Jeshi la polisi limefunga mitaa ya katikati ya jiji la Dar es Salaam kutokana na mapigano makali kati ya kundi la vijana waliokuwa wakipinga kubomolewa kwa nyumba na waliodai kuwa na hatimiliki ya nyumba hiyo ambapo watu kadhaa wamejeruhiwa vibaya na wengine wanashikiliwa na polisi
video hisani ya ITV Tanzania ya youtube
video hisani ya ITV Tanzania ya youtube
Last edited by a moderator: