Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

Dr mimi ni mwanamke wa miaka 39 nimetolewa kizazi mwaka juzi na sina tatizo ila swali langu ni; sehemu ya juu ya mdomo chini ya pua kumetokea rangi nyeusi mfano wa ndevu za kiume au mustache. sasa swali langu ni je hii alama inaashiria tatizo gani ndani ya mwili? na je dawa yake ni nini?
 
Dokta habari, mimi nauliza tiba ya kupunguzaa hamu ya kufanya tendo la ndoa(Kupunguza nguvu za kiume)
 
Habari dr, Mimi dr nimeambiwa nijiepushe na vitu vya sukari, sababu sukari inaninyemelea, sasa nauliza vipi matunda nayo yamo katika hiyo orodha ya vitu vya kuepukwa? Maana matunda nadhani yote yanasukari
 
Habari dr, Mimi dr nimeambiwa nijiepushe na vitu vya sukari, sababu sukari inaninyemelea, sasa nauliza vipi matunda nayo yamo katika hiyo orodha ya vitu vya kuepukwa? Maana matunda nadhani yote yanasukari
Punguza wanga kwa kiasi kikubwa na sukari.
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.









Hongera kwa msaada unaotoa kwa jamii
Mimi shida yangu ni kujua ni nini tatizo la FATTY HEART na je ninaweza kupata dawa
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.









Ndugu daktari kukiwa na kama kauvimbe sehemu ya haja kubwa na kutoka damu kidogo wakati wa kujisaidia haja kubwa ni tatizo gani..hiyo hali ina kama siku tatu.... mwezi mmoja uliopita nimekuwa niki experience muwasho kuzunguka sehemu ya haja kubwa na kauvimbe kalikuwa kadogo..je ni tatizo gani na tiba yake ni nini ?
 
Nina tatizo la kuwashwa sehemu za siri kwa miaka mingi kwa sababu ya fangusi. Pamoja na kutumia dawa mbali mbali za za kunywa na kupaka shida hiyo baado ipo. Nini ushauri wako ili kumaliza hilo tatizo?
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.









Nilianguka kwenye mti nikiwa mdogo, nikajigonga kwenye likichuguu mgogoni, nikawa nasikia maumivu kwenye uti wa mgogo, ila siku zilivyokwenda maumivu yakaacha. Ila ninapopata jambo la kunishtua au kuniogofya, huwa nasikia vitu kama sindano vinanichoma choma kwenye uti wa mgongo.


Nilivyokuwa mtu mzima nikapata ajali ya pikipiki nikajigongesha kwenye calvat ya zege kichwani hadi helment ika pasuka pasuka yote. Nikapelekwa hospitali bila kujitambua kwa muda wa mwezi mmoja, Mwenyezi Mungu kanisaidia nikapona. Ila kwasasa inafika wakati uti wa mgongo unauma na utosi wa kichwa unauma sana tu. NISHAURI nifanye nini kuondokana na haya maumivu?
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.









asante kwa hii fursa....

nina mzazi wangu miaka kama 90 Kapata taizo la kisukari je tiba mbadala ni ipi ni kipe tumfanyie kuanzia mlo na mambo mengine .Je adhari za ugonjwa ni zipi ??pia naomba kujua juu ya sindano za kisukari MADHARA YAKE YAPI?
 
Habari za kazi dr! Mimi ninasumbuliwa na UTI Nais imekua sugu maana nimetumia dawa had sindano Bt after sometimes inalud tena pili ninashida nyingine me Ni mwembamba Sana na tangu nipo mdogo sipend Kula Yan nikila kidogo nais nimeshiba naichukia hii hali Kwan nataman at least maana kg zangu Ni 38 hadi 35 najikaza Kula lakin siwez naomba nisaidie dr
 
Habari za leo Dr. S. Fazel!!
Mimi niatatizo la muda mrefu kwamba kila ninapoenda haja kubwa huwa ninawashwa sana sehemu ya haja. Aidha hivi karibuni kuliibuka tatizo lingine nalo ni kwamba choo huwa na chembechembe za damu, nilienda kituo cha afya walinipatia dawa ila baada ya kumaliza dawa hizo tatizo limerejea palepale. Tafadhari naomba msaada wako mkuu.
 
Habari dokta pole kwa majukumu ya kazi me Nina tatizo la miguu toka mwaka 2003 nikitembea huwa inajigosha kwenye joint nisaidie dokta nimetumia supu ya kongoro...bamia...lakini tatizo ninalo mpaka Leo... Na nikitembea mwendo mrefu nachoka Sana... Dada Miriam
 
Habari Dr pole na majukumu,Lakini naamini upo hapa kwa kutusaidia zaidi MUNGU akubariki..Dr tatizo langu ni kuwa na mbegu chache sana hivyo kutokupelekea kusababisha mimba kwani nimepima na Dr ameniambia Nina mbegu milioni 1 na ili usababishe
Mimba inafaa angalau ziwe mil4 sasa nataka kujua nifanye nini ili ziongezeke maana hata Kama nitapiga bao 3 bado ni kiasi kile kile,Au dawa gani itasaidia ahsante.
 
asalam aleikum Doctor
Leo ni siku ya 3 nahisi maunivu chini ya kitovu. maumivu yenyewe yapo kama vile ukibanwa na mkojo halafu ukabonyeza kwwnye kibofu. maumivu yalianza chini ya kitovu pande zote siku ya kwanza then siku ya pili yakawa katikati na upande wa kulia sasa leo nimeamka naona ni upande wa kulia tu ndo kuna maumivu. sasa sijajua ndo yanakwisha ama ni tatizo ambalo linahitaji uchunguzi zaidi. Maumivu siyasikii hata nikiwa nakimbia au kufanya shughuli yoyote ile ila nayasikia nikibonyeza sehemu husika. Naomba ushauri wako nitumie dawa gani kama tatizo hili litaendelea. Asante
 
dr naomba unisaidie tatizo langu, mi nikiwa kwenye tendo la ndoa nikitoa bao la kwanza penis ilala na baada ya dk tano inasimama na naweza kuendelea na natendo la ndoa hata dk arobaini bila kumwaga mbengu tena, hapa nifanyeje kuondokana na hili tatizo?
 
doctor naomba unisaidie, mm kila nkilala kifudifudi nkiamka najikuta nmechafuka na sperms, n nn suluhu ya jambo hill??
 
asante kwa hii fursa....

nina mzazi wangu miaka kama 90 Kapata taizo la kisukari je tiba mbadala ni ipi ni kipe tumfanyie kuanzia mlo na mambo mengine .Je adhari za ugonjwa ni zipi ??pia naomba kujua juu ya sindano za kisukari MADHARA YAKE YAPI?
MTAFUTE Mtambuzi ANAYO DAWA INATIBU 100%
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.









Habari, mimi ninatatizo na koo langu baada ya kubalehe nimekua na sauti nzito sana ikiambatana na makohozi ambayo kama yana vumbi sasa nashindwa kuelewa ni tatizo japo sijawahi kwenda kwa daktari yeyote juu ya hili pia nahofia isijekua kansa maana baba yangu mdogo alikua nayo ya koo. tafadhari naomba msaada wako
 
Back
Top Bottom