tulivyo" NN

Tazama uzembe wa jeshi la polisi....

"It has escalated in the last few months and we have received multiple death threats, all of them documented by the police.

"On that very day my father and I had heard these bandits were digging trenches on our land, so we took that information to the police and asked them for extra security.

"They refused to aid us in any way and basically told us to go it alone. They left us to die."

Guards fled

After leaving the police station, the group had to return to Mr Bridges' property because a group of tourists was waiting for them there.
 
Du kumbe huyu mtaalamu-mwekezaji alianzia Tanzania kisha akakimbilia Kenya baada ya Mwalimu kutaifisha makampuni binafsi kufuatia kutangazwa kwa Azimio la Arusha la 1967 - hebu soma ripoti hii:

His Tanzanian mines were nationalised in the 1970s, and he moved his operations to Kenya – where he studied geological records and located tsavorite again. Initially he lived in a tree house, and claimed to have set a python to watch over the first gems he found. He kept a pair of leopards instead of guard dogs. He was also a special consultant to the famous New York jewellers Tiffany & Co.

Chanzo: http://www.guardian.co.uk/world/2009/aug/13/geologist-campbell-bridges-stabbed-kenya
 
Du kumbe huyu mtaalamu-mwekezaji alianzia Tanzania kisha akakimbilia Kenya baada ya Mwalimu kutaifisha makampuni binafsi kufuatia kutangazwa kwa Azimio la Arusha la 1967 - hebu soma ripoti hii:

His Tanzanian mines were nationalised in the 1970s, and he moved his operations to Kenya – where he studied geological records and located tsavorite again. Initially he lived in a tree house, and claimed to have set a python to watch over the first gems he found. He kept a pair of leopards instead of guard dogs. He was also a special consultant to the famous New York jewellers Tiffany & Co.

Chanzo: http://www.guardian.co.uk/world/2009/aug/13/geologist-campbell-bridges-stabbed-kenya

Kwa ufupi huyu bwana alikua ametufaidi sana hapa Easti Zoo. Nadhani
arobaini yake ilikua ishafika japo kwa mbinde kweli.Hawa walomuua kama
si wamasai basi ni wataita wa Voi na walikua na hasira ya kikatili kweli.

La kusubiria ni kama uchunguzi utasaidia kuleta haki itendeke ama
watalala kama hao polisi.Serikali ya Kibaki sijui itasimama wapi hapa.
 
Tazama uzembe wa jeshi la polisi....
Kama dola ilipuuza usalalma wake, mtu hatakosea akisema serikali imebariki mauwaji yale, kama bw. Bridges angetumia haki yake ya kujilinda,ungeona kibao kinavyomgeukia kama yule "settler" mwingine, bw. Delamere, aliyemuuwa yule "ngedere" na kushtakiwa kwa mauwaji.
 
Kenyan police: Arrest in Scottish geologist death



By TOM ODULA, Associated Press Writer

NAIROBI, Kenya – Kenyan police have arrested the suspected mastermind in the killing of a Scottish-born geologist, who was attacked last week by men armed with arrows, spears and machetes, in an apparent dispute over mining rights.

Alfred Makogo Njiruka, the chairman of a small miners association, was arrested Wednesday in Taveta, about 225 miles (360 kilometers) from the capital, Nairobi.

"We believe he is the mastermind behind the killing," the area's police chief Herbert Khaemba said. Police were still searching for other suspects.

About a dozen people attacked 72-year-old Campbell Bridges last week after he stopped to remove a log blocking a road, police said. Bridges had been driving to a mining camp by Tsavo West National Park, near where he lived.

In the 1960s, Bridges discovered a rare green variety of garnet, first in modern-day Zimbabwe and later in Kenya's neighbor Tanzania. Today it is mined chiefly in Tanzania and Kenya, and is named tsavorite after the park.

Bridges had received threats from people disputing his right to use a mining permit in the area, police said. Bridges had been mining for gemstones in the vicinity of Tsavo since the early 1970s.

His son, who was present during the attack, told The Associated Press that he recognized Njiruka as one of the assailants but that he believed the mastermind of the attack was still on the run. Bruce Bridges also said he had given police a list of people he suspects were behind the killing.

"I am not scared of these people," he said.

Southeast Kenya is sparsely populated and impoverished, because its dry, low-lying land is poor for most crops. The area's gemstone riches are mined by handful of companies. Many locals eke out their livings on plantations growing sisal, a plant that produces stiff fibers for making rope.
 
Last edited by a moderator:
Blood gemstones of Tsavo: How famous British miner met his death

BRIT.jpg

Mr Campbell Bridges, the British miner murdered in Kenya two weeks ago. PHOTO/COURTESY

By DANIEL WESANGULA

Events leading to the death of Mr Campbell Bridges, the British miner murdered in Kenya two weeks ago, point to an elaborate plan to gain control of the mining of rare and sought-after gemstones.

Mr Bridges’ son Bruce claims a fierce three-year battle for control of the mines of tsavorite -- the precious stone “discovered” by his father -- involving illegal mining, a politician and the local community preceded his death.

At the time of going to press, the area OCPD confirmed that one person suspected to be the leader of the gang that attacked Mr Bridges had been arrested.

The mines, leased to Campbell Bridges since 1971, had been attracting good money since 2003 from sales of tsavorite to jewellers and collectors in the United States and Europe.

Bruce Bridges told the Sunday Nation that certain people, who cannot be identified for legal reasons, tried to convince the owner of the ranch to strip Bridges of the mining rights and award them the lease to them instead.

Even though the ranch owner had a lease agreement with the Bridges, the people who wanted a piece of the action moved into the mines anyway.

“They (the illegal miners) did not leave. They operated several mines within a ranch on which the Bridges had legal mining rights,” said former area District Commissioner Kang’ethe Thuku, now stationed in Nakuru.

After going over the dispute, a newly appointed commissioner of mines ruled in favour of Bridges Exploration.

“But the businessman found another backer, a politician who whipped up emotions of the residents telling them the minerals belonged to the local people and anyone else benefiting from the minerals was an outsider,” the younger Bridges said.

Area Member of Parliament Calist Mwatela disputes Bruce Bridges’ claim, saying he did not know of any political interference with the activities of local businesses.

“There is no interference from any politician in the area. Businessmen are let to get on with their business as the law requires them to,” Mr Mwatela told the Sunday Nation.

Mr Bridges said that in September 2008, his father went to one of the illegal mines — their number had grown from three to five — to enquire whether they had received an eviction notice.

http://www.nation.co.ke/News/-/1056/644004/-/um6xhm/-/index.html
 
Back
Top Bottom