Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Wakati baadhi ya Mashujaa wetu ambao wamechangia taifa letu la Tanzania kabla na baada ya uhuru hatuwaenzi ama tumewasahau kabisa... Mtaa mmoja maarufu sana hapa Dar es Salaam uitwao Kisutu ambao unaanzia Makutano ya Zanaki Freedom Electronics au Neha Batteries na Upanga/Ally Hassan Mwinyi (Haidery Plaza) umebadilishwa jina unaitwa Pramukh Swami Street Swali langu ni je
- Kwanini?
- Maana yake ni nini?
- Kwa ruhusa ya nani?
- Na kuna ulazima gani ?
- Kwa ruhusa ya nani?
- Maana yake ni nini?