dah! Nimpotea jukwaa.....napita tu
Dah! Asante mkuu kwa kunistua...nimejongeaHuko mbele wanachimba toilet pit halijafunikwa, rudi nyuma utatumbukia!
Kuna lijitu nimeliona humu uwani, limenichefuaaah...
mwambie akutue mweh!Kuna mijitu inatokea lile jukwaa la stress, inakuja humu inajifanya inasoshalaizi, limtu lenyewe likiwa kule linachefua, afu huku linajifanya linajichetuua, na kujidai lina upendo sana na sisi. Hebu mtuondokee huko...
huyu ni meHayo maswali waulize my ex, charminglady, na my next, CUTE.
mweeeh!! pole!! tena ngoja nili PM liondoke!!Kuna mijitu inatokea lile jukwaa la stress, inakuja humu inajifanya inasoshalaizi, limtu lenyewe likiwa kule linachefua, afu huku linajifanya linajichetuua, na kujidai lina upendo sana na sisi. Hebu mtuondokee huko...
Wew ni me au ke..????:sorry:
hahahahah ukimuona tena mtemee kohozi.....