Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Kwenu wapendwa
hili limenikuta hivi karibun si haba kuwajulisha..nilifika pale engen mikochen nikauliza jamani kuna mayai ya kienyeji wakasema yapo..nikaenda nikanunua trei mbili nilipofika nyumban siku inayofwata mchana dada wa kazi akataka kutumia nikamwambia tumien tu maana nilitenga trei moja kwa ajili ya mtoto walipokaanga wakati wanayapasua kukawa kama yamearibika walipoweka jikon hakika ni kituko...wakavunja la pili la tatu nikiwa mkristo yakavunjwa 10 mabovu..nikawambia kanunue dukan..nikaakaa kama siku 5 kusema nipite niyarudishe nikayapitisha nikakuta dada mmoja aakadai kama unayo yalete alipona nayaleta akadai pol e lakin huwa wakichukua vitu hapa airudishwi..nikaasema eeh.....niliropoka sana kama wanakumbuka na wako humu..nikomba kumwona meneja ajaja....akika siku naypeleka ndug n aibu kubwa yananuka kama visa..ukiyaona ni meupe yako ukiingia mkono wa kulia....
Ndugu zangu sie tusiokula mayai akuna shida sasa watoto wetu si watatuulia...nikiwa natoka nikaitwa na dada mmoja wa mafuta akaniambia yale si ya kuku ni ya khanga..niliumia sana waakati nimeuliza jaman ya kienyeji
hii si mara ya kwanza hapo muwe makini tunaponunua vitu vya supermarket..kuna siku nilipita 2 months ago nikakuta mtu analalamikia vinywaji vimeisha muda wake bado vipo...nilishangaa ila nikasema labda hawa nilipofika imalaseko nikanunua mikate nilipofika hme nikakuta imeisha muda wake siku 6 zalizopita..niliogopa kuingia supermarket kwa muda kwa kweli
tuwe makini tunaponunua vitu hawa wafanyabiashar wanapotuona wachina wanatuletea uchafu wanaamua kutupa na sie uchafu..hatari sana
hili limenikuta hivi karibun si haba kuwajulisha..nilifika pale engen mikochen nikauliza jamani kuna mayai ya kienyeji wakasema yapo..nikaenda nikanunua trei mbili nilipofika nyumban siku inayofwata mchana dada wa kazi akataka kutumia nikamwambia tumien tu maana nilitenga trei moja kwa ajili ya mtoto walipokaanga wakati wanayapasua kukawa kama yamearibika walipoweka jikon hakika ni kituko...wakavunja la pili la tatu nikiwa mkristo yakavunjwa 10 mabovu..nikawambia kanunue dukan..nikaakaa kama siku 5 kusema nipite niyarudishe nikayapitisha nikakuta dada mmoja aakadai kama unayo yalete alipona nayaleta akadai pol e lakin huwa wakichukua vitu hapa airudishwi..nikaasema eeh.....niliropoka sana kama wanakumbuka na wako humu..nikomba kumwona meneja ajaja....akika siku naypeleka ndug n aibu kubwa yananuka kama visa..ukiyaona ni meupe yako ukiingia mkono wa kulia....
Ndugu zangu sie tusiokula mayai akuna shida sasa watoto wetu si watatuulia...nikiwa natoka nikaitwa na dada mmoja wa mafuta akaniambia yale si ya kuku ni ya khanga..niliumia sana waakati nimeuliza jaman ya kienyeji
hii si mara ya kwanza hapo muwe makini tunaponunua vitu vya supermarket..kuna siku nilipita 2 months ago nikakuta mtu analalamikia vinywaji vimeisha muda wake bado vipo...nilishangaa ila nikasema labda hawa nilipofika imalaseko nikanunua mikate nilipofika hme nikakuta imeisha muda wake siku 6 zalizopita..niliogopa kuingia supermarket kwa muda kwa kweli
tuwe makini tunaponunua vitu hawa wafanyabiashar wanapotuona wachina wanatuletea uchafu wanaamua kutupa na sie uchafu..hatari sana