Umejuaje ni Msukuma?
Ukiangalia zile taa na honi unajua tu ni Ng'wadila ga wiza. Ila rangi bado hazijakamilika.Umejuaje ni Msukuma?
...suruali nyekundu---mjini hatuvai suruali nyekunduUmejuaje ni Msukuma?
...suruali nyekundu---mjini hatuvai suruali nyekundu
miwani ya kishamba shamba....born town hakuna mambo hayo yapo usukumani wakishauza pamba...
....cheki baskeli kaweka side mirror za bedifodi..
....alafu ukitaka kujua msukuma utamuona anajifanya mzalendo......angalia bendera ya taifa.....
afu sifa ya wasukuma wakiendesha baskeli lazima wapige mluzi.....mchizi hapo anaimba wimbo wa taifa kwa mluzi....
Yaani Yo Yo bila kusema msukuma halali
Ntakusukuma sasa hivi!
Yaani Yo Yo bila kusema msukuma halali
Ntakusukuma sasa hivi!
wasukuma wamevamia mjini aiseee.....ila huyu kiboko maana baiskeli yake ina uzito wa tani 1
Msukuma gani ana mwili kama wa mzaramo?!
Mwili wa ubwabwa huo,na wala si wa dona!
wasukuma wamevamia mjini aiseee.....ila huyu kiboko maana baiskeli yake ina uzito wa tani 1