Maberere
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 316
- 93
Mkuu Dr. Sajjad Fazel njoo ujibu maswali hku.
Dk badounaperuziDaktari naomba msaada; Mimi ni mwanamke, nasumbuliwa na tatizo la hormonal imbalance for about three years now. Ktk kuperuzi mitandaoni nimekutana na hii dawa inaitwa VITEX CHASTERBERRY, wanawake wengi wameisifu sana kwa kubalance hormones na kuwafanya washike mimba na kuzaa. Sasa nami nataka niitumie, sasa je 1. Dr. Uzoefu wako ni upi juu ya hii dawa? 2. Je, kwa hapa TZ naweza kuipata wapi? Ama katika maduka gani au phamarcy gani?
Nipo tayari kushauriwa Dr.
Ahsante
Mkuu hata mimi nasubiri jibu la hiyo sperm motility, pia, namna ya kuongeza sperm count.Mkuu kunawale wenyesjhida za mikiaa mbeguu azinanguvuu yakufika ukenii shidaa n ninii nadawazake iliziwe NA nguvu
Habari wakuu,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.
Karibuni sana.
View attachment 361607
Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.
[/QUO.
Mimi Nina shida moja yakuwa nikijimwagia maji mwili unakua unawasha hasa kama sijafanya mazoezi nimejaribu kwa madaktari wananiambia ni minyoo wengine allergy ya maji je nini maoni yako Mr. Plz kama naweza patajibu
Mkuu hata mimi nasubiri jibu la hiyo sperm motility, pia, namna ya kuongeza sperm count.
Daktari naomba msaada; Mimi ni mwanamke, nasumbuliwa na tatizo la hormonal imbalance for about three years now. Ktk kuperuzi mitandaoni nimekutana na hii dawa inaitwa VITEX CHASTERBERRY, wanawake wengi wameisifu sana kwa kubalance hormones na kuwafanya washike mimba na kuzaa. Sasa nami nataka niitumie, sasa je 1. Dr. Uzoefu wako ni upi juu ya hii dawa? 2. Je, kwa hapa TZ naweza kuipata wapi? Ama katika maduka gani au phamarcy gani?
Nipo tayari kushauriwa Dr.
Ahsante
Naomba kuuliza dawa za fungus za kwenye maungio ya mapaja dr
Dawa yakuongeza Sperm Motility & Sperm Count ni yafuatayo:
- Provirone 25mg, kidonge kimoja kila siku kwa muda wa miezi moja.