Msimamo wa Jeshi la Polisi kufuatia mauaji ya Raia Arusha



mkuu hii imekaa fresh.
JK anapendwa na hao wafadhili kwa sababu wanafaidi rasilimali zetu. Wao wanaanglia faida kwa nchi zao. Hayo mengi ni geresha tu. Kwenye uchaguzi mbona hawajapika kelele kama wanavyofanya Ivory coast? France ina lake hapo Ivory.
Mkuu ukishayaona haya basi huhitajii kuona mengine.. twapaswa kujipanga. Kukusanya fikra na maarifa tofauti ili tujikwamue kwenye utumwa huu. tuna utumwa wa kifikra bado na tunawaamini wasioaminika. Twapaswa tuwatathmini kwanza wanaotufaa kuongoza jahazi letu kabla hatujaamua kuvuka ili wasiwe kama maharamia wakatuzamisha kabla...
 
Nasikia tena huko mbarali, Mbeya, watu watatu wamekufa kwamapambano na polisi. Naomba mnijuze jamani.
 
Jeshi la Polisi limetoa tamko kuhusu vurugu za Arusha.Katika taarifa hii lawama na tuhuma zote wamebebeshwa CHADEMA kwa asilimia 100 na Polisi wamejionesha kuwa eti hawakuwa na makosa...

Summary:
1. Chadema walikiuka makubaliano ya kutumia barabara moja na wao wakatumia mbili kwa maandamano

2. Taarifa za kiintejelinsia
• Uharibifu wa mali binafsi na za serikali
• Utekaji wa vituo vya polisi na kambi za makazi ya polisi
• Kuvuruga utawala wa sheria

3. Kwenye mkutano kiongozi wa CHADEMA alitoa maneno ya uchochezi ili wafuasi wavamie kituo cha Polisi na kuwatoa kwa nguvu waliokamatwa

4. Baada ya mkutano wafuasi 3000 wa CHADEMA waliharibu mali:
• Kuchoma moto duka na kuharibu vibanda
• Kuharibu magari
• Kuharibu vituo vya polisi vya Unga ltd,Kaloleni na Maraa

5. Baada ya mkutano wafuasi wa CHADEMA walipambana na polisi ana kwa ana,3 walikufa kwa risasi

6. Sababu kuu za fujo ni maneno ya uchochezi yaiyotolewa na viongozi wa CHADEMA kwenye mkutano wa NMC
 

Attachments

  • tamkolaPolisi1.jpg
    tamkolaPolisi1.jpg
    77.7 KB · Views: 120
  • tamkolaPolisi2.jpg
    tamkolaPolisi2.jpg
    103.7 KB · Views: 66
  • tamkolaPolisi3.jpg
    tamkolaPolisi3.jpg
    85.7 KB · Views: 62
  • tamkolaPolisi4.jpg
    tamkolaPolisi4.jpg
    103.2 KB · Views: 73
Polisi asilimia 97 ni illiterate, elimu yao darasa la 7 na form 4...Failure. Huyo Kagonja na Mwema ni darasa la 7. Tena mwema ameiba vyeti Mtwara,sio jina lake hilo. Mwenyewe amefariki mwez wa 6 mwaka jana!
 
Maadam wametutukana kwenye tamko lao hilo na bado rais Kikwete kupata ujasiri wa kuendelea KUUA WATANZANIA WENGINE ZAIDI Mbeya hata kabla ya marehemu wa Arusha kumalizika kuzikwa, sasa wananchi tumepata jibu na dawa ni kila mtu kutafuta bunduki kujilinda kumbe nchini polisi ni kwa ajili ya raisi tu.

Kwa mataifa mengine mauaji ya Arusha ingesababisha kuitishwa kikao cha dharura Bungeni lakini ketu hapa bado Kikwete amepata ujeuri wa kuua zaidi wananchi kule Mbeya???
 
ukweli utakuja kujulikana tu! MUNGU yupo. Kwa hali ya kawaida wasingeweza kukubali, lakini dhamira zao zinawasuta!
 
Kiukweli Polisi wanataka kujisafisha, lakini wanatakiwa wajue kuwa damu imemwagika. Nimemsikiliza huyo msemjai wao ujumbe aliotaka kuufikisha ni kutaka kutakatisha ripoti itakayo tolewa na hao wachunguzi ambao niwalewale sijui wametumwa na nani au nisehemu ya kazi yao ya kilasiku "intelligence".
 
Shida ingine ni kwmb mapolisi we2 hawawez kubadilika. Mtu anaulizwa maswali anakwepa, kichwani kwake ameweka kwmb raia ni mtu wa chini sn toka kwenye nafac yake kijeshi...ujeshi-ujeshi tu hata kwny ishu sensitive za mauaji ya raia. Infact wako kwny enzi ya jeshi la luga-luga. Wanaongea juu ya dhana ya Ushirikishaji raia, kumbe ni dhana-mfu, na ya kinadharia tu.
Hawa nikuwabana kwenye katiba mpya iliwajuwe kwamba wao ni walinzi wetu wanapashwa kutulinda mabosi wao na sikuua bosi wako wajinga sana hawa. Hawajui kinachoendelea ni darsa la secondari za kata tena failure. Lazima mwema atambue kuwa yeye ni mlinzi wa raia na sio bosi wa raia. Nilazima huyu mtu awajibishwe hatuwezi kumwacha hivhivi kwa ujinga kama huu aliofanya. Iliiwe fundisho kwa wengine pia. Shame on you IGP you take every jk's order even if is shit.
 
jeshi la polisi limetoa tamko kuhusu vurugu za arusha.katika taarifa hii lawama zote wamebebeshwa chadema kwa asilimia 100 na polisi wamejionesha kuwa hawakuwa na makosa...

upandewakhanga001.jpg

nothing will change hata wakitoa matamko 50 wameishamwaga maji kuzoleka haiwezekani tena
 
Polisi asilimia 97 ni illiterate, elimu yao darasa la 7 na form 4...Failure. Huyo Kagonja na Mwema ni darasa la 7. Tena mwema ameiba vyeti Mtwara,sio jina lake hilo. Mwenyewe amefariki mwez wa 6 mwaka jana!

Hizo nadhani ni statistics za Tanzania nzima, si Polisi tu. Kama ni za kweli.
 
Aslilimia kubwa ya polisi wa kitanzania hawakwenda huko kwasababu wanapenda au wito ni either baada ya kuona hakuna options zingine ila kuingia kwenye upolisi tu ndio their last chance
 
hilo tamko la polisi ni sawa kabisa kwani hata vitabu vya dini vinatufundisha hayo hayo.

we jamaa niaje wewe, dini gani inayosupport mauaji?
Sisi wakristo dini yetu inapingana na hayo, kama ya kwenu inaunga mkono nenda kaombe uraia iran.
 
Bado kana watu wana fikra mgando! Tangu lini jeshi likaanza siasa,nia ya tamko ni 1 kutukatisha tamaa ili tuache kushinikiza huyu Mwema na Nahodha wasijiuzulu,tunapaswa kuwapuuza na kuendelea na mikakati yetu ya kuwashinikiza hadi pale watakapo tambua makosa yao na kuachia nyadhifa walizonazo haijalishi ni wangapi tutakuwa tumepoteza uhai wetu ktk kutetea haki zetu.
 
Hiyo ndo polisi ya bongo bwana!!! Na intelijensia yao ya utumbo mtupu!!!!
 
Hivi staili ya polisi siku hizi kuzuia fujo ni kuua, angalia tena mbalali mbeya wameua, hivi jk moyo wake una amani kabisa na haya mauaji? Wananchi wamechoka, maskini nchi inamshinda,
 
we jamaa niaje wewe, dini gani inayosupport mauaji?
Sisi wakristo dini yetu inapingana na hayo, kama ya kwenu inaunga mkono nenda kaombe uraia iran.

Kill Your Neighbors
(Moses) stood at the entrance to the camp and shouted, "All of you who are on the LORD's side, come over here and join me." And all the Levites came. He told them, "This is what the LORD, the God of Israel, says: Strap on your swords! Go back and forth from one end of the camp to the other, killing even your brothers, friends, and neighbors." The Levites obeyed Moses, and about three thousand people died that day. Then Moses told the Levites, "Today you have been ordained for the service of the LORD, for you obeyed him even though it meant killing your own sons and brothers. Because of this, he will now give you a great blessing." (Exodus 32:26-29 NLT)
 
Back
Top Bottom