Hivi si ndo huu msitu ambao Kamanda Zombe, alituhumiwa Kuwauwa wale wafanyabiashara wa madini toka MAHENGE?
ndio huko huko chief!!
serekali ikawekeze huko na kuufanya mji mdogo na kujenga uwanja mkubwa wa mpira.
Hapana, si kweli, pande na mabwepande zinapakana..., kama watokea bunju b, unaanza kwanza mabwepande pande, ukiendelea mbele kdg unaanza msitu wa pande na kuna bango kubwa wameandika pande game reserve,,,Magwepande na Pande ni sehemu mbili tofauti.
Pande ni Bagamoyo
Hivi si ndo huu msitu ambao Kamanda Zombe, alituhumiwa Kuwauwa wale wafanyabiashara wa madini toka MAHENGE?