Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Anajua mimi ni Mama over 45. Kama una swali jingine muulize the boss
Mbona siku ile pale stand ulivyompungia mkono Kokudo hukua mzee hivyo?
Anajua mimi ni Mama over 45. Kama una swali jingine muulize the boss
Mbona siku ile pale stand ulivyompungia mkono Kokudo hukua mzee hivyo?
Futa hii post kabla sijaacha kuongea na wewe.
Naona wa dada wameamua kukaushia kujibu hoja ya msingi badala yake wanajadili umri tu.
Mkuu, huwa wanajisikia kupungukiwa sana. Wanawake wameumbwa kuwa appreciated. Kama Adam alipomwona Eva na akam-appreciate, ndivyo wanawake wote walivyo. Kwa hiyo wakiikosa hiyo huwa inaleta maumivu.
Ingawa kiwango cha kuumia kinaweza kutofautiana, lakini hiyo ndo hali halisi kwa ujumla.
wanawake,hivi huwa mnajisikia wanaume wasipowatongoza?kuna binti rafiki yangu na huwa tunashauriana mengi,amenipa malalamiko na amekuwa na majonzi katika maisha yake, kuwa ni muda sasa,yapata miaka 3 toka ameachana na x wake lakini cha ajabu hakuna mwingine aliyejitokeza hata wa kumdanganya tu kuwa anampenda!anajihisi upweke wa ajabu lakini ndio hivyo tena!!sasa anafikiria kwenda hata kwa wataalamu kwani kama kusali anahisi imefikia kikomo!ana miaka 36 na kwa kweli ni mtafutaji mzuri wa fedha hivyo maisha yake hayamshindi!tumshaurini wadau,afanyaje sasa?
Sikutaka ila umenilazimisha!
nachopendea JF hata lugha wanasahihisha,kweli sio binti at that age,wakati naandika nlikuwa fasta kuwahi daladala iliyokuwa inanikaribia
wanawake,hivi huwa mnajisikia wanaume wasipowatongoza?kuna binti rafiki yangu na huwa tunashauriana mengi,amenipa malalamiko na amekuwa na majonzi katika maisha yake, kuwa ni muda sasa,yapata miaka 3 toka ameachana na x wake lakini cha ajabu hakuna mwingine aliyejitokeza hata wa kumdanganya tu kuwa anampenda!anajihisi upweke wa ajabu lakini ndio hivyo tena!!sasa anafikiria kwenda hata kwa wataalamu kwani kama kusali anahisi imefikia kikomo!ana miaka 36 na kwa kweli ni mtafutaji mzuri wa fedha hivyo maisha yake hayamshindi!tumshaurini wadau,afanyaje sasa?
Ha ha kweli duniani kuna mambo haya big girl?
Nimeona mpendwa na kustaajab pia lol...
Huyu anaweza kujukuu kabisa!binti? At 36? Sio bibi huyo? Ashawahi kuolewa? Ana watoto?
Kwanza kabisa sema baadhi wanapungukiwa kwasababu sio wote. Kupungukiwa kunatokana na kutojiamini...yani kama mtu hajiamini kwamba yeye ni mzuri...anavutia..analipa mpaka aone mtu ameonyesha kuvutiwa nae ndio asipofuatwa na mwanaume akapewa mistari anaanza kutapa tapa kwamba mimi sio hivi...mara sio vile.
Kuhusu kua appreciated kwani kutongozwa ndio kua appreaciated????
mimi huona sawa tu.angedanganywa angelalamika.mwambie atongoze yeye
hahahaa!awali hatukuwa marafiki wakubwa,ndio tuka-xtend na sasa ndio tumekuwa wakubwa!hapo ndio mwisho wa xtensionMimi nadhani kwa kuwa wewe unajua matatizo yake vizuri zaidi, unaonaje urafiki wenu mkau-extend kidogo mkawa wapenzi ili umsaidie hilo tatizo lake? Urafiki ni kufaana mkuu siyo kushauriana maneno makavu tu.