Dr. Sajjad Fazel
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 435
- 416
- Thread starter
- #521
Asante dr kwa ushauri na dawa kuhusu tinnitus.
Sent from my iPad using JamiiForums
Tupo pamoja mkuu
Asante dr kwa ushauri na dawa kuhusu tinnitus.
Sent from my iPad using JamiiForums
Dawa ya "alopesia areata.." Msaada please..
Dawa Ya mchubuko pembeni ya kichwa cha uume umejirudia mara ya piliDawa Ya mchubuko pembeni ya kichwa cha uume umejirudia mara ya pili
Asante sana nitatimiza ushauri wako
Tayar ka Maliza...nilienda kwa doctor akanipa dawa kasema inaweza ikawa allergy ya pampas.. Ila kutumia lakin naona hali bado nataka niende hospital kubwa.Je usha maliza chanjo zake?
Zipo usoni ni ndogo ndogo, na aina ya ngozi yangu ni kavu kiasi,Mkuu hizi chunusi zipo wapi?
Ndiyo kuna dawa nyingi ya allergy kwaajili ya vipele. Naomba uniambie dawa gani ulipewa?
CLOBEN-G ndiyo dawa walinipa ya kupaka nilipewaTube 1 na niliitumia mpaka nikaimaliza lakini vipele havijaisha
Zipo usoni ni ndogo ndogo, na aina ya ngozi yangu ni kavu kiasi,
Check Inbox.Tayar ka Maliza...nilienda kwa doctor akanipa dawa kasema inaweza ikawa allergy ya pampas.. Ila kutumia lakin naona hali bado nataka niende hospital kubwa.
Kwa sasa bado inanisumbua sana mkuu
Dawa ya Malaria Sugu dr.
Kuna uwepo wa huyo daktari humu kweli? Au tunajaza tu page?
akirudi huyo dr wenu mniite
Dr kwanza nakupa hongera kwa moyo wako huo wa kujitolea..,Niambie nikusaidiaje mkuu?