Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,652
- 8,542
Mkuu ungeenda hospitali kwanza ukapime vipimo ili utapokuja tena uweze kusaidia nini cha kufanyaHabari, mimi ninatatizo na koo langu baada ya kubalehe nimekua na sauti nzito sana ikiambatana na makohozi ambayo kama yana vumbi sasa nashindwa kuelewa ni tatizo japo sijawahi kwenda kwa daktari yeyote juu ya hili pia nahofia isijekua kansa maana baba yangu mdogo alikua nayo ya koo. tafadhari naomba msaada wako