Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
We kufa tu. La msingi ufe peke yako. Ata tukikuzuia leo sikunyingine ukipandwa na mizuka itajiua tu. Tena ungetuuliza sumu gani inaua haraka au inatesa sana.
Ah.hebu kwanza nilipe deni langu....usinipatishe dhambi ya kumdai marehemu.kwa sababu sitaona aibu kukudai kwa kuwa umekufa makusudi ili usinilipe. Tuonane wapi tumalizane?
wenzako huwa hawasemi ni vitendo bila kuchelewa.
Nishachangia kwa njia nyingine furahi sasa mwone kwanza kutaka post tu
We kufa tu. La msingi ufe peke yako. Ata tukikuzuia leo sikunyingine ukipandwa na mizuka itajiua tu. Tena ungetuuliza sumu gani inaua haraka au inatesa sana.
aisee....leo Kaishajabutege umetulia kweli!!
Kashaija, usinywe sumu, kamanda huwa anajilipua, Pwaaaaa!
Kashaija(Mushaija) nlitaka kuuliza maziko yatafanyikia maeneo gani? Karagwe,Kanyigo,Muleba,Maruku au??? ila coz watu tushachangia na umeahirisha kujiua basi ni jambo jema pia. Usipende kuwaza kujiua sio vizuri, sawaeeee????!!!
Msipochangia mada hii, leo mchana, majira ya saa 6.02 nitakula sumu.
Kama unaipenda si ule tu,mbona mimi asubuhi nimekula supu ya kuku na sijamwambia mtu.....
Ahsante.
Wanawake hampendi kuolewa.
Ningependa kuuliza swali je wapo wanaume wa kweli?couz kwanzia nijue wanaume wananimiza sana jamani kama yupo mkweli nijulishe nipate kumjua baadae tuoane