Funguka.
Bado haijakaa vizuri.mchumia tumbo
Hapo umenena mkuu! mi nashangaa hivi Star Tv na heshima yake yote iliyojizolea inamualika huyo jamaa. Alitakiwa aende kwenye ile radio yao ambayo wanaume wote wanaojilegeza legeza wakiahidiwa pesa na mafisadi huenda.Risasi ni kizazi kipya cha Kibonde.