brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,264
- 2,275
Alaf pia ni kwa nini unaweza ukafanya tendo la ndoa na mwenye ukimwi lakini wewe usipate??Hivi kwa nini mbu hawezi kueneza ukimwi hali ya kuwa anaweza akamnyonya damu mwenye ukimwi at the same time akunyonya na wewe lakini maambukizi usipate.