...msione aibu tutangazieni hali ya hatari tu.........................!!!!

only83

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
5,343
2,525
...........WanaJF wenzangu kwanza awali ya yote napenda kuwapa pole kwa matatizo haya ya umeme yanayoendelea kwa kasi...mgao huu wa umeme unaweza ukawa unaenda kufanana na ule mgao wa umeme wa 2006..Ni hali ya kuhuzunisha sana ktk hali hii hakuna kiongozi mkubwa wa kitaifa halieye kubali kutoa tamko la wazi kuhusu hii hali tata..Na cha kushangaza wanawarushia mzigo TANESCO waseme..Juzi siku ya ijumaa Clouds Fm kupitia kipindi chao cha JAHAZI walifanikiwa kumpata injinia mmoja wa TANESCO kuzungumzia hilo baada ya kupata taarifa kuwa BADRA MASOUD msemaji wa TANESCO yuko nje ya nchi kikazi..kwakweli waliofanikiwa kumsikia halisema wazi kama ifuatavyo...
  1. Tuache siasa tatizo la umeme ni kubwa sana na akasema hitaji la Taifa ni megawatt zaidi ya 800 na kwasasa mashine zetu zinazalisha megawatt 500 tu..kwahiyo tunaupungufu wa megawatt 300 na zaidi..
  2. Na akasema kwa uwazi kabisa...mgao wa umeme utadumu kwa nusu mwaka wote kwa wastani wa masaa 10 mpaka 24..hii inamaana kuwa kuna siku tunaweza kosa umeme kwa siku nzima.....
My concern is;kwanini hali hii itokee wakati matatizo tunayafahamu? Na kinachoniumiza ni kuwa viongozi wetu wakubwa kama Waziri mwenye dhamana ya umeme na Rais hawatoi tamko lolote kutokana na hali hii...Watanzania tutaendelea kuwa wapole kwa hawa watu mpaka lini?
Inakera na inaumiza...mimi jana nimekosa umeme tangu saa 1 usiku mpaka saa 7 usiku....itakuwaje?
 
...........WanaJF wenzangu kwanza awali ya yote napenda kuwapa pole kwa matatizo haya ya umeme yanayoendelea kwa kasi...mgao huu wa umeme unaweza ukawa unaenda kufanana na ule mgao wa umeme wa 2006..Ni hali ya kuhuzunisha sana ktk hali hii hakuna kiongozi mkubwa wa kitaifa halieye kubali kutoa tamko la wazi kuhusu hii hali tata..Na cha kushangaza wanawarushia mzigo TANESCO waseme..Juzi siku ya ijumaa Clouds Fm kupitia kipindi chao cha JAHAZI walifanikiwa kumpata injinia mmoja wa TANESCO kuzungumzia hilo baada ya kupata taarifa kuwa BADRA MASOUD msemaji wa TANESCO yuko nje ya nchi kikazi..kwakweli waliofanikiwa kumsikia halisema wazi kama ifuatavyo...
  1. Tuache siasa tatizo la umeme ni kubwa sana na akasema hitaji la Taifa ni megawatt zaidi ya 800 na kwasasa mashine zetu zinazalisha megawatt 500 tu..kwahiyo tunaupungufu wa megawatt 300 na zaidi..
  2. Na akasema kwa uwazi kabisa...mgao wa umeme utadumu kwa nusu mwaka wote kwa wastani wa masaa 10 mpaka 24..hii inamaana kuwa kuna siku tunaweza kosa umeme kwa siku nzima.....
My concern is;kwanini hali hii itokee wakati matatizo tunayafahamu? Na kinachoniumiza ni kuwa viongozi wetu wakubwa kama Waziri mwenye dhamana ya umeme na Rais hawatoi tamko lolote kutokana na hali hii...Watanzania tutaendelea kuwa wapole kwa hawa watu mpaka lini?
Inakera na inaumiza...mimi jana nimekosa umeme tangu saa 1 usiku mpaka saa 7 usiku....itakuwaje?

Itakuwa kama jusi, joto ya jiwe kwisa jua.
 
Alipata kunene haya:
"Tutahakikisha kuwa nchi haiwi gizani na kwamba umeme wa ziada unaotakiwa utapatikana na shughuli za uzalishaji mali na utoaji huduma zinaendelea kama kawaida."
J.Kikwete-2009


Tamko alilotoa ni hilo! Tusubiri akirudi (au kesharudi?) labda atatoa jingine.
 
Wewe saa moja mpaka saa saba sie huku kwetu siku tatu mfululizo,hali ni mbaya na ni aibu kwa taifa
 
Kuna watu walitakiwa wawe jela toka miaka kenda ilopita. Ni vema tukawaiga wachina wanavyofanya. Vinginevyo tuache kulalama. Tukaekizani na umeme ukirudi uendelee kuunguza vifaa vya electroniki.
 
Magamba ahsante sana kwa hali hii na kondoo wa kitz acha wataabike. Watu wamekua kama mbuzi hiyo ndo gharama ya kofia,khanga na scarf.
 
Watz wenzangu,sjui hawa viongozi wanawachukuliaje na kuwafikiria wananchi,hivi wo wanafikiri kuwa watu wote wanaishi kama wanavyo ishi wao na watoto wao,hakika isingekuwa kuogopa mods kwa ajili ya 'ban' ningewapa live.Miaka 50 baada ya uhuru,hatuna umeme wa kueleweka,nchi masikini,watu wankufa kw ajili ya huduma mbaya ya afya,elimu duni,walimu hamna,wakati wachache wananufaika na kushibisha mitumbo yao,tunaelekea wapi jamani,watu hawataki kubana matumizi sanasana ndo wameongeza matumizi ya kodi ya wavuja jasho!Ee Mungu sikiliza basi kilio cha watanzania
 
Kuna jambo tunatakiwa tufanye.......huu ni uhuni kabisa......
 
waone aibu wapi wanajua hatuwezi kuwafanya chochote nakuambia sisi umeme unakuja hatuoni unaondoka hatuoni mtu anarudisha umeme saa tano anauchulua saa kumi na mbili kila siku haya si matusi siku zao zinahesabika
 
Kuna watu walitakiwa wawe jela toka miaka kenda ilopita. Ni vema tukawaiga wachina wanavyofanya. Vinginevyo tuache kulalama. Tukaekizani na umeme ukirudi uendelee kuunguza vifaa vya electroniki.

Ingekuwa China kweli viongozi wote wangekuwa wameshac.....Inabidi tuwaondolee uvivu hawa.
 
Alipata kunene haya:"Tutahakikisha kuwa nchi haiwi gizani na kwamba umeme wa ziada unaotakiwa utapatikana na shughuli za uzalishaji mali na utoaji huduma zinaendelea kama kawaida."J.Kikwete-2009Tamko alilotoa ni hilo! Tusubiri akirudi (au kesharudi?) labda atatoa jingine.
amesema TANZANIA itauza umeme nje na itakua gas seller duniani
 
anatafuta wawekezaji....cjui mwekezaji gani atawekeza kwenye nchi hii na hili giza....
 
Back
Top Bottom