Mtaa maarufu Dar wabadilishwa jina!!

Mziwanda, sababu zake za kutetea amezitoa nami kama yeye sioni kama anachotetea kuwa ni ujinga. Bali maelezo yanaoonesha ukweli wa mambo kuwa, pale tunapokubali Mafuta house kubadili jina, au Old Bagamoyo Rd kuitwa jina jingine, ni criteria gani zinafuatwa mpaka mabadiliko hayo yanakubaliwa as opposed kwa kubalishwa jina la huo mtaa hivi karibuni?

Benjamin anahusiana nini na ghorofa? Angalau kwenye huu mtaa kumejaa misikiti ya kwao. Ni sehemu ya identity yao. Au tunataka kusema kuwa hawa si sehemu ya jamii yetu?

Amandla.........
 
Kazi ya kuweka majina ya barabara, mtaa n.k inafanywa kwenye vikao vya wadiwani ndani ya halmashauri husika. Sasa iwapo unataka kujua sababu za kubadilishwa kwa jina la mtaa/barabara ni vema ukaenda katika Halmshauri husika, kabla ya kukimbilia hapa na blah blah blah!
 
Uwazi upi unaouzungumzia ndugu?kama kibao cha jina si kimebandikwa? na taratibu za kubadili zilifanyika tena zikawahusisha wa kazi wa eneo hilo na kama wewe ni mmoja wa wakazi wa eneo hilo utakuwa ni miongoni mwa wale wasio hudhuria mikutano ya mitaa.

Kuna mambo mawili hapa;
1. Jina la mtaa ni jina la temple moja wapo kati ya temples karibuni 5 za kihindi zilizopo mtaa wa Kisutu. Hii imesababisha mtafaruku mkubwa kati ya wakazi wa mtaa huo ambao sio wote ni wafuasi wa temple iliyojipa jina la mtaa. Kadiri ya taarifa nilizonazo wakazi wengi wa mtaa huo wamelikataa jina jipya kwa sababu linatukuza temple moja tu. Ila wafuasi wa Pramukh Swami Maharajah wanaonekana ni wazito na wanakwamisha jitihada zote za kuliondoa jina lao kwenye mtaa.

2. Taratibu za kubadilisha jina la mtaa ni ndefu na compicated sana na hazifanywi na wakazi wa mtaa tu. Kubadilisha jina la mtaa kuna-implications nyingi hasa kwa business adresses ambazo ni za muhimu sana. Na inatakiwa kuwe na sbb za msingi hasa za kubadilisha jinal la mtaa, na jina lisiwe na maslahi ya wachache
 
Kwa uwingi gani wawatu.? mpaka jina libadilishwe? hii inchi tutauzwa hata namitaa. Kumpa uongozi mu asia kua serekeli ya mtaa imekua kero kubwa .Dereva tex akiwa mtu mweusi hatakiwi pale. sasa wanajiona kama utawala ni wao wanajisahau.kama na hao weusi pia niwajenga inchi tena kwa jasho. wameendekezwa . sasa hata mitaa wanagawana!!! kwahiyo yote ya mjini watipa majina ya vijiji vya india!!! acheni upuuzi huo!!!!
 
Kwa uwingi gani wawatu.? mpaka jina libadilishwe? hii inchi tutauzwa hata namitaa. Kumpa uongozi mu asia kua serekeli ya mtaa imekua kero kubwa .Dereva tex akiwa mtu mweusi hatakiwi pale. sasa wanajiona kama utawala ni wao wanajisahau.kama na hao weusi pia niwajenga inchi tena kwa jasho. wameendekezwa . sasa hata mitaa wanagawana!!! kwahiyo yote ya mjini watipa majina ya vijiji vya india!!! acheni upuuzi huo!!!!

Mkuu, kama hakuna rushwa au ufisadi wowote uliotumika katika kufanikisha kubadili jina, kwa kweli sioni upuuzi wowote ule. Majina hubadilika na pingamizi huwepo. Tusilete hizi pingamizi kibaguzi baguzi kwa sababu tu hilo jina ni la Kihindi, tuangalie kama kuna ufisadi umetumika katika process hiyo.
 
Kwani Kisutu maana yake nini? Huu mtaa wakazi wake wengi wana asili ya Asia kwa hiyo ni vyema jina lika-reflect ukweli huo. Mbona tulipowanyang'anya shule zao, walizojenga wenyewe halafu tukayapa majina ya kimatumbi ( Jangwani, Azania, Tambaza n.k.) hawakulalamika? Wakati umefika wa kuwatambua kuwa nao ni sehemu ya jamii yetu kama wewe na mimi! Unaweza kukuta hata hili jina ndilo jina la asili la mtaa huo. Kwa wale tunaokumbuka Kisutu halisi (pembeni mwa Central Library) ilikuwaje wala hili halitupi taabu.

Amandla......

Anyway.. kwa limbukeni ambaye hajapata "exposure" ya kutosha jambo kama hili ataona ni sawasawa.. (kama alivyofanya huyu mchangiaji) Lakini kwa mtu alitembelea nchi nyingine haitampa shida kuona kuwa mtu anapoikataa asilia yake (eg kujipa majina ya kigeni) ambayo hajui hata maana yake ni utumwa na umaamuma wa hali ya juu...
 
Kuna mambo mawili hapa;
1. Jina la mtaa ni jina la temple moja wapo kati ya temples karibuni 5 za kihindi zilizopo mtaa wa Kisutu. Hii imesababisha mtafaruku mkubwa kati ya wakazi wa mtaa huo ambao sio wote ni wafuasi wa temple iliyojipa jina la mtaa. Kadiri ya taarifa nilizonazo wakazi wengi wa mtaa huo wamelikataa jina jipya kwa sababu linatukuza temple moja tu. Ila wafuasi wa Pramukh Swami Maharajah wanaonekana ni wazito na wanakwamisha jitihada zote za kuliondoa jina lao kwenye mtaa.

2. Taratibu za kubadilisha jina la mtaa ni ndefu na compicated sana na hazifanywi na wakazi wa mtaa tu. Kubadilisha jina la mtaa kuna-implications nyingi hasa kwa business adresses ambazo ni za muhimu sana. Na inatakiwa kuwe na sbb za msingi hasa za kubadilisha jinal la mtaa, na jina lisiwe na maslahi ya wachache

Thank you so much LaVerite... nimeona hata thanks niliyokupa kwenye link ya post yako haitoshi....
 
Anyway.. kwa limbukeni ambaye hajapata "exposure" ya kutosha jambo kama hili ataona ni sawasawa.. (kama alivyofanya huyu mchangiaji) Lakini kwa mtu alitembelea nchi nyingine haitampa shida kuona kuwa mtu anapoikataa asilia yake (eg kujipa majina ya kigeni) ambayo hajui hata maana yake ni utumwa na umaamuma wa hali ya juu...

Mwenye exposure ya kutetea kitu ni yule aliye tembea nchi nyingine tu? .... Kama ni hivyo, basi yeyote aliyepo hapa nyumbani na hajawahi kutembelea nchi nyingine hafai kutetea swala kama hili maana hana hiyo 'exposure'. Je huku siyo kujitusi mwenyewe na asilia yako?
 
Mwenye exposure ya kutetea kitu ni yule aliye tembea nchi nyingine tu? .... Kama ni hivyo, basi yeyote aliyepo hapa nyumbani na hajawahi kutembelea nchi nyingine hafai kutetea swala kama hili maana hana hiyo 'exposure'. Je huku siyo kujitusi mwenyewe na asilia yako?

FACT: Waafrika tumeathiriwa sana na utumwa... na mpaka sasa athari hizo zipo na zinaendelea... hayo sio matusi. Ni ukweli.
na "Exposures" zipo za aina nyingi... kutoka nje ni aina moja ...
 
Kama mkaazi wa hapo unajua ubaguzi unavyo shamiri kwa kasi . tena kuna mwanadada Yuko ofisi kataa ndioo anakimberembre. anaubaguzi hataki waswahili Wenzake.kaendekeza njaa kupewa vocha.imekua kama kazaliwa pale.kumbe hana hata Miaka 5,acheni hizo mmenunua majengo ya msajili weee!!! sasa ni mitaa.uchaguzi Unakuja,wamewadhulumu madereva tax walio anzisha kituo kwa makusudi yalazima.ukatili.Mtupu pale. wizi mtupu. waswahili hawana haki tena hua wanasema.acheni zenu sisi pale tuna pajua palivyo!!! wizi mtupu.
 
FACT: Waafrika tumeathiriwa sana na utumwa... na mpaka sasa athari hizo zipo na zinaendelea... hayo sio matusi. Ni ukweli.
na "Exposures" zipo za aina nyingi... kutoka nje ni aina moja ...

Macho_Mdiliko,

FACT: Waafrika kuathiriwa na utumwa ni lame excuse ambayo imepitwa na muda wake. In fact, hii excuse kutokana na kurudiwa rudiwa, imebadilika na kuwa state of mind na hivyo kuwa athari yenyewe.

Mkuu niambie katika utetezi uliotolewa na baadhi yetu ya jina kubadilika kuna athari gani za utumwa zinazipenyeza kutoka huko?

Kwa sababu umetumia exposure kama kigezo kimoja wapo cha kukataa kubadilika kwa jina na ku-relate hiyo exposure na utumwa; niambie kwenye habari zifuatazo kama kuna utumwa wowote umekuwa involved katika kupinga au kutetea mabadiliko ya majina:

Valleybrook South Drive residents oppose street name change
By Mike Monson
Wednesday, October 8, 2008 11:32 AM CDT

E-mail Story Printer-friendly

CHAMPAIGN – Valleybrook South Drive residents in southwest Champaign could soon be getting a new street name.

Hint: Think minty freshness.

Wintergreen Drive is the new name the city's staff is recommending for Valleybrook South Drive, a winding boulevard that is often confused with the street immediately north of it, Valley Brook Drive. Windsor Road separates the two streets.

Source link: The News-Gazette.com: Valleybrook South Drive residents oppose street name change

Also: Residents oppose changing street name - News
Tuesday, March 4, 2008 , 6:26 p.m.
Missionary Ridge residents oppose street name change

By: Michael Davis
(Contact)
Local public safety representatives want to change the name of a portion of South Crest Road on Missionary Ridge, but neighbors are fighting the proposed alteration, officials said.

John Stuermer, executive director of the Hamilton County Emergency Communications District, said it is important to change the portion of roadway so that first responders are able to locate residents in case of an emergency.

“This is a public safety issue,” Mr. Stuermer said during a Chattanooga City Council Public Works Committee meeting this afternoon.

But Dwayne Smith, who lives at 164 S. Crest Road, said changing his and other property owners’ address would decrease their property values.

“When people think of buying a home on Missionary Ridge, they think of South Crest Road,” he said in an interview.

Mr. Smith said property owners may sue the city if the street name is changed.

Lee Norris, deputy administrator of Public Works, said officials want to change the portion of South Crest Road that runs into and dead-ends at Bragg Reservation to the 3100 and 3200 blocks of Bragg Reservation Way.

“It’s about making sure that if somebody needs emergency services that our responders can find the residents,” Mr. Norris said.

The council is expected to hear the issue at next Tuesday’s 6 p.m. full council meeting.

For complete details, see tomorrow’s Chattanooga Times Free Press.


Source link: Chattanooga Times Free Press | Missionary Ridge residents oppose street name change


 
Mkuu niambie katika utetezi uliotolewa na baadhi yetu ya jina kubadilika kuna athari gani za utumwa zinazipenyeza kutoka huko?

Kwa sababu umetumia exposure kama kigezo kimoja wapo cha kukataa kubadilika kwa jina na ku-relate hiyo exposure na utumwa; niambie kwenye habari zifuatazo kama kuna utumwa wowote umekuwa involved katika kupinga au kutetea mabadiliko ya majina:

Rudi hapa:

Wakati baadhi ya Mashujaa wetu ambao wamechangia taifa letu la Tanzania kabla na baada ya uhuru hatuwaenzi ama tumewasahau kabisa... Mtaa mmoja maarufu sana hapa Dar es Salaam uitwao Kisutu ambao unaanzia Makutano ya Zanaki Freedom Electronics au Neha Batteries na Upanga/Ally Hassan Mwinyi (Haidery Plaza) umebadilishwa jina unaitwa Pramukh Swami Street Swali langu ni je

* Kwanini?
o Maana yake ni nini?
+ Kwa ruhusa ya nani?
# Na kuna ulazima gani ?
 
Rudi hapa:

* Kwanini?: kwa sababu majina hubadilika. It's natural, it's fact.
o Maana yake ni nini? Swali litajibika iwapo tu kama kila jina la mtaa hapa Tanzania lina maana yake.
+ Kwa ruhusa ya nani? Wakazi wa pahali hapo kupitia idara husika na kwa makubaliano yao.
# Na kuna ulazima gani ? Kama taratibu zote zimefuatwa katika kukamilisha zoezi hili, sioni sababu ya swali hili kuwa kipingamizi. Kama nilivyosema awali, kuna viongozi wetu ambao hivi sasa tumewabaini kuwa ni wahusika wa ufisadi, ambao wamepetiwa hadhi kwa tunuku za majina ya pahali au majengo, kuna au kulikuwa na ulazima gani?

Baadhi ya mashujaa wetu, akiwemo aliyetutoka hivi karibuni, Capt. Nyirenda walitakiwa kuwa wamepewa hadhi yao katika kuwakumbuka kwa majina muda mrefu tu uliopita. Lakini wapi, unakuta kiongozi mmoja wa kisiasa ameenziwa kila pahali bila pingamizi wala nini, kwa sababu tu wako kwenye siasa na ni vigogo wetu. Lakini undani wa mambo, michango yao katika Taifa kwa hadhi haina tofauti na hao mashujaa unaowasema, na pahala pengi utakuta inashabihiana na kuenziwa kwao kutokana na ufisadi walio shiriki.
 
steve d

wangetoa hela zao za misikiti na kwenda kujenga barabara yenye vumbi halafu waiite jina lao tungekaa kimya

mimi nilizania wao ni watanzania wenye asili ya asia kumbe ni waindi.
wanaweka hero wa kwao india this is wrong..
wangeweka prof shivji afadhali maana yake yeye ni muindi wa TZ na sio wa india.
 
ndio yale miss TZ muindi hajui kuongea kiswahili.
miss world ni shindano la utamaduni na kiswahili ni part ya utamaduni wetu
 
Hivi wakazi wa Bagamoyo Rd. waliulizwa maoni yao kabla ya mtaa huo kubadilishwa kuwa Ali Hassan Mwinyi Rd? Nauliza tu.
 
* Kwanini?: kwa sababu majina hubadilika. It's natural, it's fact.
o Maana yake ni nini? Swali litajibika iwapo tu kama kila jina la mtaa hapa Tanzania lina maana yake.
+ Kwa ruhusa ya nani? Wakazi wa pahali hapo kupitia idara husika na kwa makubaliano yao.
# Na kuna ulazima gani ? Kama taratibu zote zimefuatwa katika kukamilisha zoezi hili, sioni sababu ya swali hili kuwa kipingamizi. Kama nilivyosema awali, kuna viongozi wetu ambao hivi sasa tumewabaini kuwa ni wahusika wa ufisadi, ambao wamepetiwa hadhi kwa tunuku za majina ya pahali au majengo, kuna au kulikuwa na ulazima gani?

Baadhi ya mashujaa wetu, akiwemo aliyetutoka hivi karibuni, Capt. Nyirenda walitakiwa kuwa wamepewa hadhi yao katika kuwakumbuka kwa majina muda mrefu tu uliopita. Lakini wapi, unakuta kiongozi mmoja wa kisiasa ameenziwa kila pahali bila pingamizi wala nini, kwa sababu tu wako kwenye siasa na ni vigogo wetu. Lakini undani wa mambo, michango yao katika Taifa kwa hadhi haina tofauti na hao mashujaa unaowasema, na pahala pengi utakuta inashabihiana na kuenziwa kwao kutokana na ufisadi walio shiriki.



Huoni unakosea? Kwa nini kosa la awali litoe ruhusa au kuhalalisha kuendelezwa ufanyaji wa makosa ya mfano huo?
 
Kuna mwingine unaitwa HAZRAT ABBAS (AS) STREET huu upo pembeni ya Kituo kidogo cha Police Kisutu... Jamani endapo tutendelea kuruhusu mitaa yetu kupigiwa kura na wakazi wenye maslahi binafsi tutawaambia nini watoto wetu\vizazi vijavyo cna maana ya kupenda majina wapewe Mafisadi Laah ila kwa mtiririko huu Tuna kazi kubwa... Nitakuja na majina ya mashujaa ambao hawajaenziwa... TCRA mpo kule Mikocheni mmeweka majina ya wanyama sasa huku Sinza nadhani kama wakazi tutapendekeza majina ya Bia... Mfano: Mtaa wa SAFARI,TUSKER,NDOVU,HEINEKEN etc...
Nawasilisha
 
steve d

wangetoa hela zao za misikiti na kwenda kujenga barabara yenye vumbi halafu waiite jina lao tungekaa kimya

mimi nilizania wao ni watanzania wenye asili ya asia kumbe ni waindi.
wanaweka hero wa kwao india this is wrong..
wangeweka prof shivji afadhali maana yake yeye ni muindi wa TZ na sio wa india.

Sitetei kwa sababu ni Wahindi. Natetea kama process iliyotumika kupata jina imefanyika kihalal bila kupindishwa. Kama imepindishwa kwa kuingiliwa na ufisadi wa aina fulani, tuchunguze ni akina nani wamehusika na kupindishwa huko. Si tunakubaliana kuwa mtoa rushwa na mpokeaji wote ni wakosaji. Kama jina hatulipendi na sisi ni wahusika, imekuwa kuwaje jina hili likawa tayari limeshaidhinishwa na kuwekwa kwenye mabango?... kuna sehemu pamepindishwa iwapo wanajamii hawajahusishwa..... sawa sawa tu na majina ya mashule au majengo yaliyopatiwa majina ya mafisadi.

Pale wawekezaji wanapo wahonga viongozi wetu na kupatiwa contract za kutuumiza sisi wananchi kwa miaka 100 ijayo, ni nani wa kulaumu iwapo viongozi wetu hao hao wanachofikiria ni kujibinafsisha kwa haraka haraka bila kujali vitanzi wanavyojitwisha wao na wananchi wao katika mikataba hiyo?



ndio yale miss TZ muindi hajui kuongea kiswahili.
miss world ni shindano la utamaduni na kiswahili ni part ya utamaduni wetu
Mkuu hapa nadhani utakuwa unachanganya madawa isivyotakiwa.

Na kukukumbusha tu kuwa unachemsha nakupatia picha moja ambayo natumaini utaitambua:

monalewis_large01.jpg

Pia check hii link: The Apprentice star Mona Lewis in Miss Tanzania - see pics - mirror.co.uk


gadhi street inatosha

Katika kuendeleza ubaguzi unaweza kuwa una point nzuri tu...!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom