Msomali wa Rostam anadhulumu watu New Habari

chaArusha

Member
Mar 24, 2011
88
31
Wakubwa JF

Nafikiri wote mnamfahamu yule Msomali wa Rostam Aziz aliyekataliwa na Kikwete asigombee ubunge wa Nzega, Hussein Bashe. Hivi sasa kapewa u- CEO wa kampuni ya magazeti ya Propaganda za akina RA na EL ya New Habari. Sasa kinachofanyika ni kwamba wafanyakazi wote wanakatwa kodi na michango ya mifuko ya pensheni, lakini haiwakilishwi inakopaswa.
Tokea amepewa wadhifa huo, wafanyakazi wengi wameacha kazi kutokana na staili yake ya uongozi ya Ki-El Shaabab, lakini wanapokwenda kwenye mifuko ya pensheni kuulizia mafao yao, hakuna kitu. Hii inaashiria pia kuwa hata fedha wanazokatwa kama kodi hazipelekwi Serikalini. Hadi leo, wafanyakazi wanadai mishahara ya miezi mitatu hadi minne, anadai kwamba hakuna fedha lakini kila siku anakwenda Nzega kutoa misaada ya mamilioni kwani bado ana ndoto za Ubunge licha ya kuwa ana uraia wa makaratasi. Hebu TRA fuatilieni hii kampuni nina hofu nayo kama kweli inalipa kodi stahiki
 
Wakubwa JF

Nafikiri wote mnamfahamu yule Msomali wa Rostam Aziz aliyekataliwa na Kikwete asigombee ubunge wa Nzega, Hussein Bashe. Hivi sasa kapewa u- CEO wa kampuni ya magazeti ya Propaganda za akina RA na EL ya New Habari. Sasa kinachofanyika ni kwamba wafanyakazi wote wanakatwa kodi na michango ya mifuko ya pensheni, lakini haiwakilishwi inakopaswa.
Tokea amepewa wadhifa huo, wafanyakazi wengi wameacha kazi kutokana na staili yake ya uongozi ya Ki-El Shaabab, lakini wanapokwenda kwenye mifuko ya pensheni kuulizia mafao yao, hakuna kitu. Hii inaashiria pia kuwa hata fedha wanazokatwa kama kodi hazipelekwi Serikalini. Hadi leo, wafanyakazi wanadai mishahara ya miezi mitatu hadi minne, anadai kwamba hakuna fedha lakini kila siku anakwenda Nzega kutoa misaada ya mamilioni kwani bado ana ndoto za Ubunge licha ya kuwa ana uraia wa makaratasi. Hebu TRA fuatilieni hii kampuni nina hofu nayo kama kweli inalipa kodi stahiki

Wana JF tumkaribishe huyu ndugu jamvini kaleta post ya Kwanza inaonyesha Anachuki Binafsi,pamoja na hayo BASHE amepokea madaraka ya Kuongoza hii kampuni mwezi NOV 2010 akiwakuta wafanyakazi wa kampuni hii wakiwa hawajalipwa Mishahara toka mwezi wa saba,Dogo huyo ameendesha kampuni yetu kisomi leo tunaweza kusema ametulipa nusu ya madeni ya nyuma na mpaka ninapoaandika andiko hili mm na wenzangu tunadai mshahara wa mwezi APRIL tu.ambao tuna uhakika tar 30 tutavuta kama kawaida

Hoja ya kwamba BASHE halipi kodi ama mafao ya wafanyakazi nayo ni hoja ya majungu bashe amekua akilipa mafao ya wafanyakazi kuanzia wale wote ambao walifanya kazi toka enzi za kina jenerali ulimwengu ambao mafao yao yalikua hayajapelekwa NSSF wala PPF wakiwemo wale waliokubali kuingia mikataba ya kinyonyaji katika miaka ya 2008 na 2007,Bashe amepokea kampuni yetu hii ikiwa na matatizo makubwa kutoka kwa watangulizi wake.

Staili yake ya uongozi ambayo ndugu yangu anasema ni ya ki alshabab wengi wetu hapa tulikua tunafanyakazi kwa mazoea tunaingia tumelewa kama kina mayage,na wengine,Bashe hakuvumilia hilo bali alikua mkali watu tulikua hatufanyi postmotam hakuna target hakuna habari tunaandika za uongo kuisaidia ccm na kumshugulikia dk wa kweli na mbowe leo kampuni hii yetu ikiendelea hivi tutakuwa moja ya chombo cha habari mahiri,ametupa uhuru wakuandika hata mauzo yetu yameongezeka .

Nikiongelea waliondoka wengi walioamua wenyewe wapo waliondoka kwa kuona hawana uwezo wa kukabiliana na kasi baada ya kupewa malengo wakashindwa kuyafikia walikimbia,wapo ambao walidhani watatumia mfumo wa kumtisha kwa kuwa tu wanamahusiano ya karibu na ROSTAM aziz ,mfano mayage alimuandikia BARUA ya kumwambia Bashe amuongezee mshahara asipoongeza yeye ataondoka BASHE akasema sikuongezei kwa sababu elimu yako ndogo na uwezo wako mdogo kwahiyo unaweza kuondoka,mayage aliamua kutoa taarifa kwa ROSTAM na bosi akamtaka BASHE afanye alichotaka mayage kwa kuwa mayage amekisaidia sana chama cha mapinduzi na mtakumbuka wana JF jinsi gazeti la RAI wakati wa uchaguzi lilivokuwa linaandika mambo ya ajabu,na hata ukisoma makala za mayage sasahivi RAIA mwema anakiri alivokua anatumiwa,hili dogo huyu aligoma akasema mpelekeni UHURU na mzalendo,aina hii ya uongozi ambayo tunapewa malengo wengi watakimbia hasa wale wa zamani,SIsi wafanyakazi tunmshukuru KIKWETE kwa KUMCHAKACHUA BASHE leo tunalipwa mishahar yetu bila shida angeteuliwa naamini tungeishi na yule muhindi alieondoka leo tungekuwa tunalia njaa,wana jf leo mm ni shuhuda mke wangu alikua anahali mbaya muhimbili BASHE kama kiongozi wa kampuni yetu aliokoa maisha yake wakati anaingia mwezi 11 alilipa pesa zangu zote ambazo waliotangulia walishindwa kulipa nikaokoa uhai wa mke wangu.CCM TUNAWASHUKURU KWA KUMCHAKACHUA na tunaomba wale wa old habari ambao mnatusumbua ondokeni tuijenge hii kampuni.

Mtakumbuka gazeti letu la mtanzania lilikua na rangi ya kijani na habari za ccm tupu leo tunajivunia mabadiliko tuliyonayo tulikua tunalipwa mishahara dirishani leo tunalipiwa benki tulikua na computer chache leo zipo za kutosha tulikua hatuna website leo tunayo JAMANI DOGO TUMTENDEE HAKI hawa wanaoleta majungu hapa jamvini tuwaogope kama ukomaaaaaa
 
Wakubwa JF

Nafikiri wote mnamfahamu yule Msomali wa Rostam Aziz aliyekataliwa na Kikwete asigombee ubunge wa Nzega, Hussein Bashe. Hivi sasa kapewa u- CEO wa kampuni ya magazeti ya Propaganda za akina RA na EL ya New Habari. Sasa kinachofanyika ni kwamba wafanyakazi wote wanakatwa kodi na michango ya mifuko ya pensheni, lakini haiwakilishwi inakopaswa.
Tokea amepewa wadhifa huo, wafanyakazi wengi wameacha kazi kutokana na staili yake ya uongozi ya Ki-El Shaabab, lakini wanapokwenda kwenye mifuko ya pensheni kuulizia mafao yao, hakuna kitu. Hii inaashiria pia kuwa hata fedha wanazokatwa kama kodi hazipelekwi Serikalini. Hadi leo, wafanyakazi wanadai mishahara ya miezi mitatu hadi minne, anadai kwamba hakuna fedha lakini kila siku anakwenda Nzega kutoa misaada ya mamilioni kwani bado ana ndoto za Ubunge licha ya kuwa ana uraia wa makaratasi. Hebu TRA fuatilieni hii kampuni nina hofu nayo kama kweli inalipa kodi stahiki

Wana JF tumkaribishe huyu ndugu jamvini kaleta post ya Kwanza inaonyesha Anachuki Binafsi,pamoja na hayo BASHE amepokea madaraka ya Kuongoza hii kampuni mwezi NOV 2010 akiwakuta wafanyakazi wa kampuni hii wakiwa hawajalipwa Mishahara toka mwezi wa saba,Dogo huyo ameendesha kampuni yetu kisomi leo tunaweza kusema ametulipa nusu ya madeni ya nyuma na mpaka ninapoaandika andiko hili mm na wenzangu tunadai mshahara wa mwezi APRIL tu.ambao tuna uhakika tar 30 tutavuta kama kawaida

Hoja ya kwamba BASHE halipi kodi ama mafao ya wafanyakazi nayo ni hoja ya majungu bashe amekua akilipa mafao ya wafanyakazi kuanzia wale wote ambao walifanya kazi toka enzi za kina jenerali ulimwengu ambao mafao yao yalikua hayajapelekwa NSSF wala PPF wakiwemo wale waliokubali kuingia mikataba ya kinyonyaji katika miaka ya 2008 na 2007,Bashe amepokea kampuni yetu hii ikiwa na matatizo makubwa kutoka kwa watangulizi wake.

Staili yake ya uongozi ambayo ndugu yangu anasema ni ya ki alshabab wengi wetu hapa tulikua tunafanyakazi kwa mazoea tunaingia tumelewa kama kina mayage,na wengine,Bashe hakuvumilia hilo bali alikua mkali watu tulikua hatufanyi postmotam hakuna target hakuna habari tunaandika za uongo kuisaidia ccm na kumshugulikia dk wa kweli na mbowe leo kampuni hii yetu ikiendelea hivi tutakuwa moja ya chombo cha habari mahiri,ametupa uhuru wakuandika hata mauzo yetu yameongezeka .

Nikiongelea waliondoka wengi walioamua wenyewe wapo waliondoka kwa kuona hawana uwezo wa kukabiliana na kasi baada ya kupewa malengo wakashindwa kuyafikia walikimbia,wapo ambao walidhani watatumia mfumo wa kumtisha kwa kuwa tu wanamahusiano ya karibu na ROSTAM aziz ,mfano mayage alimuandikia BARUA ya kumwambia Bashe amuongezee mshahara asipoongeza yeye ataondoka BASHE akasema sikuongezei kwa sababu elimu yako ndogo na uwezo wako mdogo kwahiyo unaweza kuondoka,mayage aliamua kutoa taarifa kwa ROSTAM na bosi akamtaka BASHE afanye alichotaka mayage kwa kuwa mayage amekisaidia sana chama cha mapinduzi na mtakumbuka wana JF jinsi gazeti la RAI wakati wa uchaguzi lilivokuwa linaandika mambo ya ajabu,na hata ukisoma makala za mayage sasahivi RAIA mwema anakiri alivokua anatumiwa,hili dogo huyu aligoma akasema mpelekeni UHURU na mzalendo,aina hii ya uongozi ambayo tunapewa malengo wengi watakimbia hasa wale wa zamani,SIsi wafanyakazi tunmshukuru KIKWETE kwa KUMCHAKACHUA BASHE leo tunalipwa mishahar yetu bila shida angeteuliwa naamini tungeishi na yule muhindi alieondoka leo tungekuwa tunalia njaa,wana jf leo mm ni shuhuda mke wangu alikua anahali mbaya muhimbili BASHE kama kiongozi wa kampuni yetu aliokoa maisha yake wakati anaingia mwezi 11 alilipa pesa zangu zote ambazo waliotangulia walishindwa kulipa nikaokoa uhai wa mke wangu.CCM TUNAWASHUKURU KWA KUMCHAKACHUA na tunaomba wale wa old habari ambao mnatusumbua ondokeni tuijenge hii kampuni.

Mtakumbuka gazeti letu la mtanzania lilikua na rangi ya kijani na habari za ccm tupu leo tunajivunia mabadiliko tuliyonayo tulikua tunalipwa mishahara dirishani leo tunalipiwa benki tulikua na computer chache leo zipo za kutosha tulikua hatuna website leo tunayo JAMANI DOGO TUMTENDEE HAKI hawa wanaoleta majungu hapa jamvini tuwaogope kama ukomaaaaaa
 
Wakubwa JF

Nafikiri wote mnamfahamu yule Msomali wa Rostam Aziz aliyekataliwa na Kikwete asigombee ubunge wa Nzega, Hussein Bashe. Hivi sasa kapewa u- CEO wa kampuni ya magazeti ya Propaganda za akina RA na EL ya New Habari. Sasa kinachofanyika ni kwamba wafanyakazi wote wanakatwa kodi na michango ya mifuko ya pensheni, lakini haiwakilishwi inakopaswa.
Tokea amepewa wadhifa huo, wafanyakazi wengi wameacha kazi kutokana na staili yake ya uongozi ya Ki-El Shaabab, lakini wanapokwenda kwenye mifuko ya pensheni kuulizia mafao yao, hakuna kitu. Hii inaashiria pia kuwa hata fedha wanazokatwa kama kodi hazipelekwi Serikalini. Hadi leo, wafanyakazi wanadai mishahara ya miezi mitatu hadi minne, anadai kwamba hakuna fedha lakini kila siku anakwenda Nzega kutoa misaada ya mamilioni kwani bado ana ndoto za Ubunge licha ya kuwa ana uraia wa makaratasi. Hebu TRA fuatilieni hii kampuni nina hofu nayo kama kweli inalipa kodi stahiki

Hussein Bashe ninanyemfahamu kwa kuda mrefu hana tabia za Ki- EL- Shaabab......punguza chuki na fitna,muache afanye kazi yake. Mtu kaanza kazi mwaka jana tu unamzungumza kama vile kakaa hapo miaka 20,ni ngumu sana kupokea kampuni iliyokuwa inaelelekea kubaya na kuweza kufanya aliyoyafanya so far. Si kila kitu uweke chuki zako binafsi.Suala la uraia lina relation gani na perfomance ya mtu? wazungu ma CEO wanaofanya kazi Vodacom na kwingineko,tunapima perfomace zao au kuzizungumzia kwa kuangalia uraia wao??? Huwezi hata ficha upumbavu na chuki binafsi zako. Alikuambia nani pesa anazopeleka Nzega zinatokana na kampuni yenu? unajua source zake za hela zote au unafikiri wewe kama unategemea mshahara wako kwa kila kitu na yeye ni hivyo hivyo???:yawn::yawn:
 
Hussein Bashe ninanyemfahamu kwa kuda mrefu hana tabia za Ki- EL- Shaabab......punguza chuki na fitna,muache afanye kazi yake. Mtu kaanza kazi mwaka jana tu unamzungumza kama vile kakaa hapo miaka 20,ni ngumu sana kupokea kampuni iliyokuwa inaelelekea kubaya na kuweza kufanya aliyoyafanya so far. Si kila kitu uweke chuki zako binafsi.Suala la uraia lina relation gani na perfomance ya mtu? wazungu ma CEO wanaofanya kazi Vodacom na kwingineko,tunapima perfomace zao au kuzizungumzia kwa kuangalia uraia wao??? Huwezi hata ficha upumbavu na chuki binafsi zako. Alikuambia nani pesa anazopeleka Nzega zinatokana na kampuni yenu? unajua source zake za hela zote au unafikiri wewe kama unategemea mshahara wako kwa kila kitu na yeye ni hivyo hivyo???:yawn::yawn:

YES, you may be right! huyu jamaa mtoa taarifa yaonyesha kwanza ni mgeni jf hivyo kupungukiwa na weredi wa kutoa taarifa zilizo makini na zenye kuchochea fikra. Hata hivyo, anayo fursa ya kuthibitisha aliyosema kwa kujibu hoja za M-mbogo hapo juu.
 
kuna mabadiliko makubwa katika habari za magazeti ya Habari Corporation hususani Mtanzania hivyo inaonyesha kuna improvement ya ndani
 
lakini hawa mafisadi na pesa yote waliyonayo kwa nini walikua hawawalipi mishahara? au sasa wanawalipa ili kuja kuwatumia 2015?
maana hata huyo basha kuja hapo yawezekana ni mikakati ya muda mrefu ya wao kujiosha kwa kutumia media zao, wanajua magazeti yao hayana mvuto kwa sasa hivyo inawapasa kubadilika ili wakubalike kabla ya kuanza kujisafisha kwa kutumia haya haya magazeti, mimi michezo ya wana ccm naijua hapa kinachofanyika ni kama jinsi watu wanavyopewa sukari wakati wa kampeni, hakuna kitu bashe anachoweza kuifanyia nchi, huyu ni mtumwa wa mtu, na hapa huko kwenye harakati zake za utumwa.
tuwe makini na watu kama bashe, ccm walishamshitukia ndio maana walimpiga chini ubunge kwa sababu za kijinga, mimi sina urafiki na ccm lakini wakati mwingine wanastahili pongezi, hasa kwa walivyo mfanya bashe kwa kuwa ni kibaraka.
najua ni out kidogo ya hoja lakini hapa najaribu kuweka msisitizo kwamba hapa hapo huko kazini katika kuwajenga mafisadi kwa ajiri ya 2015
Wana JF tumkaribishe huyu ndugu jamvini kaleta post ya Kwanza inaonyesha Anachuki Binafsi,pamoja na hayo BASHE amepokea madaraka ya Kuongoza hii kampuni mwezi NOV 2010 akiwakuta wafanyakazi wa kampuni hii wakiwa hawajalipwa Mishahara toka mwezi wa saba,Dogo huyo ameendesha kampuni yetu kisomi leo tunaweza kusema ametulipa nusu ya madeni ya nyuma na mpaka ninapoaandika andiko hili mm na wenzangu tunadai mshahara wa mwezi APRIL tu.ambao tuna uhakika tar 30 tutavuta kama kawaida

Hoja ya kwamba BASHE halipi kodi ama mafao ya wafanyakazi nayo ni hoja ya majungu bashe amekua akilipa mafao ya wafanyakazi kuanzia wale wote ambao walifanya kazi toka enzi za kina jenerali ulimwengu ambao mafao yao yalikua hayajapelekwa NSSF wala PPF wakiwemo wale waliokubali kuingia mikataba ya kinyonyaji katika miaka ya 2008 na 2007,Bashe amepokea kampuni yetu hii ikiwa na matatizo makubwa kutoka kwa watangulizi wake.

Staili yake ya uongozi ambayo ndugu yangu anasema ni ya ki alshabab wengi wetu hapa tulikua tunafanyakazi kwa mazoea tunaingia tumelewa kama kina mayage,na wengine,Bashe hakuvumilia hilo bali alikua mkali watu tulikua hatufanyi postmotam hakuna target hakuna habari tunaandika za uongo kuisaidia ccm na kumshugulikia dk wa kweli na mbowe leo kampuni hii yetu ikiendelea hivi tutakuwa moja ya chombo cha habari mahiri,ametupa uhuru wakuandika hata mauzo yetu yameongezeka .

Nikiongelea waliondoka wengi walioamua wenyewe wapo waliondoka kwa kuona hawana uwezo wa kukabiliana na kasi baada ya kupewa malengo wakashindwa kuyafikia walikimbia,wapo ambao walidhani watatumia mfumo wa kumtisha kwa kuwa tu wanamahusiano ya karibu na ROSTAM aziz ,mfano mayage alimuandikia BARUA ya kumwambia Bashe amuongezee mshahara asipoongeza yeye ataondoka BASHE akasema sikuongezei kwa sababu elimu yako ndogo na uwezo wako mdogo kwahiyo unaweza kuondoka,mayage aliamua kutoa taarifa kwa ROSTAM na bosi akamtaka BASHE afanye alichotaka mayage kwa kuwa mayage amekisaidia sana chama cha mapinduzi na mtakumbuka wana JF jinsi gazeti la RAI wakati wa uchaguzi lilivokuwa linaandika mambo ya ajabu,na hata ukisoma makala za mayage sasahivi RAIA mwema anakiri alivokua anatumiwa,hili dogo huyu aligoma akasema mpelekeni UHURU na mzalendo,aina hii ya uongozi ambayo tunapewa malengo wengi watakimbia hasa wale wa zamani,SIsi wafanyakazi tunmshukuru KIKWETE kwa KUMCHAKACHUA BASHE leo tunalipwa mishahar yetu bila shida angeteuliwa naamini tungeishi na yule muhindi alieondoka leo tungekuwa tunalia njaa,wana jf leo mm ni shuhuda mke wangu alikua anahali mbaya muhimbili BASHE kama kiongozi wa kampuni yetu aliokoa maisha yake wakati anaingia mwezi 11 alilipa pesa zangu zote ambazo waliotangulia walishindwa kulipa nikaokoa uhai wa mke wangu.CCM TUNAWASHUKURU KWA KUMCHAKACHUA na tunaomba wale wa old habari ambao mnatusumbua ondokeni tuijenge hii kampuni.

Mtakumbuka gazeti letu la mtanzania lilikua na rangi ya kijani na habari za ccm tupu leo tunajivunia mabadiliko tuliyonayo tulikua tunalipwa mishahara dirishani leo tunalipiwa benki tulikua na computer chache leo zipo za kutosha tulikua hatuna website leo tunayo JAMANI DOGO TUMTENDEE HAKI hawa wanaoleta majungu hapa jamvini tuwaogope kama ukomaaaaaa
 
kwani rostam naye anaguswa wakati yuko juu ya sheria na serikali ya kikwete kaiweka mfukoni?.......tusipoteze muda kujadili huto tupensheni kwani rostamu anasaidia sana sisi watz kupitia kuifadhiri ccm................bila yeye kusingekuwa ccm na bila sisiemu kusingekuwa na maendeleo na viongozi madhubuti km hivi............
mwacheni bashe raia wetu wa maana ambaye tafsiri ya uraia wake anayo masha na riziwani kikwete
 
Jamani niwaambie kitu kama kuna watu ambao wako smart kwenye uongozi basi ninakiri kwamba BASHE ni mmoja wao. uongozi huyo ameanzia Mzumbe University alikuwa vice president na kazi aliiweza kiukweli kwa hiyo hizo target anazoweka watu wazifikie ni style ya uongozi na ni kweli ni kitu ambacho watanzania hatujazoea kuendeshwa kwa malengo maalum huyo mtoa taarifa ni mpuuzi na mzandiki, ameshushuliwa na mfanyakazi wa new habari sasa sura lazima imemshuka.akatafute majukwaa ya kuleta uongo huko
 
Back
Top Bottom