Ajali mbaya iliyobeba roho ya mpendwa wetu Chacha Wangwe ili ilazimu tume ya uchaguzi kuitisha uchaguzi mdogo kuziba pengo la marehemu.Mapambano yalianza kama ilivyo sas katika jimbo la Arumeru.Tuache maneno mengi ngoja nikupe yaliyotokea wakati wa matokeo ya mwisho.
Ilikuwa hivi matokeo yalikuwa yanaonyesha CHADEMA imeshinda, lakin Mh(mume wa mwana mama machachari mbunge pale Bungen) alimtishia Mkurugenzi wa wakati huo na kumlazimisha aseme CCM imeshinda na kama atatangaza CHADEMA imeshinda Mkurugenzi atapoteza kazi.Kweli Mkurugenzi alisimamia msimamo wake wa kusimamia ukweli na haki na alitangaza CHADEMA kuwa mshindi.
Baada ya muda mkurugenzi huyo aliletewa barua yakusimamishwa kazi, kwa vile aliamini Mungu yu pamoja nae alifungua kesi mahakaman ambayo baada ya muda ilionekana hana hati na kurudishwa kazini,ila tu alihamishwa kituo na kupelekwa ARUMERU MASHARIKI ambapo ndio anasimamia uchaguzi mdogo.
Nikiripoti kutoka hapa Usa River mji mkuu wa jimbo letu tukufu ni mim Sunguratope wa jeifuuuuuuuuuuuuuu.
Ila trasias kagenzi anapaswa kuchungwa kama boban,
Nadhani nilimaanisha hicho hicho kwamba mhakikishe kura zenu ziko salama na hakuna mwanya wowote wa kuchakachua, haya sisi wapenda demokrasia tunatakia kila la heri bwanamkuu umetumwa na nani,unafikiri ccm hawajui alichokifanya tarime mpaka wamwamini Arumeru<<trust no body,tutalala vituoni
Suluhisho ni kuhakikisha mabadiliko yake hayawaathiri hata kidogoHuenda amebadiliaka aka kinyonga.
Sawa lakini chukua hatua usiongee tuGamba ni Gamba tu......
hapa JF kuna magamba wanataka kuchanganya watu. CDM msiwasikilize watu kama hawa. So what? kama unamjua. CDM Fuateni maelekezo ya mh. MboweWakuu huyu jamaa ni jirani yangu kabisa.Jamaa ni mcha Mungu mno,ila nasikia baada ya kumtangaza wa tarime
alipigwa chini kwa muda usiopungua miezi sita.Sasa mtu kama huyo huwezi kujua analipa fadhila.Ukweli tuwe
makini.