pansophy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 502
- 320
walimu wafuate isipokuwa Polisi maana majangili watatumaliza.Ahsante sana mkuu,
Jamii forums inagreatthinkers wazuur sana. Hii inathibitisha kuwa iwapo CCM itang'oka nchi yetu inaweza pia kubadilika.
Daktari afanye upasuaji apewe allowance 10,000-mbunge anachapa usingizi wala hatoi mchango wowote mjengeno alipwe 200,000 allowance!!!!!!!!!!!!!!!!
To hell-Endeleeeni kugoma. Kada zingine nazo ziunge tela ikiwezekana.