maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,277
- 5,514
Naomva kujua uzito sahihi wa mtoto wa umri wa miaka 5 kiume na 4 wa kike angalau range ya uzito au hata formula ya kujua weight ya mtoto acording to umri
Uvimbe umepungua kidogo na kichwa hakiumi ,napata maumivu kidogo eneo ya koromeoMkuu, niambie unavyoendelea baada ya siku 3. Je uvimbe unaongezeka? Je kichwa inaendelea kuuma? Je una homa?
Dawa ya bawasiri ipi n nzuri tofauti na kufanyiwa operations
Dr tatizo la magoti kutoa sauti kama kuna msuguano husababishwa nanini?na tiba yake ni nini??Habari wakuu,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.
Karibuni sana.
View attachment 361607
Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.
Usisahau kuna madaktari hewaaaHapana Lakini jamaa zangu kama watatu ni Madaktari pia nishawahi kuwa na wachumba wawili madaktari.