Munambefu
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 2,608
- 6,503
Mbunge wa viti maalum CDM Mariam Msabaha amemtaka waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Kagasheki kuufanya msitu wa Pande eneo la utalii kwa kuweka wanyama badala ya kupafanya eneo la mauaji.Hayo yalisemwa na mbunge huyo wakati akichangia hotuba ya waziri huyo