Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
Kama kila senti itokanayo na jasho letu mwajilimbikizia....unachokisema uko right.Naona memberz JF siku hizi tumekosa cha kujadili!
Kwa fikra hz nchi itaendela kuwa masikini tu!
Kama kila senti itokanayo na jasho letu mwajilimbikizia....unachokisema uko right.Naona memberz JF siku hizi tumekosa cha kujadili!
Kwa fikra hz nchi itaendela kuwa masikini tu!
Pia kandokando ya barabara unaweza kujhpatia miguu na utumbo wa kuku bila kusahau firigisi
Acha kulia lia..tumia resources na opportuinities zilizopo ujikwamue! Tafuta na wewe njia ya kujilimbikizia, siyo kulalama tuKama kila senti itokanayo na jasho letu mwajilimbikizia....unachokisema uko right.
Naona memberz JF siku hizi tumekosa cha kujadili!
Kwa fikra hz nchi itaendela kuwa masikini tu!
Rejao unaonaje ile barabara ya makanya/popobawa ikapewa jina lako mkuu
Apewe barabara ya kuingia nyumbani kwake kunaitwaje sijui huko chalinze.
Hapa mjini hamna mtaa wake, ila mashindano ya umiss tuyaite alhaj dr jk miss tz. Itakua kumbukumbu nzuri tu
Kibukuasili, alhaj na vichupi tena! utaacha BAKWATA waandamane bure! kwa kuhusisha cheo cha dini na vichupi.Apewe barabara ya kuingia nyumbani kwake kunaitwaje sijui huko chalinze.
Hapa mjini hamna mtaa wake, ila mashindano ya umiss tuyaite alhaj dr jk miss tz. Itakua kumbukumbu nzuri tu
Jambo wana JF... baada ya kumaliza karibu majina yote ya watu mashuhuri kwa Mitaa na Barabara hapa BONGO nawaomba tufunguke kuhusu Mtaa/Barabara tumpatie ******? Ndg.B.Mkapa tume-reserve Morogoro road... Hivyo tusahau hiyo...
Mimi napendekeza Barabara ya ipitayo Tandale Uzuri...kutokea Sinza Kijiweni hadi Magomeni kanisani... sifa ya kwanza ni ndefu na ni pekee ambayo haina jina rasmi...toa maoni yako bila jazba...
Acha kulia lia..tumia resources na opportuinities zilizopo ujikwamue! Tafuta na wewe njia ya kujilimbikizia, siyo kulalama tu