RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,833
Msomi Ajitosa Udiwani Kata Ya Magomeni
1.Jengo la ofisi ya CCM Kata ya Magomeni.
2.Ndugu Ally Zawadi {kulia} ambaye ni mhadhiri(Lecturer) wa chuo cha usimamizi wa fedha {IFM} akichukua fumu ya kuwania kiti cha udiwani kata ya Magomeni wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam leo mchana.
3. Ngugu Ally Zawadi akisaini kitabu maalumu mara baada ya kukabidhiwa fomu katika ofisi za CCM kata ya Magomeni mapema mchana wa leo.{Piha:Victor Makinda}
Picha na Habari kutoka kwa MJENGWA BLOG.
1.Jengo la ofisi ya CCM Kata ya Magomeni.
2.Ndugu Ally Zawadi {kulia} ambaye ni mhadhiri(Lecturer) wa chuo cha usimamizi wa fedha {IFM} akichukua fumu ya kuwania kiti cha udiwani kata ya Magomeni wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam leo mchana.
3. Ngugu Ally Zawadi akisaini kitabu maalumu mara baada ya kukabidhiwa fomu katika ofisi za CCM kata ya Magomeni mapema mchana wa leo.{Piha:Victor Makinda}
Picha na Habari kutoka kwa MJENGWA BLOG.