Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Pengine wakati ukimtafuta wako wa maisha ulikuwa unatafuta vigezo kadhaa najua sio vyote ulivyopata kwakuwa wewe sio mungu kumpa kila kitu mtu anaeitaji ukaona miaka inaenda ngoja nikabane nae huyu huyu...sasa basi kuna wengine waliangalia
...elimu
.....ukabila
...uwezo wa familia pengine lazima wawe familia bora kama vijana wa mjini wanavyoita bila kujua wakwe walipataje wakaja kuwa na familia bora
--wengine wanapenda awe ameokoka anamheshimu mungu na kuamini kupitia uoga wa wa kumjua mungu basi hata kwenye ndoa anakwenda kuheshimu familia
na mengine mengi tu mwisho wa siku ukaamua sasa saa ya kupleekana kwa wazazi mkaamua kutangaza ucumba na wengine sitaki kwenda mbali wakafungishwa ndoa za mkeka wakiwa wanatambulisha mchumba sababu ya kumpa mimba binti bila ndoa...na mengine mengi tu
turudi kwenye mada kamili ni vizur baada ya ndoa ukakaa kama miezi ama sita mkafanya tathmini ya ndoa zenu na hili liwe mfululizo na si kusubiri mpaka shetani aingie ndani muanze vikao vya ndoa sikuhizi wazazi wengine kuwatoa nyumban kwenda vikaoni ni dili kama unatoa mahari sasa sipendi iwe kwa mwana jf wapendwa...ni vizuri ukaangalia mpaka miezi hii sita mke wangu tulikorofishana nini na src ilikuwa ni nini ....na wewe mke unakaa na kadaftari chako cha 250 kama huna natoa bure..unaanika mambo ambayo unahisi mumeo aliwakuwa amekasirika na kuhaatarisha hali ya usalama kwenye ndoa zenu nasema hivi nikimaanisha wachungaji sasa wamechoka kusuluhisha ndoa na wengine hata kuwageuka wanandoa ....so sipendi hili li kukute kaaeni chini na si lazima umwambie mwenzio ulichomuuzi wewe mwenyewe ukijua unaweza kubadilika labda nikupe mfano tu
m mkew angu nilikuwa nikirudi saa tatu na zaidi bila kujua nimepita wapi ndani unakula fresh na unyumba ukitaka unapewa lakini sura itakavyonuna hata asbh unatamani iwe usiku huo ..so ukiwa na akili unhama mapema na kama unajua mida hii inakaribia saa tatu na bahati nzuri nae ni mtandao mmoja basi nanyanyua simu naongea dk 1 nikifika nyumban swafiii nakuwa na amani....mambo aya tusimpe shetan nafasi jamani wakati mwingine shetani ni sisi wenyewe usisubiri kumekucha ndio unahisi kumwambia shengena, mapande, darleo ama saibaba umepata na shida ukahisi mawazo yake yaatakusaidia wanakucheka kwa nyuma nasema kwa kumaanisha....matatizo ya ndoa ni wawili tu hata ukita wazazi mara 10 kama mtashindwa nakwambia hata mwende israel ama vatican kuhiji ayaishi...
So all in all nionacho hapo ni ukosefu wa ufahamu..nasemaga na sitoacha kusema kuliko mungu akunyime mwana jf ufahamu bora akunyime uajiri akupe ufahamu na ufahamu aununuliwi ni kumjua mungu na kuishi katika matendo yanaompendeza yeye basiiiiiiiiiiii usitarajie unatoka kupiga nyumba ndogo usiku urudi nyumbani ukute amani labda ya syria
kila la kheri wanandoa wote mliopendana siku ya leo akikisheni amkutamaniana maana najua mshatoka kanisani na sasa ni too lte kurekebisha
...elimu
.....ukabila
...uwezo wa familia pengine lazima wawe familia bora kama vijana wa mjini wanavyoita bila kujua wakwe walipataje wakaja kuwa na familia bora
--wengine wanapenda awe ameokoka anamheshimu mungu na kuamini kupitia uoga wa wa kumjua mungu basi hata kwenye ndoa anakwenda kuheshimu familia
na mengine mengi tu mwisho wa siku ukaamua sasa saa ya kupleekana kwa wazazi mkaamua kutangaza ucumba na wengine sitaki kwenda mbali wakafungishwa ndoa za mkeka wakiwa wanatambulisha mchumba sababu ya kumpa mimba binti bila ndoa...na mengine mengi tu
turudi kwenye mada kamili ni vizur baada ya ndoa ukakaa kama miezi ama sita mkafanya tathmini ya ndoa zenu na hili liwe mfululizo na si kusubiri mpaka shetani aingie ndani muanze vikao vya ndoa sikuhizi wazazi wengine kuwatoa nyumban kwenda vikaoni ni dili kama unatoa mahari sasa sipendi iwe kwa mwana jf wapendwa...ni vizuri ukaangalia mpaka miezi hii sita mke wangu tulikorofishana nini na src ilikuwa ni nini ....na wewe mke unakaa na kadaftari chako cha 250 kama huna natoa bure..unaanika mambo ambayo unahisi mumeo aliwakuwa amekasirika na kuhaatarisha hali ya usalama kwenye ndoa zenu nasema hivi nikimaanisha wachungaji sasa wamechoka kusuluhisha ndoa na wengine hata kuwageuka wanandoa ....so sipendi hili li kukute kaaeni chini na si lazima umwambie mwenzio ulichomuuzi wewe mwenyewe ukijua unaweza kubadilika labda nikupe mfano tu
m mkew angu nilikuwa nikirudi saa tatu na zaidi bila kujua nimepita wapi ndani unakula fresh na unyumba ukitaka unapewa lakini sura itakavyonuna hata asbh unatamani iwe usiku huo ..so ukiwa na akili unhama mapema na kama unajua mida hii inakaribia saa tatu na bahati nzuri nae ni mtandao mmoja basi nanyanyua simu naongea dk 1 nikifika nyumban swafiii nakuwa na amani....mambo aya tusimpe shetan nafasi jamani wakati mwingine shetani ni sisi wenyewe usisubiri kumekucha ndio unahisi kumwambia shengena, mapande, darleo ama saibaba umepata na shida ukahisi mawazo yake yaatakusaidia wanakucheka kwa nyuma nasema kwa kumaanisha....matatizo ya ndoa ni wawili tu hata ukita wazazi mara 10 kama mtashindwa nakwambia hata mwende israel ama vatican kuhiji ayaishi...
So all in all nionacho hapo ni ukosefu wa ufahamu..nasemaga na sitoacha kusema kuliko mungu akunyime mwana jf ufahamu bora akunyime uajiri akupe ufahamu na ufahamu aununuliwi ni kumjua mungu na kuishi katika matendo yanaompendeza yeye basiiiiiiiiiiii usitarajie unatoka kupiga nyumba ndogo usiku urudi nyumbani ukute amani labda ya syria
kila la kheri wanandoa wote mliopendana siku ya leo akikisheni amkutamaniana maana najua mshatoka kanisani na sasa ni too lte kurekebisha