Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,676
- 5,026
kama muumini nadhani hoja ya usafi wa msikiti na maeneo yanaozunguka iwe juu yetu, hapa hoja si srikali, mana uchafu ni makruuh, na ni vyema tukazingatia maoni na maagizo ya kiongozi mkuu wa dini ya kiislam aliyesema, " AL ISLAAM NADHIIF FATANADHAFUU FAINNAHU LAA YADKHULU LJANNA ILLA NADHIIF
Kweli kabisa ustaadh. Takbiru allah walibalu!