Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

Kuna Kansas kaniuliza AISEE DK YUKO VIZURII SANA

JE ANATIBU UKOSEFU WA AJIRA

KWAKWELI YEYE NI SWALA LA AFYA TU... HAYOO MENGINE PITENII VITUONI WALEMADK WANAMATANGAZOO KILA KITUOO NW
 
Sijawahi kusikia hiyo dawa. Hizi dawa za mitishamba hakuna uthibitisho yake.
Doc kama nilivyoeleza awali, nina tatizo la hormonal imbalance, nimeambiwa hospital kwamba hormones zinazohusika na kukomaza mayai ziko chini, hivyo mayai hayakomai, na tena nina ovarian cyst katka ovary ya kushoto, nimekula dawa lakini siponi, nami nataka mtoto wa pili! Nifanyeje sasa, au nitumie dawa gani kuondosha hiyo ovarian cyst na pia kubalance hrmones, ili nizae nina hamu mno na kuzaa!
Kuna madaktari walinishauri nifanyiwe operation kuondosha hiyo ovarian cyst, again kuna baadhi ya madaktari wanakataa wanasema haina haja ya operation, sasa nipo njia panda, nisaidie ushauri wako nitauthamini
 
Doc kama nilivyoeleza awali, nina tatizo la hormonal imbalance, nimeambiwa hospital kwamba hormones zinazohusika na kukomaza mayai ziko chini, hivyo mayai hayakomai, na tena nina ovarian cyst katka ovary ya kushoto, nimekula dawa lakini siponi, nami nataka mtoto wa pili! Nifanyeje sasa, au nitumie dawa gani kuondosha hiyo ovarian cyst na pia kubalance hrmones, ili nizae nina hamu mno na kuzaa!
Kuna madaktari walinishauri nifanyiwe operation kuondosha hiyo ovarian cyst, again kuna baadhi ya madaktari wanakataa wanasema haina haja ya operation, sasa nipo njia panda, nisaidie ushauri wako nitauthamini

Kuna Daktari Bingwa wa wanawake anaitwa Dr. Josephine - Hospital ya Sanitas iliyopo Mikocheni, Dar Es Salaam. Atakupa ushauri nzuri. Baada yakufanya Ultrasound atakuambia kwamba kuna haja ya kufanya procedure ya "drilling" au dawa kama "clomiphene" na "duphastone" yatatosha.
 
Nina tatizo la allergic condition ,ninawashwa sana maeneo ya kinywani,masikio na macho.nisipokunywa kitu cha moto kama chai hali hiyo inanisumbua hasa kwenye tezi zilizo kinywani taya la chini,napewa dawa za mzio lakini zinatuliza tu,baadae hali inaendelea vivyo hivyo.

Chukuwa dawa hii alafu nipe mrejesho:

Ebastan 5mg - kidonge kimoja kila siku asubuhi kwa muda wa wiki mbili.
 
Dr. Mtoto anasumbuliwa na vijipu uchungu vinatoka Na kurudi nini tiba yake hasa kipindi hiki cha joto.

Unaweza kumpakaa na dawa hii kwenye eneo anapata vijipu. Pakaa kidogo kutwa mara mbili na hakikisha nguo hazibani sana.

Hydrocortisone Cream.
 
Doctor habari yako na pia pole kwa majukumu lakini pia pongezi kwa kusaidia bin adam wenzako katika kujaribu kutatua matatizo yao ya kiafya.
Doctor naomba kuuliza kuna ugonjwa nimesikia unaitwa BLOOD CLOTTING, doctor huu ugonjwa husababishwa na nini na pia ni ipi tiba yake?.

Blood Clotting ni kitu cha kawaida kwenye mwili mtu ikimtoka damu anapoumia. Lakini Blood Clotting ikiwa kwenye kiwango cha juu sana mtu anaweza kuwa na clots kwenye mirija ya damu na hicho kinasababisha Stroke, Heart Attack na maradhi mengineyo.

Kwa kawaida watu wanapewa dawa ya Aspirin Junior 75mg na huwa wanameza kidonge kimoja kila siku usiku.
 
Dr .habar yako ? mke wangu anatatizo la kukosa usingizi. Ktk usiku mmoja saa 4 had saa 12 asubuh analala masaa mawili na kuamka na hukosa usingiz kabisa baada ya hapo had asubuh. Tatizo ni nini na ipi tiba?

Mkuu. Anaweza kuwa na stress nyingi bila kujuwa. Ni vizuri kuzungumza na kujuwa kama kuna stress au mawazo yeyote yanayomsumbua.

Pia ni vizuri kujenga mazingira mazuri kwaajili ya kupata usingizi. Ni vizuri kutokula na kutotumia simu nusu saa kabla ya kulala.

Anaweza pia kuchukua supplement hii, inasiaidia kwenye usingizi:

Melatonin - kidonge kimoja kila siku kwa muda wa wiki moja kwanza ili upate mrejesho.
 
Dr mm Nina tatizo sijui ni fagasi au VIP sehemu zangu za siri zinapata km magamba mangamba ambayo huaza kutoka utazani ungojwa wa ngonzi na huwa yanuma sana mda mqungine huacha vidoda kabisa na pembeni mwa mapaja huwasha na kutoa km unga unga mweupe?? Nn tatizo maana natumia maji ya chumvi kuonga ? Msada plz
 
Hbari Dokta miminina tatizo la kuumwa mgongo mara kwa mara kazi nifanyayo ni kutengeneza website za wateja je ni kitu gani au tiba gani naweza kufanya ili kuondoa tatizo hili? ASANTE
 
Kuna Daktari Bingwa wa wanawake anaitwa Dr. Josephine - Hospital ya Sanitas iliyopo Mikocheni, Dar Es Salaam. Atakupa ushauri nzuri. Baada yakufanya Ultrasound atakuambia kwamba kuna haja ya kufanya procedure ya "drilling" au dawa kama "clomiphene" na "duphastone" yatatosha.
Ahsante sana Daktari wetu mpendwa, kwa jinsi ninavyokuamini nimejikuta napata matumaini makubwa nitakwenda kuonana nae na nitakuletea mrejesho. Ahsante saaaanaaa, May God enlight your ways everyday!!
 
Kuna Daktari Bingwa wa wanawake anaitwa Dr. Josephine - Hospital ya Sanitas iliyopo Mikocheni, Dar Es Salaam. Atakupa ushauri nzuri. Baada yakufanya Ultrasound atakuambia kwamba kuna haja ya kufanya procedure ya "drilling" au dawa kama "clomiphene" na "duphastone" yatatosha.
Lakini hii clomiphene nimeshatumia saana to no avail....labda hiyo nyingine...duphastone....anway the Doc will tell me! Thanks once again!
 
Back
Top Bottom