nashkuru nina "msimamo" wa kutosha kabisa kwa maana ya msimamo ninayoijua mimi.
tusemeni amen.
habari zenu great thinkers! Naomba kuelimishwa juu ya m2 kuwa na msimamo. Mara nyng ktk mahusiano ya kimalovedav utasikia mwanaume/mwanamke anamwambia mwenzie huna msimamo hii inakaaje! Nini maana ya kuwa na msimamo? Nawasilisha.
nashkuru nina "msimamo" wa kutosha kabisa kwa maana ya msimamo ninayoijua mimi.
tusemeni amen.
hehe kameshaanza shule?aisee mjomba anakusalimia bwana
dictionary yangu inaniambiaga kuna msimamo mmoja tu kwa vidume, sijui jinsia ya upinzani wanalitafsiri vipi hili neno msimamo?.duh! mawazo yako yameenda kuleeeeee....ila nimekuelewa. Amen!
dictionary yangu inaniambiaga kuna msimamo mmoja tu kwa vidume, sijui jinsia ya upinzani wanalitafsiri vipi hili neno msimamo?.
ahhaaaaa aaahhaaa we kiboko lazima na wao wana msimamo watueleze tu hapa wao huwa wanasimama vipi
usihofu mama, mimi mara nyingi naachia sredi ikimbiee halaf nakuja mwisho kuweka konklushen. vumilia na stay tuned. nitafafanua kwa undani sana kwenye konklushen ya hii sredi.Krolokwin. Najua una idea pls
we hash wewe????
ahhaaaaa aaahhaaa we kiboko lazima na wao wana msimamo watueleze tu hapa wao huwa wanasimama vipi
Maana ya msimamo katika mapenzi ni kuwa na uthabiti kifalsafa, kiamwazo na kimatendo. Kwa mfano kama wewe unakubaliana na suala la ngono nje, fanya systematically na kwa uwazi. siyo leo umengonoka nje kesho unaomba kusamehewa huo ni upumbavu. Unatakiwa ungonoke kwa kwenda mbele halafu umjulishe mwenzi wako kuwa huwezi kuacha ngono nje ya mahusiano halafu afanye choice kama anaendelea na wewe au la. simple. usiri wa nini. be yourself live your principles and make them clear to ur partner.habari zenu great thinkers! Naomba kuelimishwa juu ya m2 kuwa na msimamo. Mara nyng ktk mahusiano ya kimalovedav utasikia mwanaume/mwanamke anamwambia mwenzie huna msimamo hii inakaaje! Nini maana ya kuwa na msimamo? Nawasilisha.
Mmh! Hii nzurikutokuwa na msimamo ni kuwa , wa kiume halafu unategemea ufadhili wa kike............ tehtehhhh
habari zenu great thinkers! Naomba kuelimishwa juu ya m2 kuwa na msimamo. Mara nyng ktk mahusiano ya kimalovedav utasikia mwanaume/mwanamke anamwambia mwenzie huna msimamo hii inakaaje! Nini maana ya kuwa na msimamo? Nawasilisha.