Msimjaribu Zitto, mtaumia!

Wewe jaribu kufikiri basi yaani unataka Zitto alazimishwe kuhudhuria mikutano ya chama kama yeye hataki, huyo zitto wako wakati watu wako kwenye kampeni za uchaguzi wa Arumeru yeye anasema atagombea urais 2015 tumueleweje. Halafu na safari za rais ambazo sio rasmi anazokwenda zinatuweka katika wakati mgumu.

ki ukweli tangu zitto aingie kwenye kamati ya madini amebadilika.
 
Mpo wangapi? Maana unazungumzia kundi la watu, kama unauhakika wa cdm kuwepo au kutokuwepo kwaajili ya uwepo wa kundi lako/lenu kwanini basi usi/msi-anzishe m4c ndani ya cdm hatimaye wale wanaofaa kuwa viongozi washike madaraka? Kalaghabaho..
 
Ndugu unamatatizo sana tena makubwa kuliko hata huyo unae mlamba miguu!

Unahaki ya kutoa maoni lakini huna haki ya kuwapangia cha kufanya wanachadema (watanzania)

Kama Zitto anafaa chama ndicho kitaamua na watanzania watamuunga mkono! Lakini akijiona yeye anafaa ilihali chama kinaona hafai kwa mujibu wa taratibu za chama, basi milango iwazi kwake kwenda CHAMA chochote anachoona kitamfaa na kumuidhinisha kuwa mgombea!

Mimi binafsi narudia tena japo nilishasema katika makala zangu kuwa ZITTO KABWE kwa sasa hafai kuwa rais wa Tanzania labda huko mbeleni 2030 huko!

Hili ni kwasababu ya ideology yake kisiasa na kitabia!

Nakushauri ndugu mpambe, umshauri huyo Zitto wako atumie mda mwingi kujifunza siasa za tanzania aache siasa za kukopi na kupesti toka CDU Ujerumani! Chadema pamoja na kuzikubali siasa za CDU lakini huzichambua zile zinazoendana na jiografia ya nchi yetu!

Ni hayo tu ndugu mtumiwaji!

Ni

Mimi muamini wa mang'amuzi huru

Yericko Nyerere

Ndio wale wale! huna jipya!
 
Mpo wangapi? Maana unazungumzia kundi la watu, kama unauhakika wa cdm kuwepo au kutokuwepo kwaajili ya uwepo wa kundi lako/lenu kwanini basi usi/msi-anzishe m4c ndani ya cdm hatimaye wale wanaofaa kuwa viongozi washike madaraka? Kalaghabaho..

Tupo wengi tu, si rahisi kutuhesabu labda tuulizwe kwenye sensa.

Hakuna mahala nimeongelea kuwepo au kutokuwepo. Soma vizuri post yangu.
 
Wewe jaribu kufikiri basi yaani unataka Zitto alazimishwe kuhudhuria mikutano ya chama kama yeye hataki, huyo zitto wako wakati watu wako kwenye kampeni za uchaguzi wa Arumeru yeye anasema atagombea urais 2015 tumueleweje. alafu na safari za rais ambazo sio rasmi anazokwenda zinatuweka katika wakati mgumu.

ki ukweli tangu zitto aingie kwenye kamati ya madini amebadilika.

Kusema atagombea 2015 wakati wa uchaguzi Arumeru ndio kunakuweka kwenye wakati mgumu? ulitaka asiseme? ndio wale wale.
 
zomba naona Magwanda umewashika kweli hawana pakutokea mpaka kieleweke.
 
Last edited by a moderator:
Huo mfano ni relevant kwa mada iliyopo kwani mleta mada mwenyewe amesukumwa na udini kuanzisha huu uzi hivyo sioni cha maana zaidi ya kujibiwa kwa mifano hiyo.

Katika nyuzi yangu unaweza kuonesha huo udini ni upi? ntafurahi sana ukifanya hivyo.
 
Hakuna niliposema hayo maneno. Rudia post yangu usitie maneno yako kinywani mwangu.

Kwani hii ina tafsiri gani? Aliposhindwa Mbowe uchaguzi mkuu wa 2005, 2010 akawekwa Slaa, tunataka Zitto agombee 2015 tumpe kura zetu, kumbuka, hatuwapi kura CHADEMA tutampa Zitto Kabwe, bila yeye sahauni kura za wengi
 
Ni kweli mkuu, ila adui yako namba moja akikwambia fanya hivi ili tupigane vita basi jua KUNA TATIZO HAPO

Mfano wako umekwenda out of context.... sijawahi sikia Ferguson akimwambia Daglish namna ya kuchezesha midfield yake against Manuted

Tunaongelea mwana siasa anaekubalika ndani na nje ya chadema. Na hizo ndi sifa za Urais, kwani ukisha kuwa Rais, wewe sio tena kwa ajili ya chadema au CCM tu, ushindi au ushindwa wako utawagusa wote. Chukulia mfano wa Urais kwa mwana siasa ni kama kuingia timu ya Taifa. Usitake kunambia kwa kuwa mimi Simba basi goli likifungwa na mchezaji wa Yanga nisishangilie.

Uwepo wa Rais mzuri anaekubalika na wote utategemea kura za wengi wasio wa chama cha mgombea pekee, kuna wengi hawana vyama na hutazama mtu wanaemuona anawafaa, sio chama.
 
Kwani hii ina tafsiri gani? Aliposhindwa Mbowe uchaguzi mkuu wa 2005, 2010 akawekwa Slaa, tunataka Zitto agombee 2015 tumpe kura zetu, kumbuka, hatuwapi kura CHADEMA tutampa Zitto Kabwe, bila yeye sahauni kura za wengi

Hiyo ina maana wanaomkubali Zitto lakini si wanachama wa chadema, ambao ni wengi sana, mimi mmoja wao.
 
Kwani yote yanayosemwa humu wanayasema wenyewe? Haya ni yangu mimi, si ya mwengine. Nna kila sababu za kuchambuwa wana siasa kadri ya uwezo wangu.

Huna uwezo wa kuchambua wana siasa wewe, wewe ni mchumia tumbo tu unalishwa maneno ya umbea umbea na ya kuunga unga vitu unavileta hapa kwa kudhani zito ni kiraza kama ninyi kufanya kazi kwa fitina fitina za ki magamba.
 
Huna uwezo wa kuchambua wana siasa wewe, wewe ni mchumia tumbo tu unalishwa maneno ya umbea umbea na ya kuunga unga vitu unavileta hapa kwa kudhani zito ni kiraza kama ninyi kufanya kazi kwa fitina fitina za ki magamba.

Kajifunze Kiswahili kwanza ndio uje humu JF. Watu hawakisii humu. Utachekwa.
 
Though I am neither a member nor a fan of CHADEMA but I am suddenly a fan of Zitto Kabwe, if he runs for president and I am still alive, count my vote for him, if he continues the way he is now.

basi tuachie sisi wanachama ndo tutakao-amua, we shabik baki wa zitto subir maamuz ya wenye chama, usiendeshwe na ushabik usio na tija, kila kitu kina utaratibu wake, hata sis chadema tuna utaratibu wetu wa kumpata mgombea urais, hatuongozw na mashabik wa wanasiasa fulan, tunaongozwa na katiba yetu!
 
Toka zako, huna mpya. Zitto kama alivyo Shibuda ni mapandikizi ndani ya CDM, tofauti yao Zitto kasoma hivyo anafanya mambo yake ya kuhujumu CDM kisomi tofauti na kapuku Shibuda ambaye akiagizwa kitu anakurupuka tu huku kabana pua ili kujifanya mtu wa pwani, shame!! Kumbe inawauna Zitto kuenguliwa vikao muhimu vya maamuzi vya chama hivyo kukosa uzandiki wa kuwaletea. Huyo kishashitukiwa hana chake CDM, tamaa zinamponza.
 
Umetumwa na zitto?...unalipwa sh ngapi mwenzako ni
usalama wa taifa unajua?......zitto kwanza sio chadema, unajua chama cha zitto kilicho kwenye damu ni kipi?.........unachezea zitto weye mwenzako yuko chadema robo ya ccm robo tatu unajua yote haya?...nikupe ushahidi?.....kwa taarifa yako hatumtaki zitto hata kidogo hebu mshauri aondoke uone....mbona kaahidiwa vyeo vingi tu na kikwete mbona hajaenda?...anajua akienda ndo atakuwa kapoteza na kapotea pi. Usijifanye wewe ni msemaji wa zitto yeye anjua akifanyacho kuliko wewe mganga njaa tu
 
Bassaleh atupe darsa la uamsho tuchome makanisa na kupinga MoU japo sisi ndio tunaoongoza kwa kujifungulia Muheza Teule kwa kuwa tunazaa kila mwaka, uongo?

Enhee halafu nimekumbuka. Vipi ule mpango wetu wa kususia Sensa? Mimi nina usongo kweli wa kususa manake hatujafanya jambo la kijinga kitambo kweli.

Halafu nashauri tui-HACK Tanzania - Country Information manake inapotosha UMM'A. Inasema Vatican wapo 33% sisi (wanauamsho) ni 35% na makafir wengine ukiwajumlisha ni kama 13% hivi na waliobakia ni Wahindi na Masai. Sasa kwa nini hawakujumlisha za mapagani kwetu ili tuwe sawa kidini?

Mimi naona ule mpango wa kususia sensa uendelee

Peleka jukwaa au nyuzi husika.

Hapa ni Zitto Kabwe for President 2015.
 
Back
Top Bottom