Msikiti unaonuka harufu mbaya na siasa kali.

Status
Not open for further replies.

Mbunge

Senior Member
Aug 7, 2008
104
10
KWA hisani ya manispaa ya Kinondoni msikiti wa Mtambani karibu na hospitali ya Dr. Mvungi na ubavuni mwa soko chafu na lenye harufu mbaya kuliko yote Tanzania umetunukiwa kuwa na udi na uvumba wa aina yake.
Udi na uvumba huu wenye harufu sawa ya mizoga iliyonyeshwea na mvua kisha kupigwa na jua na kisha tena kunyeshewa mvua au harufu mbaya ya maiti anayeendelea kuharibika kila kukichwa hakika huwafanya pamoja na imani yao Wsswalihina wa hapo kuishukuru serikali kwa kutosikiliza kilio chao miaka nenda, miaka rudi.

Manispaa hiyo ambayo imeruhusu vilabu vya pombe na maduka ya kuuza vileo yastawi karibu na msikiti huo inaelekea inawapenda sana waumini wa Kiislamu kwa hiyo wanaona raha waumini wakistarehe na harufu hiyo mbaya hata mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Inavyoelekea ni kwamba manispaa hiyo haina diwani wala mtendaji yoyote mwislamu kiasi ambacho maimamu hapa wameanza kudai kuwepo na serikali ya Kiislamu Tanzania- hasira yao ninaielewa mie ambaye nimeshindwa kabisa pamoja na jitihada zangu zote kuendelea kuswali msikiti wa Uvundo- au Mtambani kwa jina maarufu zaidi.

Harufu hiyo sidhani kama ina madhara. Maana kama ingelikuwa na madhara mabwana na mabibi afya wa Kinondoni bila shaka wangekwishaisharuri serikali hima kuondoa uvundo huu ili nao wapate thawabu za serikali isiyopendeka kupendwa!

Kutokupendwa huku bila shaka kunachangiwa si haba na watendaji na madiwani kuonekana kubweteka na kuyaachia matatizo kuendelea kuwa matatizo siku ingia, siku nenda!
 
...angalia wazembe hawa,yaani mnasubiri serikali ije iwasafishie na kuwatolea harufu sehemu mnayoswali? mnashindwa nini kuchangishana na kutumia nguvu zeenu kuondoa huo uvundo? mnatia aibu sana na hamtakiwi kupata msaada hata kidogo zaidi ya kushtakiwa kwa kuweka msikiti na mazingira machafu...ujinga mzigo!
 
KWA hisani ya manispaa ya Kinondoni msikiti wa Mtambani karibu na hospitali ya Dr. Mvungi na ubavuni mwa soko chafu na lenye harufu mbaya kuliko yote Tanzania umetunukiwa kuwa na udi na uvumba wa aina yake.
Udi na uvumba huu wenye harufu sawa ya mizoga iliyonyeshwea na mvua kisha kupigwa na jua na kisha tena kunyeshewa mvua au harufu mbaya ya maiti anayeendelea kuharibika kila kukichwa hakika huwafanya pamoja na imani yao Wsswalihina wa hapo kuishukuru serikali kwa kutosikiliza kilio chao miaka nenda, miaka rudi.

Manispaa hiyo ambayo imeruhusu vilabu vya pombe na maduka ya kuuza vileo yastawi karibu na msikiti huo inaelekea inawapenda sana waumini wa Kiislamu kwa hiyo wanaona raha waumini wakistarehe na harufu hiyo mbaya hata mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Inavyoelekea ni kwamba manispaa hiyo haina diwani wala mtendaji yoyote mwislamu kiasi ambacho maimamu hapa wameanza kudai kuwepo na serikali ya Kiislamu Tanzania- hasira yao ninaielewa mie ambaye nimeshindwa kabisa pamoja na jitihada zangu zote kuendelea kuswali msikiti wa Uvundo- au Mtambani kwa jina maarufu zaidi.

Harufu hiyo sidhani kama ina madhara. Maana kama ingelikuwa na madhara mabwana na mabibi afya wa Kinondoni bila shaka wangekwishaisharuri serikali hima kuondoa uvundo huu ili nao wapate thawabu za serikali isiyopendeka kupendwa!

Kutokupendwa huku bila shaka kunachangiwa si haba na watendaji na madiwani kuonekana kubweteka na kuyaachia matatizo kuendelea kuwa matatizo siku ingia, siku nenda!

Crap!Dont sit back and ask yourself what your country has done for you but what you have done for your country!
Hiyo harufu haiwaumizi hao mnaotaka watatue tatizo lenu kwa hiyo endeleeni kusuburi mkidhani litatatuliwa maana ngoja ngoja huumiza matumbo!
 
Comprehension yangu kutokana na habari hii ni kwamba soko la Mtambani linatoa harufu mbaya inayoingia msikitini na kuwa kero kwa waswalihina.

Mbunge kaiweka kwa satili yake na wachangiaji wengine wameilewa vibaya.Nina uhakika Waislamu si wajinga na naelwa kuwa misikiti yote hufanyiwa usafi bila msaada wa serikali.Kufanya usafi katika soko linalomilikiwa na Manispaa ni jukumu la Manispaa si kazi ya Waislamu wanaoswali jirani na soko.
 
Comprehension yangu kutokana na habari hii ni kwamba soko la Mtambani linatoa harufu mbaya inayoingia msikitini na kuwa kero kwa waswalihina.

Mbunge kaiweka kwa satili yake na wachangiaji wengine wameilewa vibaya.Nina uhakika Waislamu si wajinga na naelwa kuwa misikiti yote hufanyiwa usafi bila msaada wa serikali.Kufanya usafi katika soko linalomilikiwa na Manispaa ni jukumu la Manispaa si kazi ya Waislamu wanaoswali jirani na soko.

Mkuu hata kama ingekuwa ni Msikiti lakini jambo la muhimi hapa nina uhakika ni hao sokoni wenyewe ndio wanaonukisha soko.poor wastage disposal and drainage na wao kama wanalipia kodi mana hapo sokoni kuna ofisi wangewakwida hao maofisaa wa sokoni!
Play Your part And You Can Be Rest Assured The Rest Will Be Done!
 
...angalia wazembe hawa,yaani mnasubiri serikali ije iwasafishie na kuwatolea harufu sehemu mnayoswali? mnashindwa nini kuchangishana na kutumia nguvu zeenu kuondoa huo uvundo? mnatia aibu sana na hamtakiwi kupata msaada hata kidogo zaidi ya kushtakiwa kwa kuweka msikiti na mazingira machafu...ujinga mzigo!

Ingekuwa ni mitaala ya elimu sijui imefanyaje kama last week, wasingengoja serikali bali wangeungana na kufanya fujo kama iliyoonyeshwa kwenye TV, Ingekuwa mtu kamkashifu mohamed ungeona ambavyo wangeungana kuandamana na hata kuua in the name of allah, sasa kwa nini wasiungane tena na kuhakikisha soko halichafuliwa au hata kujitolea kusafisaha twice a week kwa zamu in the same spirit in the name of allah? This is crap
 
Last edited:
..duu sasa tunaibebesha serikali hadi zigo la kutusafishia nyumba za ibada...du..no wounder watu wanalazimisha serikali ijiunge OIC..KWA AJILI YA KULALA KWA MIGONGO KUSUBIRI MISAADA...thats too idiot way....people think one day this country will be doing cleric functions ....ya kusafisha majumba ya kuabudu,kujenga majumba ya kuabudu,KUSAFIRISHA WATU KWENDA MECCA,.....THATS WHAT PEOPLE THINK ..SIKU MOJA ITAKUWA nchi ya kiislamu...

na hizi tabia za uomba omba tunazilea ..zinasababisha baadhi ya watu kuendelea kujiona duni.....HUWA NAKWERWA SANA HASA KIPINDI HICHI CHA TANADHANI ..KUNA WATU WANAPENDA KUDHALILISHWA NA PIA WANAOPENDA KUDHALILIKA...UKIPITA MAENEO YA DAR UTAKUTA TANGU ASUBUHI WATTOTO KWA WAZEE WAPO KWENYE MA GATE YA WATU WENYE UWEZO WAMEPANGA FOLENI KWA MAMIA ...WANASUBIRI MGAO WA PESA,NA KILO MOJA YA UNGA.....HATA KAMA NI SADAKA SIAMINI KAMA INAFIKA MAHALI PAKE KWA KUDHALILISHA WATU WAKUABUDU KWENYE GATE LA NYUMBA AU KIWANDA CHAKO....NADHANI BORA WATU WAENDE MAKAZINI NA WATOTO SHULENI....ANAYETOA MSAADA APELEKE MSIKITINI JIONI AWAGAWIE WATU.....HII TABIA NDIO INAYOLEA WATU KUWA OMBA OMBA.........HAWA NDIO VIONGOZI WETU WA KESHO TUNAOWAANDAA KUJA KUWA OMBA OMBA PROFFFESSION WAKIWA WAKUBWA.......NDIO HAO WATAKAOKUJA KUWAPIGIA MAGOTI WATU KAAMA KINA BUSH NA KUSAHAU KUWA OUR COUNTRY IS RICH WITH RESOURCES ...HATUITAJI KUBEMBELEZA MTU...AU KUJIUNGA MAHALI KWA AJILI YA MISAADA...

YOTE HII INAAZIA KWENYE KUWA WAVIVU HADI KUSUBIRI SERIKALI IKUFAGILIE NDANI KWAKO ...BASI WAKUSAIDIE NA KUZAA!!!!
 
Enyi makafiri,

Hamuwezi kuwaacha Waislam wafunge kwa Amani?

Jadilini kwanza machafu yenu ambayo mengine mnatembea nayo nguoni.

Kama admin hawezi kufanya kazi yake, inabidi tumsaidie.

NN
 
Ingekuwa ni mitaala ya elimu sijui imefanyaje kama last week, wasingengoja serikali bali wangeungana na kufanya fujo kama iliyoonyeshwa kwenye TV, Ingekuwa mtu kamkashifu mohamed ungeona ambavyo wangeungana kuandamana na hata kuua in the name of allah, sasa kwa nini wasiungane tena na kuhakikisha soko halichafuliwa au hata kujitolea kusafisaha twice a week kwa zamu in the same spirit in the name of allah? This is crap

Naona wenzetu wanaungana kwenye kukosoa mtu au kumpinga mtu au kutaka kumng'oa mtu na kuandamana hapo utaona mshikamano madhubuti mpaka kinaeleweka..Nashangaa nguvu zimeisha kabisa katika kupiga vita huo uchafu si waandamane mpaka kwa mkuu wa wilaya au diwani wao ili aweke mapipa pale ya uchafu na taka zizolewe na usafi uwe unafanyika mara kwa mara...ikishindikana wao waingie tu kwenye tope na wachimbe mkwala kwa hao wafanyabiashara.
 
..duu sasa tunaibebesha serikali hadi zigo la kutusafishia nyumba za ibada...du..no wounder watu wanalazimisha serikali ijiunge OIC..KWA AJILI YA KULALA KWA MIGONGO KUSUBIRI MISAADA...thats too idiot way....people think one day this country will be doing cleric functions ....ya kusafisha majumba ya kuabudu,kujenga majumba ya kuabudu,KUSAFIRISHA WATU KWENDA MECCA,.....THATS WHAT PEOPLE THINK ..SIKU MOJA ITAKUWA nchi ya kiislamu...

Mkuu strong point of a day.....big up!

na hizi tabia za uomba omba tunazilea ..zinasababisha baadhi ya watu kuendelea kujiona duni.....HUWA NAKWERWA SANA HASA KIPINDI HICHI CHA TANADHANI ..KUNA WATU WANAPENDA KUDHALILISHWA NA PIA WANAOPENDA KUDHALILIKA...UKIPITA MAENEO YA DAR UTAKUTA TANGU ASUBUHI WATTOTO KWA WAZEE WAPO KWENYE MA GATE YA WATU WENYE UWEZO WAMEPANGA FOLENI KWA MAMIA ...WANASUBIRI MGAO WA PESA,NA KILO MOJA YA UNGA.....HATA KAMA NI SADAKA SIAMINI KAMA INAFIKA MAHALI PAKE KWA KUDHALILISHA WATU WAKUABUDU KWENYE GATE LA NYUMBA AU KIWANDA CHAKO....NADHANI BORA WATU WAENDE MAKAZINI NA WATOTO SHULENI....ANAYETOA MSAADA APELEKE MSIKITINI JIONI AWAGAWIE WATU.....HII TABIA NDIO INAYOLEA WATU KUWA OMBA OMBA.........HAWA NDIO VIONGOZI WETU WA KESHO TUNAOWAANDAA KUJA KUWA OMBA OMBA PROFFFESSION WAKIWA WAKUBWA.......NDIO HAO WATAKAOKUJA KUWAPIGIA MAGOTI WATU KAAMA KINA BUSH NA KUSAHAU KUWA OUR COUNTRY IS RICH WITH RESOURCES ...HATUITAJI KUBEMBELEZA MTU...AU KUJIUNGA MAHALI KWA AJILI YA MISAADA...
Nimekubali mkuu.........
YOTE HII INAAZIA KWENYE KUWA WAVIVU HADI KUSUBIRI SERIKALI IKUFAGILIE NDANI KWAKO ...BASI WAKUSAIDIE NA KUZAA!!!!
Hapo sasa....
 
Darwin kama jina langu:

Swali nikujiuliza hapo

Nani wa kwanza? Msikiti au soko?

Kama msikiti ndio wa kwanza kujengwa kabla ya soko basi manispaa inahusika kuweka soko ambalo ninatoa uvumba kwahio watoe suluhisho.

Kama soko ndio la kwanza ukaja msikiti basi Msikiti waliyataka wenyewe kwani waliyajua hayo mazingira toka zamani.

Mwisho kama yaliwekwa yote kwa pamoja, manispaa kwa wakati huo waliweka uwiano gani?

Naona wengine hapa wanajibu tu kushabikia dini zao bila kufikiria cha kusema.


Darwin,Mtanzania ambaye anayejivunia kwamba hafuati dini za wakoloni.
 
Enyi makafiri,

Hamuwezi kuwaacha Waislam wafunge kwa Amani?

Jadilini kwanza machafu yenu ambayo mengine mnatembea nayo nguoni.

Kama admin hawezi kufanya kazi yake, inabidi tumsaidie.

NN

Haya na wewe umeamkia upande gani leo?Tunajadili jinsi gani ya kutunza mazingira in the sense that tupunguze pollution of the environment then unaleta mambo ya kidini humu embu wahi kwenye forum ya udini huku hapakufai!
 
...angalia wazembe hawa,yaani mnasubiri serikali ije iwasafishie na kuwatolea harufu sehemu mnayoswali? mnashindwa nini kuchangishana na kutumia nguvu zeenu kuondoa huo uvundo? mnatia aibu sana na hamtakiwi kupata msaada hata kidogo zaidi ya kushtakiwa kwa kuweka msikiti na mazingira machafu...ujinga mzigo!
Mkuu heshima mbele mimi nadhani wewe ndio mzembe wa kufikiri kazi ya kusafisha hilo soko ni halmashauri ya jiji kwani wao ndio wanaochukua kodi za wafanyabiashara hata hao waswalihina wanalipa kodi za viwanja vyao jiji sasa kwanini jiji wanachukua pesa za bure
Kua ndugu yangu sio kulipuka tu
 
Enyi makafiri,

Hamuwezi kuwaacha Waislam wafunge kwa Amani?

Jadilini kwanza machafu yenu ambayo mengine mnatembea nayo nguoni.

Kama admin hawezi kufanya kazi yake, inabidi tumsaidie.

NN

Ukweli utabaki palepale, call us makafiri or whatever, you need to stop nagging like wakewenza oooops
 
Darwin kama jina langu:

Swali nikujiuliza hapo

Nani wa kwanza? Msikiti au soko?

Kama msikiti ndio wa kwanza kujengwa kabla ya soko basi manispaa inahusika kuweka soko ambalo ninatoa uvumba kwahio watoe suluhisho.

Kama soko ndio la kwanza ukaja msikiti basi Msikiti waliyataka wenyewe kwani waliyajua hayo mazingira toka zamani.

Mwisho kama yaliwekwa yote kwa pamoja, manispaa kwa wakati huo waliweka uwiano gani?

Naona wengine hapa wanajibu tu kushabikia dini zao bila kufikiria cha kusema.


Darwin,Mtanzania ambaye anayejivunia kwamba hafuati dini za wakoloni.



Mmh? MAJINA je?? teh teh.
 
nina sikitika sana kijana kujiita DARWIN hujui kama DARWIN ni muongo au habari kizo hauna halafu hakuna mtu asiye kuwa na dini katika dunia hii kila mtu anadini kwa sababu dini kwa maana ya yake ni mfumo wa maisha yako tafakari tena kijana.
 
mimi sioni tatizo la hao waislamu kulalamika mazingira machafu, ni haki yao lakini kusema kwamba diwani au viongozi wasio waislam ndiyo tatizo,give me a break!! tatizo la uchafu ni la watanzania siyo dini au kiongozi fulani,binafsi naona tuongelee jinsi gani ya kufanya soko liwe safi maana kipindupindu hakiangalii dini ,tuache tabia za kuingiza dini sehemu ambapo hakuna haja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom