Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
Wazanzibar kuamka na kuchoswaa na mazingaombwe ya Muungano Fake. 
Gazeti hili linaonyesha wazi kuwa Nyerere lana tu lahi alimchity Karume na ndio ukaona alikuwa na mazungumzo ya siri baina ya watu wawili hao tu kama gazeti linavyo ileza kuwa walikuwa na (Secret talking).
Sasa Wasisi hao wawili wameshakufa na mkataba haupo wala hakuna alio nao na Tanganyika ndio ilookuwa mshirika wa Muungano nayo haitajwi imekufa .
Kipi tunacho kisubiri Wana wa Zamnzibar? Au ndio kumezwa katika utata na mazingaombwe haya ya Muungano wanayo tufanyia hawa Watanganyika wajitao Watanzania?
Hakuna shaka ispokuwa kunusuru Muungano ni kutarishwa kura ya Maoni kuulizwa wananchi juu ya hatma ya Muungano kama wanautaka uwe wa aina gani kama hawautaki ni kuishi na ujirani mwema na kukutana katika Muungano wa Africa Mashariki.
Ikiwa udugu wa kuingiliana kinchi na kimipaka Basi Tanganyika a. ni Bara limepakana na nchi nyingi ambazo hamuhitaji kuvuka unganene , na Kenya, Unganda Zambia na nyengine mulizo pakana nazo .
Sisi Wazanzibar tuasheni TUPUMUE.
Na Wajumbe wetu wa Baraza la Wawakilishi kitanzi kinakuja hicho cha Katiba ,mumeshaambiwa musiijadili ? Yani muipitishe tu kiutapeli ili mujisulubu wenyewe na Zanzibar yenu.
Hapo ndipo mutakapo angaliwa kipimo cha ujinga.